KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Monday, January 30, 2012
Saturday, January 28, 2012
mwandishi wa gazeti la majira ajifungua
WAKATI MWINGINE UNA WAJIBIKA KUKUBALIANA NA HALI HEBU ONA MWANDISHI WA HABARI MACHACHARI CERENSECIA KAPINGA AKIWA KATIKA PIKIPIKI YA WAGONJWA NI KWELI HIZO PIKIPIPI ZINAWEZA KUMUDU MILIMA YA MBINGA AMBAKO NI NYUMBANI KWA MWANDISHI HUYU
Monday, January 23, 2012
JESHI LA KUJENGA TAIFA WATAKIWA KUJIAJIRI BAADA YA KUHITIMU BADALA YA KUNGOJA AJIRA KUTOKA SERIKALINI
MAAFALI BEROYA SEKONDARI
Monday, January 16, 2012
MWANA HARAKATI WA MAMBO YA UCHUMI BARANABASI MPOMBO ATUTOKA MKOANI RUVUMA
Umati wawatu walio furika katika katika mazishi ya mwanaharakati Baranabasi Mpombo
JESHI LA POLICE MKOA WA RUVUMA LA PATA TUNZO KWA UTOAJI WA HUDUMA KATIKA ZAHANATI
Hati iliyo tolewa na USAID Shirika la kimarekani ambalo limetoa tunzo kwa jeshi la POLICE Mkoa wa ruvuma baada ya kutoa huduma bora kwa wananchi kuhusu swala la UKIMWI,Baki ya tunzo hiyo USAID Ita jenga Zahanati FFU Kikosi cha kuzuia Ghasia Mkoa wa Ruvuma ambvacho kita kuwa cha kisasa
BIMA WA PATA GARI JIPYA KUBORESHA HUDUMA VIJIJINI
Mteja baada ya kupokea hundi yake anaihifadhi kwenye begi lake tayari kwa matumizi, kupeleka watoto shule,kununua pembejeo
WANDISHI WA HABARI WAPATA MAFUNZO YA JINSI YA KUANDIKA HABARI ZA MAHAKAMANI
Katibu wa Waandishi wa Habari Andrew Chatwanga akieleza kuhusu Mshiko ulivyo kuwa Mdogo lakini cha kuzingatia ni Mafunzo ingawa fedha ni ndogo, Pia pamoja na Hilo PRESS Haita sita kutunisha mfuko wake kila mwandishi atakatwa shilingi 12,000/= kwa ajili ya ada PRESS bila Ada haiwezi kwenda alisisitiza Katibu
Sunday, January 15, 2012
NINDAI POVERTY ALLEVIATION ASSOCIATION NA KUZUIA RUSHWA MKOA WA RUVUMA
Saturday, January 7, 2012
MDAHALO WA MCHAKATO WA KATIBA WILAYA YA MBINGA
Friday, January 6, 2012
JUHUDI ZA AKINA MAMA NA MWAKA 2012
Thursday, January 5, 2012
MWAKA MPY NA JWTZ SONGEA
Ishara ya kuukaribisha mwaka mpya ni kufyatua fataki ili kuukaribisha mwaka mpya hapo mkuu wa wilaya akiangalia jinsi mwaka unavyo ingia
Wednesday, January 4, 2012
MAFANIKIO YA WAANDISHI WA HABARI KWA MWAKA 2012
Sunday, January 1, 2012
MWAKA MPYA UMEINGIA JEE SEREKALI MBALIMBALI ZINA ZINGATIA HAKI ZA BINADAMU ?
WATOTO MKOA WA RUVUMA WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA VITENDO VYA UKATILI WANAVYO FANYIWA JEE MWAKA 2012 ITAKUWAJE ?
Watoto hawa wanapaza kilio chao kulaani vivetendo wanavyo fanyiwa vya kikali dhidi yao, Jee wazazi walio wazaa watoto hawa watafanyaje ili watoto waelewe kuwa kilio chao kina sikika, Nao wazazi ambao hufanya vitendo vya kikatili kwa kuwabaka watoto kuwa lawiti, kuwa choma moto kwa sababu ya kupoteza shilingi, kuwa uwa watoto kwa sabababu ya mapenzi kati ya wazazi wawili.Mwaka 2012 utakuwajee kwa kizazi hiki ? Ndugu yangu wewe ni mmoja ambaye una weza kuondoa tatizo hili kwa kutoa tarifa kwenye vyombo vya dola unapo ona vitendo vya unyanyasaji vina tendeka hapo uta kuwa ume ingia mwakwa 2012 kwa amani.Mungu wajalie wazazi na watoto wapate amani mwaka 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)