
Mkuu wa wilaya ya Mbinga Col Mstahafu Edimundi Mjengwa akifungua Mdahalo wa mchakato wa katiba ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania

washiriki wa mdahalo kutoka wilaya mbinga wakijadili kuhusu mchakato wa katiba

Mwanasheria wa Mbinga akitoa mada kuhusu mchakato wa katiba na kuwataka wananchi wa some katiba ili ikifika tume ya kuratibu katiba wawe na chakusema
No comments:
Post a Comment