Katibu wa Waandishi wa Habari Andrew Chatwanga akieleza kuhusu Mshiko ulivyo kuwa Mdogo lakini cha kuzingatia ni Mafunzo ingawa fedha ni ndogo, Pia pamoja na Hilo PRESS Haita sita kutunisha mfuko wake kila mwandishi atakatwa shilingi 12,000/= kwa ajili ya ada PRESS bila Ada haiwezi kwenda alisisitiza Katibu
KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Monday, January 16, 2012
WANDISHI WA HABARI WAPATA MAFUNZO YA JINSI YA KUANDIKA HABARI ZA MAHAKAMANI
Katibu wa Waandishi wa Habari Andrew Chatwanga akieleza kuhusu Mshiko ulivyo kuwa Mdogo lakini cha kuzingatia ni Mafunzo ingawa fedha ni ndogo, Pia pamoja na Hilo PRESS Haita sita kutunisha mfuko wake kila mwandishi atakatwa shilingi 12,000/= kwa ajili ya ada PRESS bila Ada haiwezi kwenda alisisitiza Katibu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment