KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, March 29, 2014

IJUE SHULE YA SECONDARY BEROYA ILIYOKO MKOA WA RUVUMA NA MAFANIKIO YAKE

YA
 Wahitimu wa Kidato cha Sita kutoka Shule ya Secondary Beroya waki msikiliza Meneja wa Shule Sabasitian Waruyuba wakati akitoa Nasaha ,


 Shule ya Sekondary Beroya iliyoko Mkoa wa Ruvuma imekamilika kwa kila kitu kimaabara kama unavyo waona wana funzi hawa wakitengeneza vifaa vya kuwaona maadui bila ya wao kuonekana hiyo ni Bayonokula
 Furaha ya Mgeni akifika kwako ni kumkarimu Mgeni rasimi katika Maafali ya 16 ya kidato cha sita Afisa Elimu Secondary Manspaa ya Songea akiwa Ofisi ya Mwalimu Mkuu wa Sekondari ya Beroya


 Wanafunzi katika Sekondari ya Beroya wakimwelekeza Mgeni Rasimu Kuhusu matumizi ya Lensi
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondary ya Beroya waki onyesha jinsi wanavyo weza kujua vyakula vyenye lishe kwa kutumia Maabara
 Shule ya Sekondary Beroya huwa na kawaida ya kuwazawadia wanafuurinafunzi wakipokea bahasha baada ya kufanya Viznzi wanao fanya vizuri hapo wa


Kama nilivyo kuambia shule ya Beroya ime kamika kimaabara hapo kijana katika Shule ya Sekondari ya Beroya akionyesha jinsi wanavyo jifundisha maisha ya Nyoka aina ya Chatu yalivyo
Hilo siyo  katuni ni Nyoka halisi aina ya Chatu ambaye yuko Maabara ,Beroya Mwaka Huu imefanya vizuri katika mitihani ya Kitaifa na Mkoa Pia

UHAI WA BINADAMU HUTEGEMEA AFYA MSINDIKIZE MKEOA KILINIKI ,TUNAHIMIZWA KUPELEKA WATOTO KILINIKI JEE WEWE UNA MSINDIKIZA MKEO KUJUA MAENDELEO YA MTOTO WAKO?

 Furaha yoyote ile hutokana na kuwa na Afya Nzuri wanafunzi hao wanaoonekana wazazi wao walitekeleza mahitaji yote pamoja na kuwa peleka kiliniki .sasa kinacho takiwa wewe na mimi tuongozane na wake zetu kwenda kujua Afya za watoto wetu kiliniki
 Manspaa ya Songea ime kua hicho  unayochok iona ni kituo cha Afya  cha Mjimwema Manspaa ya Songea akina mama wakiwa Tayari kuingia Kiliniki
 Akina mama ambao wanajua maana ya kutunza watoto wakue katika hari bora kiafya huwajibiki kila mwezi kwenda kiliniki hapo wanaonekana wakiwa foleni tayari kwa kuwa pima watoto wao uzito.
Baada ya kuzingatia kanununi za Afya hatimaye Wanawake Watoto wana faidi faida ya kutunza Afya zao hapo wapo katika mkutano wakimaendeleo kujadili maswala ya Maji katika kijiji cha Upale Wilaya ya Nyasa
 Kama unavyo ona Blog hii husambaa katika  Mkoa mzima kuangalia Maswala ya Afya hapo wananchi wa Litembo Wilaya ya Mbinga wa kisikiliza Mkutano wa Hadhara kuhusiana na Elimu ulio hutubiwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabi Mwambungu
 Kama tulivyo ainisha toka Mwanzo Shabaha kubwa ni kuonyesha Afya za Watoto baada ya Wazazi wao kutimiza kanuni zote za Afya ndio Maana una waona watoto hawa wa litembo mbinga  wakiwa na Afya Nzuri
 Kanununi za Afya zina kutuma kumpima Mtoto kila wakati Hapo mtoto akiwa kiliniki kupimwa uzito ni jambo dogo lakini halipaswi kupuuzwa
Unapo sikia Umatengo au Mbinga hali yake ya hewa ni Nzuri ni Hali ya Ubaridi ikiwa imezungukwa na Milima kama unavyo ona

