Tanzania inasherekea Miaka 50 ya uhuru lakini wananchi bado halizao ziko katika hali tete wana lala katika nyumba za tembe kama unavyo iona nyumba hiyo hapo juu hizo ndizo nyumba za watu wa lindi .Hiyo nyumba ipo katikati ya Manispaa ya Lindi eneo la Mtanda
KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Monday, October 31, 2011
MAENDELEO YA MJI WA LINDI
Tanzania inasherekea Miaka 50 ya uhuru lakini wananchi bado halizao ziko katika hali tete wana lala katika nyumba za tembe kama unavyo iona nyumba hiyo hapo juu hizo ndizo nyumba za watu wa lindi .Hiyo nyumba ipo katikati ya Manispaa ya Lindi eneo la Mtanda
Saturday, October 29, 2011
KATIBU MKUU WA WIZARA YA AFYA AWATAKA WAANDISHI KUWA SAIDIA WATU WALIOKO PEMBEZONI
Thursday, October 27, 2011
MKUTANO MKUU 10 WA BIMA YA AFYA MOROGORO
MAENDELEO YA MJI WA SONGEA YANA TOKANA NANINI ?
Tuesday, October 25, 2011
BIMA ZILIZO IVA ZA LIPWA BILA MATATIZO MKOA WA RUVUMA
Meneja wa Bima Tawi la Songea Moses E.Senje akiwa ofisini a kiendelea kuidhinisha cheki kwa Bima zilizo iva , karibu Robo tatu ya Mkoa wa Ruvuma amesha ifikia wale wote wenye Tatizo wana weza kumwona wakati wowote .
ANAYE TUHUMIWA KUUA LEVINA NDUNGURU GEST HOUSE
Monday, October 24, 2011
WANAHABARI WAPATWA NA MSIBA RUVUMA
Wanahabari wa Mkoa wa Ruvuma wamepatwa na msiba mkubwa kwa kufiwa na mhudumu aliye kuwa akifanya kazi katika ofisi ya Mpenda Mvula ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji wa Chama cha Waandishi wa habari Mkoa wa Ruvuma,
Mhudumu aliye kufa au kuuwawa ni Levina Ndungu ambaye alikuwa na Umuri wa Miaka 26 .siku ya tukio marehemu akiwa ofisini alikuja kijana aliye julikana kwa jina la Tomas Jirara mwenyeji wa mwanza akidai ana taka kuchapiwa barua yake na kuweza kulipa shilingi mia tano.
Mhudumu Levina Ndunguru bila kujua nia ya kijana Tomas Jirara alichapa barua hiyo na huku kijana huyo Tomas Jirara 22 akionyesha ukarimu wa hali ya juu kwa Levina Ndunguru hatimaye levina ndunguru kuanguka katika Mapenzi jambo ambalo kijana huyo Tomas Jirara 22 alikuwa amelipanga
Mara baada ya kumaliza kazi alimtoa out ingawa haijulikani ni wapi alimpeleka lakini kwa mujibu wa tarifa iliyo tolewa na kaimu kamanda waPolice mkoa wa Ruvuma .Zina sema Marehemu Devina Ndunguru akiwa na kijana Tomas Jirara walirudi saa 1.00 usiku walipewa chumba katika nyumba ya wa geni Mikumi Mfaranyaki , Tomas Jirara aliweza kumua Levina Ndunguru majira ya 8.00 usiku ,lakini alipohojiwa na POLICE ana sema aliweza kufanya kitendo cha kinyama kati ya saa 2.30 usiku au saa 2.45 akinukuriwa anasema mara baada ya kufanya mapenzi na Levina Ndunguru wakiwa kwenye mapenzi walikorofishana ndipo alipo mpiga ngumi moja nzito mwisho kumalizia kumvunja shingo alieleza mbele ya police bila hata kigumimizi.
Tomasi Jirara alipo fanikiwa kumua Levina Ndunguru alimpekua na kuchukua funguo za ofisi inayo milikiwa na Mpenda Mvula na kwenda kufungua na kuiba Comyuta moja ,Printer pamoja na Cheki yenye Thamani ya Shilingi 150,000
Baada ya kukamilisha wizi wake alianza safari kuelekea njia ya Lindi alipo kamatwa na Police, SASA HEBU ANGALIA PICHA YA MUUAJI NA BINTI ALIYE UWAWA HALAFU TOA MAJIBU, TUFANYE NINI NA MABINTI ZETU ?
Sunday, October 23, 2011
NIFURAHA IPI WEWE UME CHAGUA KATIKA MAISHA YAKO ?
Saturday, October 22, 2011
MKUU WA MKOA AIWAKIA KAMPUNI YA PROGRESSIVE BAADA YA KUSHINDWA KUTIMIZA MKATABA WA KUJENGA BARABARA YA NAMTUMBO VS TUNDURU
Friday, October 21, 2011
BIMA YA AFYA NI MKOMBOZI WA WANYONGE
Tuesday, October 18, 2011
MWANDISHI MWANDAMIZI ASHANGWA ZA NA VIVUTIO VYA RUVUMA
Saturday, October 15, 2011
VIFAA VYA COMPYUTA VYA PATIKANA MBINGA
WADAU WA HABARI WAITAKA SEREKARI KUTOA RUDHUKU KWA WAANDISHI WA HABARI
wadau wa Habari kutoka vyama mbalimbali vya siasa na Madhehebu ya Dini wakiwa katika kikao cha kupata uelewa kuhusu Habari
Thursday, October 13, 2011
MADIWANI WALIO FUKUZWA NA CCM WILAYA WA SAMEHEWA NA CCM MKOA WA RUVUMA
Madiwani watano wa Chama cha Mapinduzi walio fukuzwa na kamati ya siasa ya wilaya ya Songea wamesamehewa na CCM Mkoa baada ya kikao kuwa hoji na kubaini makosa waliyo ya fanya ya kimaadili wakati wa uchaguzi wa Meya wa Manspaa ya kulikuwa siyo ya kusudia. Madiwani hao diwani Cristian Matembo,Victer Ngongi,Kula Besit diwani wa msamala,na Mhagama diwani wa mshangano. Katibu wa CCM Emanuel Mntyangingombe amesema kazi iliyoko ya CCM sasa ni kutoa Elimu kwa Madiwani wote wa CCM wote wa Mkoa wa Ruvuma
Wednesday, October 12, 2011
SAKATA LA UMEYA LAHITAJI BUSARA ZA MKUU WA MKOA WA RUVUMA
Madiwani wa Manispaa ya Songea pamoja na Wafanya kazi wa Serikali wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Mh. Said Thabit Mwambungu alipofanya Ziara katika Manispaa ya Songea
KAZI YA MEYA NA MWENYEKITI WA HALMASHAURI NI KULETA MAENDELEO KATIKA MAENEO YAO
JEE STENDI KUU YA MJINI SONGEA ITATENGAMAA LINI?
JEE WAKINA MAMA KWA HATUA HII WATAJIKWAMUA NA UMASKINI?
Tuesday, October 11, 2011
MKUU WA MKOA WA RUVUMA Mh.SAID THABIT MWAMBUNGU AWATAKA WAISLAAM KUDUMISHA AMANI
Monday, October 10, 2011
JEE WAJUA VIVUTIO VILIVYOKO KATIKA MKOA WA RUVUMA ?
Subscribe to:
Posts (Atom)