KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, October 30, 2015

WANA RUVUMA WASHEREKEA USHIUNDI WA RAIS MTEULE MH.JOHN POMBE MAGUFULI NA WANAO TUHUMIWA KUFANYA MAANDAMANO BILA KIBALI CHA SEREKARI WAPATA DHAMANA

 Moja ya Nembo inayo tangaza Amani Nchini Tanzania ni Nembo yaliye ya Bendera ya Jamuhuri wa Mungano wa Tanzania Ambapo hivi sasa bendera iliyo pandishwa Mwaka 1964 ina Endelea kupepea baada ya kumpata Rais Mteule John Pombe Magufuli wa Awamu ya Tano
 Huku Watanzania wakisherekea kupatikana kwa Ris Mpya vijana kutoka Chama cha maendeleo na Demokurasia CHADEMA vijana 54 wanao tuhumiwa kufanya maandamano bila kibali wamepewa dhamaana yao
 Diwani wa chama cha mapinduzi Huseni Abdullkad akisikiliza kupewa cheti cha ushindi Rais Mteule mh. John Pombe Magufuli huku vijana wakipongeza kuteuliwa kwa Rais
 Diwani Pekee ambambe huji changanya na wananchi kusikiliza kero mbali mbali akicheza bao huku akisikilza maoni ya wananchi wa kata ya Majengo manispaa ya songea
 Waqtuhumiwa walio fikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkaazi ya Songea kwa tuhuma ya kufanya Maandamano bila kibali cha Serekari

 Shuguli za kimaendeleo zimerudi kama kawaida wananchi wame anza kupata huduma za usafiri katika manspaa ya Songea
 Ofisi za Manspaa ya Songea sasa zime anza kutoa huduma zingine baki ya maswala ya uchaguzi
Watumiwa 54 wakesi ya kufanya maandamano bila kibali na kuto tii amuri halali ya Serekari hawa Hapa

No comments:

Post a Comment