Thursday, March 27, 2014

MTAJI WA MWANADAMU NI MAJI HEBU TUONE WATU WA BONDE LA MTO RUVUMA NA PWANI YA KUSINI

Mshauri Rohit Kumar Das akiwakilisha maada jinsi ya kuweza kujua Hali ya Hewa na kuweza kupata matumizi mazuri ya maji amesema tunapo sema matumizi mazuri ya maji Binadamu hulenga matumizi yale yanayo husu kufaidika kwa binada la kikwaajili ya viumbe vyote vilivyopo Duniani
wadau wa maji kutoka bonde la mto Ruvuma na Pwani ya kusini wakisikiliza hotuba ya mgeni rasimi akielezea kuhusu uharibifu wa mazingira unao sasabisha baadhiya vyanzo vya maji kutoweka
Viongozi waandamizi wa Bonde la Pwani kusiuni na Bonde la Mto Ruvuma waki badalishana mawazo wakiweka mikakati jinsi ya kuweza kufanikisha mradi wa Matumizi mazuri ya maji katika Bonde la Mto Ruvuma na pwani ya kusini aliye katikati ni katibu tawala Mkoa wa Ruvuma
Mshauri wa Matumizi ya maji Duraisaminathan Visvanathan  akiwa ameongozana na Kitibu tawala Mkoa wa Ruvuma Hasani Bendeyeko wakiingia ukumbi wa semina
wajumbe au wadau wamaji kutoka mkoa wa Mtwara,lindi, na Ruvuma wakisikiliza kwa makini jinsi ya kuweza kuviokoa viumbe vinavyo tumia maji wakiwemo na binadamu

Mshauri Sylvand Kamugisho wapili kushoto akiratibu kwa makini kile kinacho weza kuwasaidia watalamu mbalimbali kuweza kufanikisha mradi wa matumizi bora ya maji hasa kwa walalahoi walioko vijijini ambao wana tegemea utalamu wa Vichwa hivyo unavyo viona
Wajumbe mbalimbali wakionyesha umakini wa kusikiliza na kuandika kuhusu maswala ya matumizi bora ya utumiaji  Maji
Unafikiri nini kuhu huyu mtu wa kwanza kajiuma au ana furahia utamu wa mada ?
Nakuambia siyo mchezo watu wame dhamilia kuhakisha bonde la mto Ruvuna na Pwani ya kusini ina tunza vyanzo vya maji na matumizi bora ya maji
Mshauri Duraisaminathan Visvanathan wa kwanza kushoto akisikiliza kwa makini hotuba ya mageni Rasimi katibu tawala mkoa wa Ruvuma Hasani Bendeyeko akieleza kuhusu uharibifu unao fanywa na mifugo kuwa na mifugo mingi bila kuitumia na moja ya chanzo cha kuharibu Mazingira
unamona Mshauri Sylvand Kamugisho alivyo makini na kazi yake
Washiriki wa kiwa katika Semina ya Matumizi bora ya Rasilimali Maji wakiwa ukumbi wa VETA Songea

Wednesday, March 26, 2014

MBINGA NA NYASA IKO KATIKA HALI GANI KIMAENDELEO

 Unaposema Maendeleo ni pamoja na kujali nyumba za Watumishi hiyo unayo iona hapo mbele ni nyumba ya Mkuu wa Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma
 Standa ya kisasa iliyo jengwa katika wilaya ya Mbinga ambayo imegharimu kiasi cha shilingi bilioni moja na milioni mia mbili B,1.2
 Mwonekano wa mabanda ya biashara kwa pembeni Stand Mpya Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma
Mgeni akifika ina bidi mkirimu zawadi yoyote ile Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akipewa Box la Kahawa inayo Zalishwa Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma anaye Mkadhi Box la Kahawa ni Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Senyi Ngaga

ANGALIA MIUNDO MBINU YA BARABARA ZA MKOA WA RUVUMA

 Gari la Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma likiwa lime kwama katika eneo la Litembo,Hivyo ndivyo ilivyo miundo mbinu ya barabara Maeneo ya vijijini
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambugu akitembea kwa Mguu baada ya Gari lake kukwama na kubuni jinsi ya kulikwamua Gari Hilo
 Barabara Hii iko Chini ya Tan roads lakini wakati wa Masika huji funga na kusasa bisha akina mama wanao tegemea Hospitali ya Misheni Litembo kupoteza Maisha wakati waki safirishwa kwenda Hospitali
 Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Senyi Ngaga akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabit Mwambungu akijadiliana kuhusu kuboresha miundo mbinu ya Barabara za Vijijini
 Gari la POLICE Mbinga likiwa lime kwama maeneo ya Mlima Mbuji Litembo
 Ndugu msomaji wa Blog hii siyo kuwa Gari lililo kwama ni la Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma tu hata la Mkuu wa Wilaya nalo lilikwa hebu ona Timbili hizo Tan road wapo lakini hakuna kinacho eleweka
 Wandishi wa Habari wakiende kuchukua habari kuhusu mindo mbinu mibovu ya Barabara
 Meneja wa Tanroad Abrahamu Kishimbo akiishanga Barabara Baada ya Magari ya Mkuu wa Wilaya ya Mbinga na Mkuu wa Mko wa Ruvuma kukwama
 Usje ukafikiri tuna cheza Mchezo wa Kombolela la hiyo ni hali halisi ya Madaraja ya Mpakani Mwa Musumbiji na Tanzania jionee Mwenyewe Hapo kuna usalama kimindo mbinu,Zaidi ya Shilingi milioni 400.000.000 zimetumika kujenga Madaraja 8 lakini ya kiwa katika kiwango cha chini kwa mujibu wa Tarifa za Mkuu wa wilaya ya Nyasa Erenest Kahindi
 Daraja hili lipo kilometa moja kufika Msumbiji sasa limesombwa na Maji lime kata mawasiliano na Majirani wa Msumbiji hata Huduma za Afya zinazo tegemewa kupatikana zinazo wasaidia Majirani wetu zime katika. Siyo hilo tu Hata wanafunzi wa Shule za Sekondari na Shule ya Msingi maji ya kijaa wana shindwa kuvuka

