KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, May 31, 2014

MPANGO KABAMBE WA KUTOKOMEZA VVU NA UKIMWI MKOANI RUVUMA


ADAM NINDI – SONGEA

Mkuu  Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu amewataka watalamu wa Afya kushirikiana na Wakunga wa Jadi katika kuzuia Maambukizi ya VVU na UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa Mtoto,

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuvuma amesema bila kushirikiana na wakunga wa Jadi zoezi hili la kuzuia Maambukizi ya VVU na UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto halite weza kufanikiwa,Wakunga wajadi ndio wanao kubalika zaidi vijijini pale panapo kosa huduma za Hospitali na Zahanati

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu ameya sema hayo katika Uzinduzi wa kampeni ya kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto sherehe zilizo fanyika katika mansipaa ya Songea chini ya ufadhili wa Water Reed

Maambukizi ya UKIMWI na VVU kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto   ni asilimia 3,o% na Maambukizi kwa akina mama wajawazito ni asilimia 6.9 %  ,Dawa za kutumia kwa ajili ya kuzuia maambukizi zipo kila kituo cha Afya kazi kubwa ni kuelimisha

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu amesema ana sikitishwa na tabia ya vijana kwa kupuuzi kwenda kujua afya zao kwa asilimia kubwa vijana wamekuwa na hofu kupima afya zao,kingine kilicho msikitisha mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ni wanaume kujisaidia ovo barabarani bila kujali watoto wanapita au wanawake ametoa rai kwa watendaji kuchukukua hatua kali kwa watu hao,

Aidha amepiga marufu kutupa chupa za maji,vocha zilizo kwanguliwa,na maganda ya matunda mbali mbali yasitupwe ovyo
 Ujumbe wa nyimbo mara zote huwa na mchango mkubwa katika kuelimisha Vijana kutoka Namtumbo wakiimba na kueleza Madhara ya kuto pima Afya yako
 Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Songea Lutavi akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma katika uzinduzi wa kuteketeza VVU NA UKIMWI kutoka kwenda kwa mama kwa aslimia 3% hadi kufikia asilimi O
 Mgeni Rasimi Mkuu wa Mkoa Saidi Thabiti Mwambungu akipokea maelezo kutokkwa kiongozi wa Water Reed jinsi ya kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto
 Bango la kampeni ya kutokomeza maambukizi ya VVU na UKIMWI Kutoka kwa Mama kwendakwa Mtoto
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu akizindua Mpango rasimi chini ya Water Reed wa kuhakikisha maambukizi mkoa wa Ruvuma yana kfikia sifuri au Yai

