KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Thursday, July 11, 2013
ORYX YA TINGA SONGEA
Habari njema kwa Wanasongea,
"Katika muendelezo wa kusogeza huduma na bidhaa za Oryx Gas kwa wateja
wetu, ORYX Gas imefungua rasmi duka na depot ndogo mtaa wa SIDO kituo cha
mafuta kwa Komba- Mjini Songea. Tunasema sasa adha ya kukatika kwa nishati
muhimu ya gesi katika mkoa wa Ruvuma sasa baaasi" alisema Bwana Mahfoudh
Maulid- Meneja Mauzo wa Oryx Gas.
Tunataraji duka letu litasaidia kuhakikisha upatikanaji wa gesi katika mkoa
wa Ruvuma kwa bei elekezi ili kumlinda mteja wa ORYX Gas. Tunawaarifu
wasambazaji wetu wa Oryx, kuchukua bidhaa za Oryx kutokea duka letu na
kukemea kupandisha bei kiholela. Oryx ilianzisha utaratibu wa bei moja nchi
nzima kuanzia Decemba mwaka jana na bei kwa mtumiaji wa mwisho imekuwa shs
22,000 shs 54,000 na shs 133,000 kwa mitungi ya kilo 6, kilo 15 na kilo 38.
Aidha, Bwana Mahfoudh alihimiza watumiaji kuhakiki mitungi ya gesi
wanayonunua ina vizibo maalum au "seal", na wadai kupimiwa katika mizani
wanunuapo gesi. Uzito wa mtungi pamoja na gesi iliyomo ndani ya mtungi
vimeandikwa juu ya mtungi.
Hali kadhalika, Mahfoudh alinadi utaratibu mpya wa "Piga Uletewe" kwa maana
ya kuwa huhitaji tena kuhadaika na mtungi wa gesi ila tu piga simu uletewe
gesi nyumbani, mgahawani na hotilini kwako. Namba ya simu ya mhudumu wa
duka la Oryx ni 0758 002 090.
Kwa msisitizo mkubwa, Mahfoudh amewaomba wananchi kuwa makini na kutokubali
kubadilishiwa mitungi isiyokuwa rangi nyekundu ya Oryx. Wateja wetu
wanadanganywa na kufanyiwa uhuni usiokubalika kwa mujibu wa Sheria za Gesi
ya LPG. Mteja atapopeleka mtungi wa Oryx kwa muuza duka, amtake kumpatia
mtungi wa Oryx wa rangi nyekundu na si vinginevyo. Usisite kutoa taarifa
kwa namba +255767062896 endapo utafanyiwa uhuni huu. Hili ni kosa kisheria
na Oryx inao wajibu wa kuchukua hatua kali za sheria kwa watuhumiwa.
Kwa hali ya kipekee kabisa, nitoe tena shukrani za dhati kwa wateja wetu
wapendwa wa ORYX GAS, Taasisi mbalimbali za serikali na binafsi, wadau
mbalimbali ambao kwa pamoja tumekuwa tukishirikiana kunadi na kuelemishana
kutumia nishati mbadala kama ORYX GAS ili kutunza mazingira yetu. Oryx Gas
ni nishati mbadala ambayo ni Safi, Salama, Garama nafuu, Chapchap na rafiki
wa afya na Mazingira.
Endelea kufurahia nishati yako ya Oryx Gas, na kwa wasambazaji wapya,
tafadhali tuma sms au piga simu namba kwa Sales Person wetu wa kanda
+255759588115 au moja kwa moja kwa Meneja Mauzo 0755 017 073. Oryx Gas,
Mtindo wa Kisasa!
Wednesday, July 10, 2013
UNAPO INGIA KARINE YA 21 NILAZIMA UBADILI MAISHA KWA KUTUMIA TECONOLOGIA YA KISASA
Kampuni ya ORYX GAS imewaletea huduma mhimu wakaazi wa Mkoa wa Ruvuma Ges yenye bei nafuu, unapo taka kuipata huna haja ya kusumbuka kutemea kufuatia kwenye maduka wewe kazi yako ni kupiga simu tu,Hebu angalia huyo mama anavyo faidi
Hiyo niges ikiwa katika viwango mbalimbali na una pata kwa bei nafuu ,Ges hiyo ina uzwa katika Sheli ya Komba iliyoko kati kati ya mji
Hiyo niges ikiwa katika viwango mbalimbali na una pata kwa bei nafuu ,Ges hiyo ina uzwa katika Sheli ya Komba iliyoko kati kati ya mji
Tuesday, July 9, 2013
USHIRIKINA UNAWEZA KUWA ADHABU KWA MABINTI PALE WANAPO TAKA KUPATA WATOTO
Mabinti hao wawili wakiwa kwa mganga wa jadi Bint Ndembo wa Namtumbo Ruvuma kuomba wafunguliwe baada ya kumtuhumu bibi yao kuwa wame fungwa kizazi, Bibi yao alikiri kuwa kweli yeye ndiye aliye wafunga kibuyu alicho kamata binti wa kwanza kulia ndicho kilicho tumika kuwa funga hawo ma binti, Msomaji una maoni gani kuhusu hilo
Wednesday, July 3, 2013
MJUMBE WA UTPC ATEMBELEA RUVUMA PRESS CLUB -SONGEA
Katibu wa Ruvuma Press Club Andrew Chatwanga akiwa na Mgeni kutoka UTPC Mzee George Mkude akiwa katika ofisi za Asasi zisizo kuwa za kiserekari Mkoa wa Ruvuma ,RUNECISO [Ruvuma Network of civil society organization ] na aliye mshika bega katibu msaidizi Mosses Konara ni Makamu Mwenyekiti wa RUNECISO Adamu Mzuza Nindi
Mgeni kutoka UTPC Mzee George Mkude akiwa na jopo la Viongozi wa andamizi kutoka kulia Juma Nyumayo Mratibu wa RUNECISO, Anaye fuatia kutoka kulia ni Moses Konara katibu msaidizi wa Ruvuma Press Club na anaye onyesha kibao ni Mzee George Mkude ,aliye kushotokwa mzee mkude ni katibu wa Ruvuma Press Club Andrew Chatwanga.
Mzee George Mkude kutoka UTPC amewataka waandishi wa habari kuwa chachu ya kuleta maendeleo hasa kuangalia watu wanaoishi pembezoni mwa mikoa ili waweze kujiondoa katika umasikini.pia amewataka waandishi wa habari habari zao ziwe kama dira ya kuwaongoza viongozi kujua changamoto zinazo wakabili watu wanaom ishi pembezoni
Mgeni kutoka UTPC Mzee George Mkude akiwa na jopo la Viongozi wa andamizi kutoka kulia Juma Nyumayo Mratibu wa RUNECISO, Anaye fuatia kutoka kulia ni Moses Konara katibu msaidizi wa Ruvuma Press Club na anaye onyesha kibao ni Mzee George Mkude ,aliye kushotokwa mzee mkude ni katibu wa Ruvuma Press Club Andrew Chatwanga.
Mzee George Mkude kutoka UTPC amewataka waandishi wa habari kuwa chachu ya kuleta maendeleo hasa kuangalia watu wanaoishi pembezoni mwa mikoa ili waweze kujiondoa katika umasikini.pia amewataka waandishi wa habari habari zao ziwe kama dira ya kuwaongoza viongozi kujua changamoto zinazo wakabili watu wanaom ishi pembezoni
Saturday, June 29, 2013
NDOA NYINGI HIVI SASA ZINA VUNJIKA KUTOKANA NA UTAMADUNI WA KIGENI
Ndugu mtazamaji na msomaji wa Blog hii napenda kukupa kitu kipya ambacho huenda huja kifikilia au kukiwaza. Kwa utafiti nilio ufanya kwa kutembea nchi za Afrika mashariki na ya kati imeonyesha kuwa ndoa nyingi zina vunjika kutokana na kukosa mawasiliano kati ya mama na baba wakati wa kupumuzika usiku,
Naomba nikurudishe utafiti nilio fanya ndoa za vijijini kwa asilimia 25% zina vunjika kwa sababu ya tabia. lakini ndoa asilimia 80% kwa watu wanao kaa mjini ni ukosefu wa mawasiliano ya kimwili, Hebu ona ukubwa wa kinda hicho wana lala watu wawili wakigombana kila mmoja ana lala kwakwe jee mahusiano yana weza kurudi kwa mtindo huo.
Nirudi vijijini kuna vitanda vina itwa Teremuka Tukaze Vitanda hivi vime kuwa chanzo cha suluhisho la ndoa mtu akigombana na mke wake wakija kulala wote hutumbukia kwenye kitanda na tofauti zao zina anza kwisha toka wakati huo. Hivyo tujue Ukiwa na kitanda cha 6x6 .5x6, ujue ndoa yaklo una iweka Hatarini Jaribu kufanya ufumbuzi mara moja ili ndoa yako idumu, Hayo nimawazo yangu mimi niliyo ya tafiti kwa kipindi cha miaka 30 samahani sikipata kitanda cha Teremuka tukaze ni kikipata nita weka ili ulinganishe na mawazo yangu
Naomba nikurudishe utafiti nilio fanya ndoa za vijijini kwa asilimia 25% zina vunjika kwa sababu ya tabia. lakini ndoa asilimia 80% kwa watu wanao kaa mjini ni ukosefu wa mawasiliano ya kimwili, Hebu ona ukubwa wa kinda hicho wana lala watu wawili wakigombana kila mmoja ana lala kwakwe jee mahusiano yana weza kurudi kwa mtindo huo.
Nirudi vijijini kuna vitanda vina itwa Teremuka Tukaze Vitanda hivi vime kuwa chanzo cha suluhisho la ndoa mtu akigombana na mke wake wakija kulala wote hutumbukia kwenye kitanda na tofauti zao zina anza kwisha toka wakati huo. Hivyo tujue Ukiwa na kitanda cha 6x6 .5x6, ujue ndoa yaklo una iweka Hatarini Jaribu kufanya ufumbuzi mara moja ili ndoa yako idumu, Hayo nimawazo yangu mimi niliyo ya tafiti kwa kipindi cha miaka 30 samahani sikipata kitanda cha Teremuka tukaze ni kikipata nita weka ili ulinganishe na mawazo yangu
Monday, June 17, 2013
UTALI WA NDANI ULIOPO KATA YA LIULI WA PASWA KUENZIWA NA WATANZANIA WENYEWE
Mwonekano wa Jiwe la kihistoria kwa ubavuni linalojulikana kwa jina Pomonda lililopo Ziwa Nyasa lililotumiwa kujificha na wananchi wakati wa Vita vya Dunia.
Viongozi wandamizi wa Shirika lisilo la Kiserikali la RUNECISO wakielekea Katika Jiwe la Pomonda kuona hali ya Pamgo lilipo katika Jiwe hilo ambalo lilihifadhi watu waliojificha wakati wa Vita vya 1 na vya 2 vya Dunia
Jiwe la POMONDA likionekana kwa nje katika Ziwa Nyasa eneo la Liuli.
Kivutio kimoja wapo katika Mwambao wa Ziwa Nyasa katika eneo jirani na Jiwe la Pomonda ni Machweo ya Jua (SUNSITE)kama yanavyoonekana pichani kwa mbali
Jiwe la POMONDA lililopo katika Ziwa Nyasa hapo ni nje ya Pango ambalo kwa ndani lina uwezo wa kuhifadhi watu 250 kwa wakati mmoja hapo ni namna maji kupwa yanavyoonekana pembeni mwa jiwe hilo.
