Mazingira ya wanyama mbalimbali huishi sawa na eneo wanalo taka wanyama kama kinyonga, Kenge, Mjusi hutafuta maeneo ambayo wanaweza kupata kitoweo kwa urahisi kama vipepeo nzige na samaki wadogo katika kisiwa hiki cha pomonda kuna kila aina ya mijusi ya Rangi pia Vingonga wa kila namuna
Moja ya Vivutio kwa Watali ni Vinyonga wa ana mbali mbali kama unavyo mwona huyo hapo juu .Lakini la msingi kinyonga huishi kwa utalamu anapo taka mawindo fulani hujibadili na sehemu aliyopo.Nivizuri nao binaadamu wa kajifunza hali ya Kinyonga ili wakati wa Shida wajue kuna shida na wakati wa raha wakalijiua hilo
Kinyonga hana Rangi isipo kuwa Mwenyezi Mungu amempa kinyonga Uwezo wa kujibadili kutokana na Hali ya Mazingira ilivyo ana uwezo wa kujikinga ha Hatari kutokana na Hali ilivyo, Hapo Kajibadili akiwa Katika Jiwe kubwa eneo la Pomonda.
Maua yanapo chanua huonyesha furaha na yapo nyauka huonyesha mwisho wa uhai wa Binadamuhata Binadamu humia maua yanapo chanua kuonyesha furaha .Hakuna anaye tumia ua likiwa lime nyauka
KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Thursday, August 15, 2013
Wednesday, August 14, 2013
WATU WAO ISHI PEMBEZONI HUWA WAKWANZA KUFAIDI MATUNDA YA WAGENI KUTOKA NJE NDIVYO ILIVYO KWA WATU WA LITISHA
Wasanii wa Ngoma ya Asili ya Kinyasa ijulikanayo kwa jina la Mganda wakitumbuiza katika Sherehe ya Jubilei ya Miaka 25 ya Huduma ya Afya ya Msingi iliyofanyika katika Kijiji cha Litisha Peramiho Songea Vijijini.
Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramiho Dr. Ansgar Stuffe (kushoto) akiwa na wageni wake kutoka Ujerumani Rais wa Benki ya Ujerumani Frant Mader na Binti yake Franz Mader wakikagua mabanda ya utekelezaji wa shughuli za Afya ya Msingi zinazosimamiwa na Dr. Ansgar Stuffe katika kuboresha Afya za Jamii iliyo pembezoni.
Dr Ansgar Stuffe akiwa na wananchi wa Kata ya Ruvuma katika kusherekea jubilei ya Miaka 25 ya Utekelezaji wa Huduma ya Afya ya Msingi kwa wakazi wa Tarafa ya Ruvuma Peramiho Songea Vijijini
Ngoma ya Mganda ikishirikisha wanawake hebu ona wanawake wanavyo sakata ngoma , hii ni kuonyesha Wanawake wanaweza
Wahudumu wa Afya Vijijini (WAVI) wakifurahia Mafanikio ya Mradi wa Afya ya Msingi katika kipindi cha miaka 25, 1988 - 2013 kwa wananchi waishio pembezoni kata ya Ruvuma wilayani Songea Vijijini. Juhudi hizo zinatokana na jitihada za Dr. Ansgar kwa kushirikiana na Wahudumu wa Afya katika kutokomeza magonjwa yaliyokuwa yakiisumbua jamii hiyo.
Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramiho na Mfadhili wa Mradi wa Huduma ya Afya ya Msingi Vijijini akikagua Mabanda ya Maonyesho ya namna ya kujikinga na Afya Bora katika kuadhinisha jubilei ya Miaka 25 ya Utekelezaji wa Huduma hiyo kwa kuboresha huduma ya maji, kinga ya Malaria kwa kuwapa chandarua na kutokomeza magonjwa yaliyosahaulika.