 Mara baada ya Kuzinduzi akiwa ameshika kitabu chenye kuonyesha mpango mzima wa kupambana na VVU na UKIMWI Mkoani Ruvuma
 Mkuu wa Wilaya ya Songea David Lutavi akimsindikiza Mkuu wa Mkoa katika ukaguzi wa Mabanda ya Maonyesho ambayo yalishugulika kupimia maambukizi ya UKIMWI NA VVU
 Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma kushoto Dr, Daniel Malekela akimwongoza Mkuu wa Mkoa Wa Ruvuma katika Manda
 Jambo ambalo lina shangaza katika Mkoa wa Ruvuma ni Mahuba kujaa Taka kuliko kiwango chake Hapo awali ilikuwa ukosefu wa Gari za Kuzolea lakini hivi sasa magari yapo ,Hizo taka zimezunguka Eneo lote la soko la Manzese Mjini Songea
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabit Mwambungu  katika Uzinduzi wa Kutokomeza Maambukizi ya UKIMWI na VVU Alidai katika Hotuba yake uwezo wa kuzoa Taka Tunao hivyo swala la Taka Tusahau lakini hiyo ni hali halisi Toka alipo Hutubia Uma siku mbili Zilizo pita
 Kila Pembe ya Mazense ukipita Aidha uta pata manukato ya Harufu ya Uchafu au uta kumbana na Hali ya Kutapika kutokana na Uozo uliopo nini kifanyike wakati binadamu hawana njia nyingine ni kuvumilia kufanya biashara huku wakipata Madhara ona mwenyewe ni sikusemee
Maandamano ya ya kutokopmeza Maambukiki wakati hapo juu nako kuna takiwa kufanya maandamano ya kuzoa taka ,Viongozi wamejitahidi kuleta Magari nani alaumiwe
 Tafakari kutoka kwa viongozi ni Mhimu jee viongozi hawa waliopo jukwaani ni kweli wana fikiri jinsi ya kuwakomboa wanchi au wanaomba msaada kwa wananchi ili wawa saidie ?
 Dakitari wa Mkoa wa Ruvuma Dr, Daniel Malekela ana enda kasi na Asikari wa Mwavuli wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete
 Ukimwona Mama au kuongozi Mwanmke mara nyingi hukerwa na Mambo yanayo jitokeza ya kuweza kupambana na Maradhi lakini kwa utafiti wa Haraka wanawake wana shindwa kufanya kazi kutokana na Mfumo Dume
 Katibu Msaadizi wa Mkoa wa Ruvuma Ndugu Tossi akitia sahihi kitabu cha wageni kuthibitisha kuwa naye atashiriki kutokomeza Maambukizi ya VVU na UKIMWI Mkoa wa Ruvuma
 Washiriki katika Kampeni ya Kutokomeza Maambukizi Kutoka kwa Mama kwenda Kwa Mtoto wakiwa wamevaa sare iliyo andikwa ZERO yani Mwisho wa Maambukizi
 Watendaji waandamizi wa Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma nao wali shiriki Uzinduzi Huo ulio fanyika viwanja vya Manspaa ya Songea
 Watoto wa Shule za Msingi wakisikiliza kwa Makini kuhusu maambukizi yalivyo Mkoa wa Ruvuma na jinsi ya kuepukana nayo
 Mkoa wa Ruvuma kimaambukizi una jitahidi kupunguza kimkoa ni asilima 6.5 na Kitaifa ni asilimia 7%
 Watu mbali mbali walishiriki uzinduzi huo jee ujumbe walio upata utafikishwa kwa wengine au uta ishia hapo hapo ni swali la kujiuliza
 unapo tembea una jua kifo kipo karibu kama huta weza kutumia kanuni za kujilinda kila hatua unayo piga angalia jinsi ya kuepukana na maambukizi
 Watoto hawa wana hitaji ulinzi wa kutosha ni kosa la jinai kwa duniani hata kwa Mungu kumlazimisha ngono mtoto mdogo hatimaye kumwachisha masomo, Watoto semeni HATU DANGANYI N'GOOOOO
Hawa hapa ni viongozi waandamizi katika utendaji wa kila siku kuhusu Afya za Binadamu jee wanapewa vitendea kazi kamili ili usiwe wimbo kuwa tuna Angamiza VVU na UKIMWI wakati hawana Vitendea kazi jamani tuwa saidie

HATIMAYE RAIS WA MALAWI APATIKANA ,PETER MUTHARIKA



31 May 2014 Last updated at 12:01 GMT

Malawi's new president is sworn in

File photo: Peter MutharikaFile photo: Peter Mutharika

Peter Mutharika is sworn in Malawi's president after the High Court rejects a request for a recount following allegations of vote-rigging.


