KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, January 1, 2012

WATOTO MKOA WA RUVUMA WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA VITENDO VYA UKATILI WANAVYO FANYIWA JEE MWAKA 2012 ITAKUWAJE ?


Watoto hawa wanapaza kilio chao kulaani vivetendo wanavyo fanyiwa vya kikali dhidi yao, Jee wazazi walio wazaa watoto hawa watafanyaje ili watoto waelewe kuwa kilio chao kina sikika, Nao wazazi ambao hufanya vitendo vya kikatili kwa kuwabaka watoto kuwa lawiti, kuwa choma moto kwa sababu ya kupoteza shilingi, kuwa uwa watoto kwa sabababu ya mapenzi kati ya wazazi wawili.Mwaka 2012 utakuwajee kwa kizazi hiki ? Ndugu yangu wewe ni mmoja ambaye una weza kuondoa tatizo hili kwa kutoa tarifa kwenye vyombo vya dola unapo ona vitendo vya unyanyasaji vina tendeka hapo uta kuwa ume ingia mwakwa 2012 kwa amani.Mungu wajalie wazazi na watoto wapate amani mwaka 2012

No comments:

Post a Comment