Friday, March 21, 2014

UPANDAJI MITI UNA FAIDA SANA KWA BINADAMU HEBU TUONE FAIDA ZAKE KWA WAJASILIA MALI WA RUVUMA

 Faida ya miti ni pamoja na kupasua Mbaio na kutengeneza vifaavya aina Mbalimbali Fundi Seremara Zakaria Kaimu Rwnda anaonekana akitengeneza Meza na kuweza kujipatia fedha shuguli zake anafanyia mtaa CRDB Mpenyo wa Ushirika
 Shirika la Posta Songea ni moja ya mashirika ambayo yana Fahamu Faida za upandaji Miti, Tanzania imekuwa katika changamoto ya madawati ya kukalia wanafunzi shuleni, shirika la Posta baada ya kupanda miti ili weza kupasua Mbao na kutengeneza Madawati ,Hapo meneja wa Posta Joseph Shirima anaonekana akiwa amekalia madawati aliyo Tengeneza
 Meneja WaPosta Joseph Shirima akipanda miti katika Shule ya Msingi Mbulani
 Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mbulani Manispaa ya Songea wakipanda miti ya Mbao
Uharibifu wa Mazingira una fanywa na watu wanao taka kujipatia kipato cha haraka bila kujali kuwa wanaharibu mazingira eneo linalo onekana ni sehemu ya kitai eneo la Mbinga wakiwa wamechimba Brabara ya lami chini kwa chini bila kujali gharama iliyo tumika kutengeneza barabara ya songea Mbinga iliyo gharimu shilingi bilioni 79
 Miti imeonyesha faida kubwa wananchi sasa wana tundika mizinga iliyo tokana na upasuaji wa Mbao hapo Mkuu wa Wilaya ya Songea  Joseph Joseph Mkirikiti akiwahimiza wananchi kufuga Nyuki
Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti amesema umefika wakati sasa wa kujenga urafiki na Nyuki badala ya kuwaona Nyuki kama Adui amewataka wananchi kuepuka na  kuchoma misitu ovyo unao sababisha viumbe wengi kutoweka wakiwemo nyuki


Wananchi wa vjiji vya Mtyangimbole na Gumbiro Songea  Vijijini baada ya miezi miwili  wanatarajia kuvuna kilo 500 za Asali  na Nta kilo 50za  baada ya kutundika mizinga 50 katika Msitu wa Hifhadhi
                            
Mkuu wa Wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu amesema hayo katika wiki ya kitaifa ya kutundika mizinga iliyo fanyika kijiji cha Mtyangimbore .Amesema Mpango wa serekari wa Matokeo Makubwa sasa ni kubuni mipango mbali mbali ya kumwongezea Mwananchi wa Chini kipato kupitia Ufugaji wa Nyuki’
Mizinga ya nyuki iliyo tengenezwa kwa mbao ikiwa inaningt"inia juu ya miti

 kuhifadhi misitu kuna leta faida nyingi baki ya kupasua mbao pia kuna leta Mvua Mwakilishi kutoka Mtwara akitoa Elimu siku ya Upandaji miti kitaifa sherehe zilizo fanyika  Mtyangimbore Songea Vijijini


Naye Mwakilishi wa Meneja wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Gaudens Kilasi amesema kutokana na Mizinga 25 iliyotolewa mwaka jana na mizinga 25 ya sasa itawasaidia wananchi kuvuna Tani 500 za Asali swala litakalo saidia kupunguza umasini kwa wananchi wa vijijini.
  Mwakilishi kutoka kanda ya Mtwara akisoma tarifa  juu ya Mafanikio ya utunzaji misitu,

 Wazazi wakipewa tarifara na  Meneja wa  Posta Songea Joseph Shirima  juu ya  faida ya miti waliyo ipanda katika shule ya Mbulani Manispaa ya Songeas

Meneja wa Misitu Wilaya ya Songea Manyisye Mpokigwa amesema juhudi za Idara yake kuhusu Utundikaji wa Mizinga na kulinda Misitu sasa inaonyesha mafanikio wananchi wengi wa vijijini wameanza kuvuna Asali Meneja Misitu wilaya ya Songea akiwa katika wiki ya Utundikaji wa Miti Kitaifa sherehe zilizo fanyika Songea