Thursday, May 29, 2014

SWALA LA UCHAGUZI KATIKA NCHI ZA AFRICA LA TAKA MOYO ,MACHO YETU MALAWI

Matokeo ya uchaguzi yatangazwa Malawi

Baadhi ya wagombea wa uchaguzi mkuu wa Malawi
Hatimaye Tume ya uchaguzi nchini Malawi imeanza kutoa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo jumanne iliyopita.
Matokeo hayo ambayo ni asilimia 30 tu ya kura ambazo zimehesabiwa hadi sasa yanaonyesha kuwa mgombea wa chama kikuu cha upinzani Democratic Progressive Party-DPP Profesa Peter Mutharika anaongoza kwa kura 683,621 akifuatiwa na Dr Joyce Banda wa Peoples Party kwa kura 372,101
Mgombea Urais wa chama kikongwe cha kisiasa nchini humo, Malawi Congress Party MCP Mchungaji Dr Lazarus Chakwera anashika nafasi ya tatu kwa kujipatia kura 289,145 huku Atupele Muluzi wa United Democratic Front- UDF akikusanya kura za wamalawi 269,250
Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza ambaye anafuatilia uchaguzi huo nchini humo, amesema mwenyekiti wa tume hiyo Jaji Mackson Mbendera aliwaambia waandishi wa habari mjini Blantyre usiku wa kuamkia leo kuwa tume yake kwa pamoja na wawakilishi wa vyama vya siasa wamethibitisha matokeo hayo.
Udanganyifu
Katika mkutano huo Jaji Mbendera amesema tume yake imegundua kuwa kulikuwa na udanganyifu katika baadhi ya maeneo ambapo wamekuta idadi ya kura zilizopigwa ni zaidi ya watu walioandikishwa kupiga kura, na kwamba wamezuia matokeo hayo hadi watakapo pata ufumbuzi na ukweli wa hali ilivyokuwa.
Wakati huo huo Mahakama nchini humo imezuia uamuzi wa bodi ya wakurugenzi wa shirika la utangazaji la Malawi MBC kumlazimisha Mkurugenzi Mkuu Dr Benson Tembo kwenda likizo ya lazima na haraka.
Uamuzi huo umefuatia baadhi ya wanasheria kutoka kamisheni ya wanasheria wa Lilongwe kuweka zuwio mahakamani kupinga uamuzi wa bodi ya shirika hilo.
Itakumbukwa kuwa ijumaa asubuhi Dr Tembo alipewa barua ya kumtaka aende likizo ya lazima kutokana na madai kuwa ameshindwa kufuata maelekezo ya mwajiri wake ambaye ni serikali.
Miongoni mwa madai hayo ni pamoja na vyombo vya shirika hilo ikiwemo television na radio za taifa kuendelea kutoa matokeo ya uchaguzi ambayo hayajathibitishwa na Tume ya uchaguzi.
Pia MBC ilishindwa kurusha moja kwa moja matangazo ya mkutano wa Rais Joyce Banda na waandishi wa habari mjini Lilongwe siku ya alhamis, ambapo Dr Banda alikuwa akitoa maelekezo kwa tume ya uchaguzi kuanza kuhesabu kura kwa kutumia mikono na kuzuia kutoa matokeo kutokana na udanganyifu uliojitokeza.


Uchaguzi wa Malawi ulikumbwa na visa vingi vya wizi wa kura pamoja na udukuzi wa mitambo iliyokuwa inatumiwa kujumlisha kura. Haya ni madai ya Rais Joyce Banda.
Rais Joyce Banda ametaka kura hizo kuhesabiwa upya bila ya kutumia mitambo ya elektroniki ya kuhesabu kura.
Bi Banda alikumbwa na ushindani mkali katika uchaguzi huo uliofanyika siku ya Jumanne kutoka kwa wagombea watatu akiwemo, waziri wa zamani wa mambo ya nje Peter Mutharika.
Kwanini Waziri ajiue baada ya kijingiza katika uchaguzi ?
Mapema Alhamisi naibu waziri wa serikali za mitaa wa Malawi alijipiga risasi na kujiua nyumbani kwake mjini Lilongwe.
Godfrey Kamanya alikuwa anagombea kutetea kiti chake cha ubunge katika jimbo la Nzonzi Kusini.
Alijiua alfajiri ya leo katika mojawapo ya vyumba vya nyumba yake iliyopo Area Ten mjini Lilongwe.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali kuu ya Kamuzu mjini humo, na jeshi la polisi litatoa taarifa rasmi ya kifo hicho baada kukamilisha uchunguzi.
Haijajulikana sababu za Kamanya kujiua japokuwa ameacha barua ya maelezo ambayo polisi wataitoa baadae.
Matokeo ya kura bado hayajatangazwa rasmi katika kile kinachosemekana kuwa uchaguzi wenye ushindani mkali sana.
Afisa mkuu wa uchaguzi, amesema kuwa mfumo wa elektroniki umeharibika na maafisa wanatumia matokeo kwa njia ya barua pepe.