BEDA UNAIONAJE SONGEA KATIKA UTAFITI WAKO WAAMBIE WASIO UJUA MKOA WA RUVUMA
Hayo ni maeneo anayo fanyia kazi bwana Beda Msibwe katika kutangaza vivutio vya Moa wa Ruvuma hiyo ni hotell mashuri ambayouna pata vyakula vya asili vya mtanzania
Crista Park Mo tell ni moja ya vivutio kwa wageni mkoani hapa vyakula vyote vya kigeni hupatika katika hoteli hiiina wahudumu walio enda shule na kuhitimu vizuri,uingiapo hapo una weza kusahau hata nyumbani
Beda Msimbwe baada ya kupata chakula katika Motel ya Crita Park akionyesha furaha kwa jinsi chakula kilivyo bora alio kuwa nao ni mabloger wa Mkoa wa Ruvuma kushoto Adam Mzuza Nindi Demasho blog
Nimekuambia ndugu yangu moja ya vivutio vizuri Mkoani hapa ni chakula cha uhakika kama unavyo kiona huo una itwa Ugali kwa Samaki
Crista Park Mo tell ni moja ya vivutio kwa wageni mkoani hapa vyakula vyote vya kigeni hupatika katika hoteli hiiina wahudumu walio enda shule na kuhitimu vizuri,uingiapo hapo una weza kusahau hata nyumbani
Beda Msimbwe baada ya kupata chakula katika Motel ya Crita Park akionyesha furaha kwa jinsi chakula kilivyo bora alio kuwa nao ni mabloger wa Mkoa wa Ruvuma kushoto Adam Mzuza Nindi Demasho blog
| Demasho akimwonyesha maeneo ndugu Beda Msimbwe katika eneo Songea Mjini |
WANANCHI WANAO ISHI PEMBEZONI HUISHI KWA MATATIZO HASA KATIKA UTAFUTAJI PESA
Jamii ya Watanzania wengi walioko pembezoni mwa Nchi katika kisomo chao wameweva kupata elimu kwa akina mama kuuza bagia kama unavyo ziona hapo juu lakini pamoja na hayo hakuna anaye weza kuzungumuza kuhusu bidhaa hiyo uki onekana una zungumuzia au kununua una onekana Mshamba.
Katika Utengenezaji wa Bagia uko aina nyingi bagia imeweza kuwa somesha watu wengi kutokana na gharama zake pia kwa vijijini ndicho kitafuno kikubwa ambacho kuanzia mtoto hadi mkubwa ana uwezo wa kukimudu jee unaye soma Blog hii umesomeshwa kwa mtindo gani, kama ni mtindo huu basio uwapo kijijini jaribu kuwa ungisha wa uzaji wa bidhaa hizi
Kama sikosei hakuna mtu asiye juua usafiri wa kijijini ni upi rahisi Gari za Vijijini ambo huweza kusafirisha bidhaa kiurahisi ni Punda hap[omama baada ya kutengeza pombe iitwayo Komoni ikiwa ime wekwa kwenye Gudulia tayari kwa kwenda kuuza
Watoto wenye umuri wa miaka 9-12 ndio wanao kuwa madereva wa kuendesha mikokoteni ya Punda wanasema kufanya hivyo kuna wasaidia kuweza kupata sare za shule, mahitaji muhimuya nyumbanipamoja na kuwa safirisha watu kwenda hospitalini, Jee wewe una mchango gani katika usafishaji wa Bidhaa vijijini
Punda anapo safiri huweza kujua kanununi zote za Barabarani akiambiwa simama huweza kusimama akiambiwa kimbia basi hukimbia lakini kama nilivyo sema madereva wa Usafiri huoa ni watoto walio chini ya miaka 12 hapoakiwa kijijiji cha morogoro kuelekea mashambani
Mama akiwa ana pokea pombe aliyo mtuma kijana aliye chini ya miaka 12 hapo ana ipeleka kilabuni tayari kwa kuuza
Katika kuadhimisha miaka 25 ya Huduma ya Afya ya Msingi Tarafa ya Ruvuma mpiga mbiu ya mgambo akiwa ita watu kusogea eneo la Sherehe uwanja wa Litisha Songea vijijini
Mtaji ulio wajuu kasa vijijini ni uuzaji wa pombe za kienyeji wanywaji hudai kuwa unapo kunywa pombe za kienyeji zina leta nguvu hata katika utayarishaji wa kilimo.jambo lingine huwa tiba wa watu wanao ishi vijijini ukiangalia ongezeko la wangonjwa vijijini na mjini wagonjwa wengi hutoka mijini
Mzee Marufu litisha akinywa Pombe ya kienyeji ijulukanayo kwa jina la Komoni Mzee Myakaya ana serma bila kuonja pombe ya kienyeji hawezi kufanya kazi yoyote ile
Usisahau Usafiri wetu vijijini tunapo zungumuza swala la Mkurabita tuangalie sana vijijini kweli ifikapo 2025 tutaweza uondoea umasikini waja wazito hawata safirishwa na punda, eneo la kilimo hatuta tegemea mifugo kwa ajili ya plau
Katika Utengenezaji wa Bagia uko aina nyingi bagia imeweza kuwa somesha watu wengi kutokana na gharama zake pia kwa vijijini ndicho kitafuno kikubwa ambacho kuanzia mtoto hadi mkubwa ana uwezo wa kukimudu jee unaye soma Blog hii umesomeshwa kwa mtindo gani, kama ni mtindo huu basio uwapo kijijini jaribu kuwa ungisha wa uzaji wa bidhaa hizi
Kama sikosei hakuna mtu asiye juua usafiri wa kijijini ni upi rahisi Gari za Vijijini ambo huweza kusafirisha bidhaa kiurahisi ni Punda hap[omama baada ya kutengeza pombe iitwayo Komoni ikiwa ime wekwa kwenye Gudulia tayari kwa kwenda kuuza
