KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, September 10, 2014

VIJANA WA JKT MLALE SONGEA WAMALIZA MAFUZO YA MUJIBU WA KUJITOLEA YA MIAKA 50 YA MUNGANO

 Mgeni Rasimi katika kufunga mafunzo ya kujitolea ya Miaka 50 ya Mungano Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti akipandisha eleneo la kupoke Heshima kwa vijana 1953 walio hitimu
 Viongozi waandamizi wa Jeshi la Wananchi wakiongozwa na Kanali  Lucy Joseph Kaingilila wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasimi Mkuu wa Wilaya Joseph Joseph Mkirikiti
 Mkuu wa wilaya ya songea Joseph Joseph Mkirikiti akiwa katikati kulia ni kanal Lucy Joseph  na kushoto ni meja Thomasi Mpuku mkuu wa kambi ya JKT Mlae
 Meja Thomas Mpuku akiwa na Mkuu wa Wilaya songea Joseph Joseph Mkirikiti
 Vijana wa mafunzo ya kujitolea ya miaka 50 ya  Mungano wakisikiliza hotuba ya Mgeni Rasimi ,ambaye amewaambia kuachana na tamaa ,kuacha kumia mafunzo waliyo ya pata kwa kuafanya uhali bali wao wawe msitari wa mbele  kutangaza sifa mzuri ya Tanzania
 Chezea ulinzi wewe vijana wame iva kama unavyo waona kwenye picha ni moto wakuotea mbali ndugu yangu ukiona mafunzo yao huwezi kuamini macho yako
                                                            JKT MLALE SONGEA
 Vijana wa JKT Mlale wameiomba serekari kuongeza muda wa Mafunzo muda wa miezi mitatu wa nao utumia haukizi kuwaweka katika ukakamavu wangeomba mafunzo yawe ya miezisita kwa ufupi
 Vijana hawa wa JKT Mlale wamesma widhara ya mambo ya Ndani inapo awawakumbuke kwanza wao ili waweze kutumia ujuzi walio upata  iwe JWTZ ,Uhamiaji, Police
                                                       JKT MLALE SONGEA
                                                              Paredi na kiapo cha utii
                                        ukaguzi wa Gwaride na Mkuu wa Wilaya Joseph Joseph Mkirikiti
 Viongozi wakipokea heshima kwa vijana 1953 walio hitimu mafunzo ya Kujitolea ya Miaka 50 ya Mungano
                         Vijana wa kitoa kiapo kwa Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania
                                   Baada ya Paredi Vijana wakiwa katika Mapumuziko
 Hizo siyo kuni wa Vya kuchezea hiyo ina kuonyesha kuwa Tanzania haina utani katika ulinzi
                                                                                    JKT MLALE
                                        Vijana hao wanahamu ya kwenda Dafu Chezea JKT wewe
 Kijana ambaye ameiva akiendesha mafunzo ya kutumia singe unge kuwepo unge tamani na wewe kujiunga na JKT

 Vijana wakitoa heshima mbele ya Mgeni rasimi  Mkuu wa Wilaya Songea Joseph Joseph Mkirikiti
                                                                     JKT MLALE SONGEA
                                                                  JKT MLALE
                                             Mkuu wa wilaya ya songea akikagua gwaride
                                                                        JKT MLALE SONGEA
                                                                          JKT MLALE SONGEA
  JKT MLALE SONGEA

                                                                        JKT MLALE SONGEA
                                                                      JKT MLALE SONGEA
                                                             JKT MLALE SONGEA
                                                                           JKT MLALE SONGEA
                                                                            JKT MLALE SONGEA
                                                                          JKT MLALE SONGEA
                                                         JKT MLALE SONGEA
                                                                                  JKT MLALE SOPNGEA
                                                                               JKT MLALE SONGEA
                                                                           JKT MLALE SONGEA

Saturday, August 16, 2014

MTOTO FATINA MSUYA ANAOMBA MSAADA WENU NDUGU MLIO ZALIWA NA MAMA MWENYE UTASHI


Ndugu zangu nimezoea kuwa letea habari za Maendeleo na changamoto zinzo husu upande wa serekari, Leo sipo hivyo naomba kabla hujaendelea  kusoma Tarifa hii kwanza anza kuomba kwa Mwenyezi Mungu kumwombea Mtoto Fatina Msuya mwenye umuri wa mwaka mmoja toka azaliwe
Masikini mtoto Fatina Msuya alizaliwa tarehe 24/2/2013 .Mtoto huyu anatia huruma amezaliwa bila kuwa na sehemu ya kutolea haja kubwa kwa sasa anajisaidia kwa kutumia  tumbo. Hapo awali alikuwa akitolea sehemu ya haja ndogo baada ya kufanyiwa upasuaji ndipo alipo kuwa akitolea haja kumbwa Tumboniaidi ambayo imekuwa na aza kubwa z.

Mama Paulina Nyoni anaomba msaada wa kuweza kutibiwa mtoto wake gharama za matibabu ni shilingi milioni mbili, Yeyote Mwenye msaada basi anaweza kutuma kwa Mpesa no 0767 710 113 au 0755 061 588, kwa tarifa zaidi piga kwa mkurugenzi wa Songea Habari 0755 731 234
Ndugu zangu mtoto anatia huruma fikiri kama wewe ndiye mwenye tatizo hilo unge likabili vipi unaona jinsi mtoto avyo tazama kwa huruma  ,chonde tumwombee mtoto Fatina Msuya afanikiwe kwenda kutibiwa

Masikini mtoto Fatina  Msuya hivi sasa akipata haja kubwa inaongozana na damu, Mama yake mzazi Paula Nyoni anaishi Hanga vijijini katika Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma

Tuesday, August 5, 2014

JAJI MFAWIDHI WA KANDA YA SONGEA APATA AJALI NAKUPATA MATIBABU HOSPITALI YA TUNDURU

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela amesema Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Kanda ya Songea alikuwa akisafiri kikazi kutoka Songea kuelekea Tunduru akiwa kwenye Gari lenye Namba za Usajili J23 aina ya Toyota lundcruser lilipinduka baada ya Tayari la Mbele kupasuka.

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Songea Mwanaisha Athumani anaendelea na matibabu katika  Hospitali ya Wilaya ya Tunduru baada ya Kupata Ajali Maeneo ya Matemanga Wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Msikhela Mihayo akiwataja wengine waliokuwa kwenye Gari hiyo amesema ni Frank Frank Mwambali Msajili wa Mahakama Kuu ya Kanda ya Kanda ya Songea ambaye amepata michubuko, Askari Polisi W.P. Coplo 3712 Leocadia Mpambe wa jaji ambaye hakupata Majeraha yoyote na Dereva Kaoneka Martine  ambaye naye ametoka salama.

Saturday, August 2, 2014

MAMILIONI YA FEDHA YA TENGWA KWA AJILI YA WAZEE MKOANI RUVUMA


Wazee walioko mkoa wa Ruvuma wapatao 10,000 wanatarajia kunufaika na huduma za afya baada ya Halimashauri 5 za mkoa wa Ruvuma kutenga kiasi cha shilling milioni 100,501,000/=
Wajumbe Mbalimbali kutoka idara ya Ustawi wa Jamii wakiwakilisha tarifa katika Mkutano ulio andaliwa na PAD Shirika linalo hudumia wazee lilioko Mkoa wa Ruvuma wamekieleza kikao hicho juhudi zinazo fanywa ili kuwahudumia wazee na wategemezi wawazee.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Daniel Malekela akitoa agizo kwa waganga wa wilaya za Mkoa wa Ruvuma juu ya Kutumia Mifuko ya Fedha ili kuwa hudumia Wazee

Mkurugenzi Msingwa amesema swala lililo saidia kupunguza vitendp vya ukatili dhidi ya wazee ni baada ya kuunda Mabaraza ya wazee pamoja na kutoa Elimu kupitia tasisi za serekari na watu binafisi,Hivi sasa wazee wanatibiwa bila kunyanya paliwa

Mkurugenzi wa PAD[ Shirika linalo Hudumia Wazee Tanzani ] Issaca Msigwa amesema shirika la PAD limefanikiwa kupunguza vitendo vya ukatili upande wawazee ambapo hapo awali kila wakati wazee wenye macho mekundu au kuhisiwa kwa imani za ushirikina walikuwa wakiuwawa mfano mmoja wapo ni wazee wa kijiji cha magagula ambao walichomwa moto

 Wajumbe kutoka halimashari 5 za mkoa wa Ruvuma wakijadili kwa kina kuhusu swala la wazee na upataji huduma za Afya

Wajumbe walio hudhuria kikao kilicho jumusha halimashauri 5 za mkoa wa Ruvuma wameadhimia kuwa kila halimashauri nilazima iandae vitambulisho vya matibabu kwa wazee,pia kila Halimashauri iwe na idadi kamili ya wazee pamoja na wanao wategemea il kuepusha wanao timia mika 18 wasiwe tegemezi kwa wazee walkio pata msamaha wa matibabu

 Maratibu wa Wazee kutoka Manispaa ya Songea Ngelangela akisikiliza kwa makini swala la Manspaa ya Songea lilipo kuwa likiwakilshwa na kunukuru kero za wazee

Kikao hicho kili toa Changamoto zinazo wakabili wazee, Mashirika ya dini kukosha huduma kwa wazee kwa kuto tambua vitambulishowalivyo pewa,Wazee kukosa wawakilishi katika ngazi mbalimbali zinazo toa Maamuzi,Wazee kukosa Madisha Malumu kama ilivyo fanya Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza.Kikao kimeagiza kufanyike ziara ya mafunzo kwa kutembelea Magu,Mbalali, Simiyu

 Mfanyakazi waq PAD akiwa katika kikao kujua vipi wilaya zina fanya kazi maeneo mbambali ya Mkoa wa Ruvuma
Dakitari kutoka Halimashauri ya Wilaya akisikiliza kwa makini hoja zinazo tolewa zinazo husu Hosipitali za Mkoa wa Ruvuma
 Madhari ya Kituo cha PAD kilichopo Unangwa Manspaa ya Songea kilivyo jidhatiti katika maswala ya Mazingira
                                                  Wajumbe wa kikao wakiwa ukumbini
 Afisa usitawi wa Jamii kutoka Tunduru Blandina Sekela akijieleza jinsi wanavyo hudumia wazee Tunduru
AQfisa ustawi wa jamii Suzana Mkondaya akieleza jinsi wazee wa halimashauri ya wilaya Songea Vijijini wanavyo faidi huduma