WAFANYA BIASHARA WAITAKA POLICE KUFUNGUA JENGO LA DAWATI LA POLICE WANAWAKE RUVUMA

 RPC Kamanda wa POLICE wa Mkoa wa Ruvuma Akilimali Mpwapwa akieleza umuhumu wa Dawati la POLICE Wanake linavyo weza kusaidia jamii ikiwa na pamoja na kupunguza ukatili wa Kijinsia.Aidha  wadau wa Dawati la Police wanawake wamemtaka kamanda kufungua huduma hiyo katika jengo hilo, Kamanda wa Police Akilimali Mpwapwa amesma jengo hilo lita anza kazi katika ya mwezi wa sita mwaka huu
 Afande Fadhila Chacha akimkaribisha kamanda wa police Akilimali Mpwapwa tayari kwa kuzungumuza na wadau wa Dawati la Wanawake
 Kamanda wa police mkoa wa  Ruvuma la Akili Mali Mpwapwa  akikagaua eneo la Dawati la Police Wanawake  kutoka kushoto ni Anna Tembo kulia ni Denesi 
 Mfanyabiashara Issa Mwilamba kulia amejitolea kupaka Rangi jengo la Dawati la Police Wanawake
 wadau mbalimbali waki kagua jengo la Dawati la Police wanawake Mkoa wa Ruvuma
 Picha ya Pamoja na Wadau wa Dawati la Police Wanawanake wakiwa na kamanda wa Mkoa wa Ruvuma
 Mdau wa Dawati la Police Wanawake Rose Haule akiwa mmoja wawachangiaji wa kubwa wa maendeleo Mkoani Ruvuma
 Kamanda wa Police Akilimali Mpwapwa akiwa na wadau kuhamasisha mchango wa kununua samani  kwa ajili ya kukamilisha vifaa vilivyo pungua katika ofisi hiyo
 Meneja wa Benk ya NMB Mkoa wa Ruvuma Rehema Nasibu akiliomba jeshi la Police kuwa wasiri kwa tarifa wanazo pewa na wadau ili kulinda Hadhi ya Jeshi la Police
Kamanda wa Police Mkoani Ruvuma aliye katikati akisisitiza jamii kuisaidia Jeshi la Police Katika kutoa habari za Uhalifu

Tuesday, May 27, 2014

MAMA WA ZITO KABWE MAHUTUTI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mama Mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya CHADEMA Zitto Zuberi Kabwe aliyelazwa katika wodi ya wagonjwa wenye kuhitaji uangilizi maalumu(ICU) hospitali ya  jijini Dar es Salaam leo.

Pamoja na Hali mbaya ya mama wa Zito kabwe kanuni na desturi za Waafrica ni kuhamisha mioyo yao na kwenda kwenye Hospitali. Siyo kwenda Hospitali bali ni kuingia katika Maombi kumtalkia kila la Heri Mama Zito Kabwe aweze kupata Nafuu.Jambo la I tikadi ya Dini,Chama ,Kabila Kwa wakati huu tuweke Pembeni Tuige Mfano wa Rais Wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Mh.Jakaya Mrisho Kikwetea bali 

Sunday, May 25, 2014

TARIFA ZA UCHAGUZI MALAWI NA BBC


Telegraph.co.uk ‎- 19 hours ago
Malawi's President Joyce Banda has declared this week's chaotic ... Ms Banda, who has claimed there were "serious irregularities" with the poll ...

Joyce Hilda Banda (née Mtila; born 12 April 1950) is a Malawian politician who has been the President of Malawi since 7 April 2012. She is the founder and ...
‎BBC
18 hours ago - Malawi's High Court has rejected a decision by President Joyce Banda to annul this week's general election - in which she was a candidate.

News24
16 hours ago - Malawi's opposition leader Peter Mutharika says a move by President Joyce Banda to annul this week's election over claims of irregularities is ...
The Guardian
3 days ago - The Malawi president Joyce Banda, who claims discarded and tampered ballots have been discovered in some constituencies. Photograph: ...
Malawi's High Court has rejected a decision by President Joyce Banda to annul this week's general election - in which she was a candidate.
Ms Banda had earlier said Tuesday's vote had been marred by rigging, multiple voting and computer-hacking.
She said a new vote should be held within 90 days but she would not stand again in any new poll.
However, the head of the electoral commission said the president did not have the power to annul the vote.
The High Court made its ruling after the commission said that despite problems involving the electronic count the poll remained valid and vote-counting would go on.
Malawi's election was chaotic, with one BBC correspondent reporting people voting two days on from election day because of delays in distributing polling material.
Frustrated voters set one polling station alight and smashed election material at another.
In some places, voting boxes or lids did not arrive so officials used buckets and plastic wrap.
Late on Friday, the Malawi Electoral Commission (MEC) said Joyce Banda's rival candidate Peter Mutharika had taken a lead of 42%, with 30% of votes counted. Ms Banda was in second place with 23%, the commission said.

Saturday, May 24, 2014

HOTUBA YA ASKOFU MKUU WA JIMBO LA SONGEA YA WAFURAHISHA WAUMINI WA JIMBO HILO



Nijambo la Furaha kuona Jimbo la Songea kupata Askofu. Hapo Mhashamu Askofu Damiani Denis Dallu akitoa baraka kwa waumini walio hudhuria Sherehe za Kumsimika kuwa Askofu Mkuu wa Jimbo la kanisa katoliki
Watawa wa jimbo la Songea Wakipokea Baraka Kutoka kwa Mhashamu Askofu Mkuu wa Jimbo la Songea Mhashamu Damian Denis Dallu katika kanisa katoliki la Songea
Maasikofu kutoka mikoa yote ya Tanzani walio Shiriki Sherehe ya Kumikwa Mhashamu Damian Denis Dallu wa kisiliza Mahubiri kutoka kwa Askofu Mpya wa Jimbo la Songea
Mhashamu Askofu Damian Denis Dallu akijiandaa kutoa Sakiramenti Takatifu kwa waumini walio hudhuria sherehe za kusimikwa kwa Askofu Damian Denis Dallu
Maskofu walio hudhulia Sherehe za Kusimikwa kwa Askofu Damian Denis Dallu wakiwa katika missa wakimwombea mwenzao wadhifa Mpya alio pewa kutoka kwa Baba Mtakatifu huko Vaticani
Nikaswaida ya waumini wa Kanisa Katoliki kupeana Salamu za Amani katikati ya Missa ,Hapo Mkurugenzi wa Blog ya Songea Habari akipeana Amani na Mtoto wa Kipapa katika kanisa la Katoliki
Maaskofu wakiwa katika ibada ya kusimikwa kwa Mhasham Askofu Damian Denis Dallu
Waandishi wa Habari habari mbalimbali kutoka Tanzania wakichukua Habari kuhusiana na Kusimikwa kwa Mhashamu Asikofu Damian Denis Dallu
Viongozi mbalimbali wa Ngazi za juu waki shuhudia kusimikwa kwa Mhashamu Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Mtakatifu Matiasi Kalemba Songea
RAS [Katibu tawala ] Mkoa wa Ruvuma wapili kutoka kushoto Hasani Bendeyeko akiwa katika kanisa Katoliki la Mjini Songea
Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Ruvuma ikishuhudia kusimikwa kwa Mhashamu Damian Denis Dallu
Umati wa Watawa wa Mkoa wa Ruvuma wakiwa katika Maombezi Rasimi ya Kusimikwa kwa Mhashamu Askofu Damiani Danis Dallu
Mwonekano wa watawa wa mkoa wa Ruvuma wakiwa kanisani Songea