Watoto wenye umuri wa miaka 9-12 ndio wanao kuwa madereva wa kuendesha mikokoteni ya Punda wanasema kufanya hivyo kuna wasaidia kuweza kupata sare za shule, mahitaji muhimuya nyumbanipamoja na kuwa safirisha watu kwenda hospitalini, Jee wewe una mchango gani katika usafishaji wa Bidhaa vijijini
Punda anapo safiri huweza kujua kanununi zote za Barabarani akiambiwa simama huweza kusimama akiambiwa kimbia basi hukimbia lakini kama nilivyo sema madereva wa Usafiri huoa ni watoto walio chini ya miaka 12 hapoakiwa kijijiji cha morogoro kuelekea mashambani
Mama akiwa ana pokea pombe aliyo mtuma kijana aliye chini ya miaka 12 hapo ana ipeleka kilabuni tayari kwa kuuza
Katika kuadhimisha miaka 25 ya Huduma ya Afya ya Msingi Tarafa ya Ruvuma mpiga mbiu ya mgambo akiwa ita watu kusogea eneo la Sherehe uwanja wa Litisha Songea vijijini
Mtaji ulio wajuu kasa vijijini ni uuzaji wa pombe za kienyeji wanywaji hudai kuwa unapo kunywa pombe za kienyeji zina leta nguvu hata katika utayarishaji wa kilimo.jambo lingine huwa tiba wa watu wanao ishi vijijini ukiangalia ongezeko la wangonjwa vijijini na mjini wagonjwa wengi hutoka mijini
Mzee Marufu litisha akinywa Pombe ya kienyeji ijulukanayo kwa jina la Komoni Mzee Myakaya ana serma bila kuonja pombe ya kienyeji hawezi kufanya kazi yoyote ile
Usisahau Usafiri wetu vijijini tunapo zungumuza swala la Mkurabita tuangalie sana vijijini kweli ifikapo 2025 tutaweza uondoea umasikini waja wazito hawata safirishwa na punda, eneo la kilimo hatuta tegemea mifugo kwa ajili ya plau
Monday, August 12, 2013
JUBILEI YA MIAKA 25 YA MPANGO WA HUDUMA YA AFYA YA MSINGIHOSPITALI YA PERAMIHO9COMMUNITY BASED HEALTH CARE CBHC]
Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramiho Dr Ansgal Stuffe akiwa katika kuadhimisha miaka 25 ya HAMU Kwa mafanikio Makubwa
Wahudumu waanzilishi wa Huduma ya Afya ya Msingi walio anza miaka 25 iliyo pia
Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramiho Dr Ansigali Stuffe akiwa Mratibu wa Afya ya Msingi Tarafa ya Maposeni Abell Mapunda
Dr Ansgal Stuffe Akiingia katika ukumbi wa Emau kufunga semina ya watamu mbali mbali kutoka Mkoa wa Ruvuma
Abell Mapunda akimkaribisha Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramihoili aweze kufunga Semina ya Wahudumu wa Afya
Washiriki wa Semina ya Huduma ya Afya ya Msingi wakiwa Peramiho ukumbi wa Emau
Washiriki wakisikiliza kwa makini mafanikio na Changamoto katika huduma ya Afya ya Msingi
Ni washiriki wa kiwa ukumbi wa Emau Peramiho songea vijijni
Wahudumu wa AFYA YA MSINGI wakiadhisha miaka 25 ya Jiblei
Mwakilishi wa Dakitari wa Mkoa wa Ruvuma Dr Philis Morris Nyimbi akifungua rasimi semina ya Huduma ya Afya ya Msingi Peramiho
Mganga mkuu wa Hospitali ya Nyasa akisikiliza kwa makini changamoto zinazo wakabili wananchi wa mkoa wa Ruvuma
Wahudumu waanzilishi wa Huduma ya Afya ya Msingi walio anza miaka 25 iliyo pia
Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramiho Dr Ansigali Stuffe akiwa Mratibu wa Afya ya Msingi Tarafa ya Maposeni Abell Mapunda
Dr Ansgal Stuffe Akiingia katika ukumbi wa Emau kufunga semina ya watamu mbali mbali kutoka Mkoa wa Ruvuma
Abell Mapunda akimkaribisha Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramihoili aweze kufunga Semina ya Wahudumu wa Afya
Washiriki wa Semina ya Huduma ya Afya ya Msingi wakiwa Peramiho ukumbi wa Emau
Washiriki wakisikiliza kwa makini mafanikio na Changamoto katika huduma ya Afya ya Msingi
Ni washiriki wa kiwa ukumbi wa Emau Peramiho songea vijijni
Wahudumu wa AFYA YA MSINGI wakiadhisha miaka 25 ya Jiblei
Mwakilishi wa Dakitari wa Mkoa wa Ruvuma Dr Philis Morris Nyimbi akifungua rasimi semina ya Huduma ya Afya ya Msingi Peramiho
Mganga mkuu wa Hospitali ya Nyasa akisikiliza kwa makini changamoto zinazo wakabili wananchi wa mkoa wa Ruvuma
Friday, August 9, 2013
SIKU YA IDD SONGEA MKOANI RUVUMA
Shekh wa Masijidi Huda sheikh Shaban Chitete amewaomba Waumini wa
Dini ya Kiislamu kuendelea kuomba na kuswali ili Mwenyezi Mungu aendelee kuleta
Baraka zake . Sheikh Shaban Chitete
amewaasa Waislamu kuacha kuulazimisha Mwezi kuandama hiyo ni kuonyesha udhaifu wakushindwa
kufunga Ramadhani.
