KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, April 23, 2012

TANZANIA YA PATA ZAIDI YA DOLA 614 ZA KIMAREKANI KWA AJILI YA USHURU WA TUMBAKU

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma SaidThabit Mwambungu alipo kuwa akifungua semina na Mkutano Mkuu wa Bodi ya Wataalamu Nchini Tanzania Mkutano ulio fanyika Mkoani Ruvuma



Mkuu wa mkoa akiongea na wandishi wa habari baada ya kufungua mkutano wa bodi ya Tumbaku nchini Tanzania

wajumbe wakitasimini jinsi ya kumwinia Mkulima katika zao la Tumbaku


Mwenyekiti wa Bodi ya Tumbaku Nchini Tanzania Vitta Kawaw a akiongea na Wandishi wa Habari

Wajumbe wa mkutano mkuu wa nchini Tanzania wakiwa katika mkutano mkuu wa kutasimini mafanikio ya zao la Tumbaku ulio fanyika mkoani Ruvuma


Adam Nindi Songea

Zao la tumbaku nchini tanzania limeweza kuingizia serekari kiasi cha dola za kimarekani 614.8 kutokana na ushuru unao tolewa baada ya mauzo ya Tumbaku

Mwenyekiti wa bodi ya tumbaku Nchini Tanzania Mh .Vita Kawawa ameyasema hayo wakati akimkaribisha mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu katika semina na Mkutano wa watalamu wa Bodi ya tumbaku kutoka Tanzania Nzima mkutano unao fanyika mkoani Ruvuma kujadili mafanikio na changa moto ya zao la Tumbaku.

Mwenyekiti wa bodi ya Tumbaku Nchini Tanzania Vtta kawawa amese zao la tumbaku ni mkombozi kwa mwananchi wa Tanzania katika kuondokana na umasikini ,hata halmashauri za wilaya zina ongeza kipato kutokana na uuzaji wa tumbaklu kwa miaka miwili mfululizo hali shauri zime weza kupata zaidi bilionni 26 kwa fedha za kitanzania

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akifungua Mkutano huo amesema mkutano huo uelekeze nguvu zake kuwa komboa wananchi wa m,koa wa Ruvuma kufaidi kwa kupata ajira kutokana na kiwanda cha kusindika tumbaku ambacho mpaka sasa kime kaa bila kufanya kazi zaidi ya miaka 10

Wadau wengine wameomba ili kumkomboa mkulima bei ya tumbaku ipande ili iweze kulingana na soko la dunia

Lengo kuu la mkutano huo ni kupandisha kiwango cha uzalishaji kutoka tani 50.000 kwa mwaka 2009 hadi kufikia tani 100,000 kwa. Mwaka 2010 jambo ambalo lime fikiwa kwa kuzalisha tani 126 sawa na asilimia 103 jumula ya watu 187 wamehudhulia mkutano huo wakiwemo wanunuzi na wana chama wa bodi ya tumbaku

1 comment: