Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aliye pita Crisitina Ishengoma katika uongozi wake ameweza kuinua kilimo mkoa wa Ruvuma kwa Asilimia 100 hadi serekari kuelemewa na ununuzi wa mahindi
KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Saturday, December 31, 2011
VIONGOZI WA MKOA WA RUVUMA WALIFANYA NINI MKOANI RUVUMA ?
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aliye pita Crisitina Ishengoma katika uongozi wake ameweza kuinua kilimo mkoa wa Ruvuma kwa Asilimia 100 hadi serekari kuelemewa na ununuzi wa mahindi
Thursday, December 29, 2011
SONNGO WAENDESHA MCHAKATO WA KATIBA SONGEA
Wednesday, December 28, 2011
MAMA AUWAWA KIKATILI ATUPWA PORINI SONGEA NDUGU HAWAJAPATIKANA
MTOTO ATUPWA PORINI NA MTOTO MWINGINE ATELEKEZWA NA MAMA YAKE SONGEA
Mtoto aliye telekezwa na mama yake Naimu Baraka akiwa kituo cha Police baba ya Baba yake kujisalimisha Police kutoa maelezo ya mtoto
Tuesday, December 27, 2011
MANSPAA YA SONGEA YA GUBIKWA NA UCHAFU
Sunday, December 25, 2011
MATUKIO KATIKA SIKUKUU YA CRISMAS RUVUMA
Waumini wanafunzi wa Sekondari ya wasichana Songea wakifuatilia kwa usikivu mkubwa Ibada ya Krismas katika Kanisa la Moraviani Songea Manispaa.
Sunday, December 18, 2011
MKUU WA MKOA WA RUVUMA SAID THABITH MWAMBUNGU AWA TAKA WANACHI KUTUMIA VIZURI BARABARA ILI KUEPUKANA NA VIFO VINAVYO TOKANA NA VYOMBO VYA MOTO
Wahitimu 105 walio hitimu mafunzo ya Udereva katika chuo cha Veta Mkoani Ruvuma waliaswa na Mkuu wa mkoa wa Ruvuma kuwa makini wawapo barabarani Uhai wa watu unawategemea wao, pia nao wawe na Huruma na Roho zao wanapo Endesha Gariili kunusuru vifo kwa watu
Saturday, December 17, 2011
AZAKI ZISIZO ZA KISEREKARI ZA KUTANA DODOMA
Wednesday, December 14, 2011
MEJA AHEMED MGUMBA AKIWA KAZINI MKOANI RUVUMA
Tuesday, December 13, 2011
WAZIRI WA HABARI VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO ATEMBELEA HOSIPITARI SONGEA
Subscribe to:
Posts (Atom)