Sheikh Yusuph Kambaulaya wa
Dhehebu la Ahmadiya amewataka Waumini wa Dini ya Kiislamu kufuata Amri halali
za Serikali iliyopo madarakani ili
kudumisha amani na utulivu tulionayo
Waumikni wa Dini ya Kiislamu wameomba Vitendo vilivyoonyeshwa na waislamu wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani viendelezwe na miezi mingine.
Waumikni wa Dini ya Kiislamu
wameomba Vitendo vilivyoonyeshwa na waislamu wakati wa Mwezi Mtukufu wa
Ramadhani viendelezwe na miezi mingine.
Mzee Alhaji Mustafa Songambele akiwa katika swala ya Iddi Mjini Songea
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu amewataka Waislamu kuendeleza mema waliyoyafanya katika Mwezi wa Ramadhani ili kuendeleza Amani na Utulivu tulionao.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu ameyasema
hayo katika Msikiti wa Mjini Kati Songea wakati wa Swala ya Idd, amesema Tanzania
imekuwa mfano katika Dunia kwa kudumisha Amani.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu amesema hakuna Nchi Duniani
ambayo inaweza kumwabudu Mwenyhezi Mungu na kuleta maendeleo wakati kukiwa na Machafuko.
Waumikni wa Dini ya Kiislamu
wameomba Vitendo vilivyoonyeshwa na waislamu wakati wa Mwezi Mtukufu wa
Ramadhani viendelezwe na miezi mingine.
Friday, August 2, 2013
NANE NANE YA FANA RUVUMA
Hii ni hali halisi ya Nanenane katika mkoa wa Ruvuma kama unavyo ona Mhogo una lingana na Urefu wa Mtu karibu katika viwanja vya Nanenane ujipatie Mihogo kwa ajili ya kitafuno,Wakulima wa Mviwata wa kijivunia Mihogo waliyo lima
Mzee Pasical Mwiname kutoka Madaba Songea Vijijini akionyesha Tangawizi walizo lima zikiwa na Ubora wa Kimataifa
Mzee Pasical Mwiname akionyesha Tangawizi zilizo limwa mkoani Ruvuma
Mkuu wa Wilaya ya Songea Mh. Joseph Joseph Mkirikiti akifungua Rasimi Maonyesho ya Nane Nane Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambungu katika viwanja vya Masamala songea mjini
Mkuu wa Wilaya Joseph Joseph Mkirikiti akikagua banda la Veta katika maonyesho ya Nane Nane Songea
Mjasilia mali kutoka Lwanda TANICOAL Katika maonyesho ya nanenane akiwa ameta Vyungu na Makaa ya Mawe yanayo weza kutumika kwa watu majumbani kwa ajili ya kupikia
Mzee Pasical Mwiname kutoka Madaba Songea Vijijini akionyesha Tangawizi walizo lima zikiwa na Ubora wa Kimataifa
Mzee Pasical Mwiname akionyesha Tangawizi zilizo limwa mkoani Ruvuma
Mkuu wa Wilaya ya Songea Mh. Joseph Joseph Mkirikiti akifungua Rasimi Maonyesho ya Nane Nane Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambungu katika viwanja vya Masamala songea mjini
Mkuu wa Wilaya Joseph Joseph Mkirikiti akikagua banda la Veta katika maonyesho ya Nane Nane Songea
Mjasilia mali kutoka Lwanda TANICOAL Katika maonyesho ya nanenane akiwa ameta Vyungu na Makaa ya Mawe yanayo weza kutumika kwa watu majumbani kwa ajili ya kupikia
Subscribe to:
Posts (Atom)





