Watoto hawa wanapaza kilio chao kulaani vivetendo wanavyo fanyiwa vya kikali dhidi yao, Jee wazazi walio wazaa watoto hawa watafanyaje ili watoto waelewe kuwa kilio chao kina sikika, Nao wazazi ambao hufanya vitendo vya kikatili kwa kuwabaka watoto kuwa lawiti, kuwa choma moto kwa sababu ya kupoteza shilingi, kuwa uwa watoto kwa sabababu ya mapenzi kati ya wazazi wawili.Mwaka 2012 utakuwajee kwa kizazi hiki ? Ndugu yangu wewe ni mmoja ambaye una weza kuondoa tatizo hili kwa kutoa tarifa kwenye vyombo vya dola unapo ona vitendo vya unyanyasaji vina tendeka hapo uta kuwa ume ingia mwakwa 2012 kwa amani.Mungu wajalie wazazi na watoto wapate amani mwaka 2012
KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Sunday, January 1, 2012
WATOTO MKOA WA RUVUMA WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA VITENDO VYA UKATILI WANAVYO FANYIWA JEE MWAKA 2012 ITAKUWAJE ?
Watoto hawa wanapaza kilio chao kulaani vivetendo wanavyo fanyiwa vya kikali dhidi yao, Jee wazazi walio wazaa watoto hawa watafanyaje ili watoto waelewe kuwa kilio chao kina sikika, Nao wazazi ambao hufanya vitendo vya kikatili kwa kuwabaka watoto kuwa lawiti, kuwa choma moto kwa sababu ya kupoteza shilingi, kuwa uwa watoto kwa sabababu ya mapenzi kati ya wazazi wawili.Mwaka 2012 utakuwajee kwa kizazi hiki ? Ndugu yangu wewe ni mmoja ambaye una weza kuondoa tatizo hili kwa kutoa tarifa kwenye vyombo vya dola unapo ona vitendo vya unyanyasaji vina tendeka hapo uta kuwa ume ingia mwakwa 2012 kwa amani.Mungu wajalie wazazi na watoto wapate amani mwaka 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment