Hapo jengo hilo la wanawake Police Songea likionekana kutoka mbali
KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuesday, February 21, 2012
JENGO LA POLICE WANAWAKE SONGEA LA TIA MOYO
Hapo jengo hilo la wanawake Police Songea likionekana kutoka mbali
Monday, February 20, 2012
ZIARA YA MAKAMU WA RAIS Mohamed Gharib Bilal MKOANI RUVUMA
Wednesday, February 8, 2012
POLICE WANAWAKE WAANZA KUJENGA JENGO LAO KWA AJILI YA HUDUMA ZA WANAWAKE
MKOA WA RUVUMA WAENDELEA KUPATA UFAULU KATIKA KILIMO
UKIUKAJI WA SHERIA UPANDE WA VIUMBE NA SHERIA ZA MANSPAA
Binadamu ameteuliwa na Mungu ili awe mlinzi wa viumbe hapa duniani awe mwadilifu,atumie utashi na busara katika kutoa maamuzi kwa upande wa viumbe vinavyo mtegemea. Sasa hebu angalia huu ndio ulinzi tulio pewa na Mungu kulinda Viumbe vyake ? jee ushikaji huu wa kuku kichwa chini na miguu juu ni haki? kiumbe ni kiumbe hebu fikiri watu wanao itwa wachawi binadamu wa kawaida wanawaonaje wachawi Tumia Busara katika kubeba viumbe ukimwona mtu kama huyu mkemee mara moja ,mbona matenga yapo kwa nini usitumie tenga
Subscribe to:
Posts (Atom)