
Hayati Daudi Mwangosi alikuwa mwandishi hodari katika kuelimisha jamii mambo ya kisaikolojia na hata filosofi zaaina zote , katika ofisi yake kulikuwa na Vitabu mbalimba vya watu mashuhuri vilivyo onyesha namuna ya kutafuta haki, jee baada ya kifo chake watu wanalitambua hilo ?

Pamoja na Mapenzi mema ya Wanahabari kwenda kumuzika mwenzao lakini upepo wamajonzi ya Daudi Mwangosi uliwakumba wandishi na kutaka kupata Ajali

Mwandishi Fransi Godwini kulia akiwa amebeba jeneza la Daudi Mwangosi wakati wanaenda kuzika kushoto kwakwe Rais wa UPTC Cenes Simbaya
Picha hiyo hapo juu ina wachanganya Waandishi wa Habari na Jamii kuhusu kifo cha Daudi Mwangosi ,Jee wewe Raia baada ya kuona picha hii una wazo gani huoni wandishi ni sawa na mshumaa ,Tume kuwa tukipiga kelele kuhusu haki za wenzetu jee Raia mna tusaidia vipi Waandishi, Haya tujipe pole wote
No comments:
Post a Comment