KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, February 21, 2012

JENGO LA POLICE WANAWAKE SONGEA LA TIA MOYO

Jengo hili la Police Wanawake Songea lina jengwa kwa nguvu ya Wanachi watu mbalimbali wamejitolea kwa kutoa pesa wengine kutoa vifaa mpaka sasa limebaki kumalizia mchango kutoka kwa wadau mbambali una hitajika


Hapo jengo hilo la wanawake Police Songea likionekana kutoka mbali

Monday, February 20, 2012

ZIARA YA MAKAMU WA RAIS Mohamed Gharib Bilal MKOANI RUVUMA

Ngoma ya Lizombe au Shaba Group ikitumbuiza mbele ya Makamu wa Rais Mh. Mohamed Gharib Bilal akiwa uwanja wa ndege Songea

Makamu wa Rais Mohamed Gharib Bilal akiwa ziarani Mkoa wa Ruvuma kulia kwake ni mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu

Ukaguzi kwa watu wanao ingia katika uwanja wa ndege Luhuwiko manspaa ya Songea

Wednesday, February 8, 2012

POLICE WANAWAKE WAANZA KUJENGA JENGO LAO KWA AJILI YA HUDUMA ZA WANAWAKE

Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu mkoa wa Ruvuma akitoa mchango wa Shilingi 50,000/= kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Police Wanawake Mkoa wa Ruvuma


Fundi Casto Mgao akiinua kona za Jengo la Police Wanawake akijenga kwa makini ili jengo hilo liwe la mfano Tanzania Mzima




Fundi wa Zege John Ngonyani akiinua nguzo huku akisuka Nondo kwa ajili yaq kumimina bimu ya Nguzo hizo


Wajenzi wa barabara za Mkoa wa Ruvuma Mantura akitoa mchango kwa ajili ya ujenzi akimkabidhi Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda

Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda akitoa Maelekezo ya kuongeza vyumba vilivyo sahaulika


Shuguli za upimaji wa jengo la Police Wanawake likiwekewa msingi hapo fundi ujenzi Casto Mgao akipima tayari kwa kujenga

MKOA WA RUVUMA WAENDELEA KUPATA UFAULU KATIKA KILIMO

Hiyo ni hali halisi ya shamba la mahindi la mbwana Issa Mbilingi lenye ukubwa wa ekari 98 lilioko Parango Songea vijijini.

Mkulima mkubwa wa shamba la Mahindi lenye ukubwa wa Ekari 98 shamba hili kila mwaka hutoa zaidi ya tani 200 mwaka huu huenda likatoa tani zaidi ya tani 200 .garama za uendeshaji ni shilingi milioni 35

MWAKA 2011 MKOA WA RUVUMA ULIFANYA VIZURI KATIKA KILIMO CHA UZALISHAJI WA MAHINDI NA HIVI SASA MKOA UPO JUU KATIKA KILIMO MVUA ZIPO ZA KUTOSHA CHANGAMOTO NI MBOLEA YA RUZUKU AMBAYO WANYONGE WENGI HAIJA WAFIKIA NI JUU YA SEREKARI KUUTEUA MKOA WA RUVUMA KUWA MOJA YA YA MIKOA INAYO WEZA KUZALISHA MAZO YA CHAKULA KWA TANZANIA,AFRIKA HATA ULIMWENGU MZIMA ARIDHI TUNAYO

UKIUKAJI WA SHERIA UPANDE WA VIUMBE NA SHERIA ZA MANSPAA

Trafiki akifanya kazi yake kutekeleza amri za Manspaa ya Songea kutoza Fani kwa magari yanayo kiuka Taratibu

Manispaa ya Songea imeamua kutengeneza barabara zake kwa kutia lami ili kupunguza adha ya kupunguza usumbufu kwa wasafiri katikati ya mji lakini hata hivyo gari kubwa bado zinaingia na kusababisha uharibifu mkubwa moja ya magri hayo hilo nimoja wapo

Mkoa wa Ruvuma ni mmoja ya mikoa ambayo inakabiliwa na changamoto za usafiri hapo basi ndogo likiwa lime kwama barabara ya Songea - Mbinga

Binadamu ameteuliwa na Mungu ili awe mlinzi wa viumbe hapa duniani awe mwadilifu,atumie utashi na busara katika kutoa maamuzi kwa upande wa viumbe vinavyo mtegemea. Sasa hebu angalia huu ndio ulinzi tulio pewa na Mungu kulinda Viumbe vyake ? jee ushikaji huu wa kuku kichwa chini na miguu juu ni haki? kiumbe ni kiumbe hebu fikiri watu wanao itwa wachawi binadamu wa kawaida wanawaonaje wachawi Tumia Busara katika kubeba viumbe ukimwona mtu kama huyu mkemee mara moja ,mbona matenga yapo kwa nini usitumie tenga