Katibu Muhtasi wa RUNECISO akiwa katika utalii nyuma ya Jiwe hilo la Pomonda eneo la Ziwa Nyasa akichukua kumbukumbu za Historia ya eneo hilo na Mabadiliko yaliyopo pembeni kushoto kwake ni mti ambao una umri zaidi ya karne moja lakini haukui zaidi ya hapo.
Ufukwe wa Ziwa Nyasa namna unavyoonekana pichani na kuvutia kwa Madhari ambapo shughuli za kiuchumi kwa Wananchi wa Ziwa Nyasa huzifanya eneo la Mwambao wa Ziwa Nyasa au kuvuka Nchi jirani ya Malawi ambayo imetenganishwa na Ziwa Nyasa.
Washiriki wa Mdahalo wa Mabadiliko ya HAli ya Hewa uliofanyika Liuli Wilayani Nyasa kwa Ufadhili wa Foundation for Civil Society wakionyesha Jiwe la POMONDA linalovutia watalii mbalimbali wanaokuja kutembelea Ziwa Nyasa.
Hapo ni Meli ya MV Songea ambayo hutumika kusafirisha Abiria na Bidhaa kutoka Tanzania kuelekea Malawi kupitia Ziwa Nyasa ikiwa imetia Nanga Liuli Ziwa Nyasa
Viongozi waandamizi wa RUNECISO hapo wakiwa ndani ya Jiwe hilo la kihistoria na kivutio cha watalii, picha unayoiona ni ndani ya pango la Pomonda ambalo lina uwezo wa kuhifadhi watu zaidi ya 250 kwa wakati mmoja lililotumiwa kujificha wakati wa vita vya kwanza na vya pili vya dunia ambapo wazalendo wa Kitanzania walikuwa wanajificha. Aliyekaa Chini ni Makamu Mwenyekiti wa RUNECISO na Mwandishi wa Star Tv akiwa amechoka baada ya kupanda kwa shida jiwe hilo hadi kulifikia Pango.
Hizi ni Nyumba zilizopo katika ufukwe wa Ziwa Nyasa za wakazi wa kawaida wanaofaidi Ufukwe wa Ziwa Nyasa.
Viongozi wandamizi wa Shirika lisilo la Kiserikali la RUNECISO wakielekea Katika Jiwe la Pomonda kuona hali ya Pamgo lilipo katika Jiwe hilo ambalo lilihifadhi watu waliojificha wakati wa Vita vya 1 na vya 2 vya Dunia
Jiwe la POMONDA likionekana kwa nje katika Ziwa Nyasa eneo la Liuli.
Kivutio kimoja wapo katika Mwambao wa Ziwa Nyasa katika eneo jirani na Jiwe la Pomonda ni Machweo ya Jua (SUNSITE)kama yanavyoonekana pichani kwa mbali
Jiwe la POMONDA lililopo katika Ziwa Nyasa hapo ni nje ya Pango ambalo kwa ndani lina uwezo wa kuhifadhi watu 250 kwa wakati mmoja hapo ni namna maji kupwa yanavyoonekana pembeni mwa jiwe hilo.
Katibu Muhtasi wa RUNECISO akiwa katika utalii nyuma ya Jiwe hilo la Pomonda eneo la Ziwa Nyasa akichukua kumbukumbu za Historia ya eneo hilo na Mabadiliko yaliyopo pembeni kushoto kwake ni mti ambao una umri zaidi ya karne moja lakini haukui zaidi ya hapo.
Ufukwe wa Ziwa Nyasa namna unavyoonekana pichani na kuvutia kwa Madhari ambapo shughuli za kiuchumi kwa Wananchi wa Ziwa Nyasa huzifanya eneo la Mwambao wa Ziwa Nyasa au kuvuka Nchi jirani ya Malawi ambayo imetenganishwa na Ziwa Nyasa.
Washiriki wa Mdahalo wa Mabadiliko ya HAli ya Hewa uliofanyika Liuli Wilayani Nyasa kwa Ufadhili wa Foundation for Civil Society wakionyesha Jiwe la POMONDA linalovutia watalii mbalimbali wanaokuja kutembelea Ziwa Nyasa.
Hapo ni Meli ya MV Songea ambayo hutumika kusafirisha Abiria na Bidhaa kutoka Tanzania kuelekea Malawi kupitia Ziwa Nyasa ikiwa imetia Nanga Liuli Ziwa Nyasa
Viongozi waandamizi wa RUNECISO hapo wakiwa ndani ya Jiwe hilo la kihistoria na kivutio cha watalii, picha unayoiona ni ndani ya pango la Pomonda ambalo lina uwezo wa kuhifadhi watu zaidi ya 250 kwa wakati mmoja lililotumiwa kujificha wakati wa vita vya kwanza na vya pili vya dunia ambapo wazalendo wa Kitanzania walikuwa wanajificha. Aliyekaa Chini ni Makamu Mwenyekiti wa RUNECISO na Mwandishi wa Star Tv akiwa amechoka baada ya kupanda kwa shida jiwe hilo hadi kulifikia Pango.
Hizi ni Nyumba zilizopo katika ufukwe wa Ziwa Nyasa za wakazi wa kawaida wanaofaidi Ufukwe wa Ziwa Nyasa.
RUNECISO YA FANYA MDAHALO KUHUSU MABADILIKO YA HALI YA HEWA KATIKA KATA YA LIULI WILAYA YA NYASA
Mkurugenzi wa Pomonda Raha Beach Joseph Ndomondo akitoa akichangia mada ya Mabadiliko ya hali ya hewa katika mdahalo ulio andaliwa na RUNECISO na kufadhiliwa na The Foundation Civil Society ulio fanyika katika kata ya Liuli Wilaya ya Nyasa
Makamu Mwenyekiti wa Halimashauri ya Wilaya ya Mbinga akifungua Mdahalo na Kukemea vikali kuhusu uvuvi samaki katika ziwa Nyasa kutumia sumu, Pia amekemea kujisaidia Vikani na Ziwanina kumtaka kilaMwana kaya kuwa na ChooWashiriki wa Mdahalo wa kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa wakiji funza kwa vitendo jinsi ya kutunza mazingira kati mwambao wa ziwa nyasa eneo la liuli
Mwenyeki wa Mtandao Police wanawake akishiriki mdahalo wa Mabadiliko ya Hali ya Hewa Liuli
Kaimu OCD wa wilaya ya Nyasa wa kwanza kulia akisikiliza kwa makini mdahalo wa Madiliko ya Hali ya Hewa ulio fanyika Liuli
Mwenyekiti wa RUNECISO Michael Mahecha akitoa neno la mbele na kuwa taka wananchi wa Liuli kuacha kuuza eneo la Ufukwe huko ni kuji tia umasikini.
ASS/INSP Fadhila Chacha akito mada kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Hewa kwa kuwa taka Wananchi wa Liuli kuto fanya vitu kwa makusudi huku wakijua wa na Haribu Mazigira na kusababisha Mabadiliko ya hali ya Hewa
Wadau wa Mdahalo wa Mabadiliko ya Hali ya Hewa wa kisikiliza kwa makini mada Hizo kulia ni Katibu wa Ruvuma Press Mosses Konara
Wadau wa Mdahalo Liuli wa kiratibu maswala mhimu katika mdalo huo, Ikiwemo kuorodhesha wavuvi wote wanao tumia sumu katika uvuvi,Wachomaji Moto ovyo katika Mwambao wa Ziwa Nyasa na kuweka mikakati imara ya kukabiliana na vitendo hivyo
| Washiriki wakiwa katika ziwa Nyasa kujifunza Mabadiliko ya Hali ya Hewa ya navyo weza kuchangia uchafuzi wa mazingira |
Subscribe to:
Posts (Atom)


