KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Friday, June 29, 2012
KAMANDA MAIKO KAMHANDA AVUNA ALICHO PANDA KUTOKA MKOANI RUVUMA
KATIBA NDIYO MIRATHI HALALI KWA VIZAZI VIJAVYO - JAJI MFAWIDHI PETER CHOCHA
Tuesday, June 26, 2012
NYETI ZA WANAUME WENYE UMURI WA MIAKA AROBAINI ZA TAKIWA DAR ES SALAAM
MFANYAKAZI WA TGNP APATWA NA MKASA WA NGUVU
Liliani Liundi - Dar - es - salaam
Wajulisheni watoto, wapenzi, waume, wake, wajomba na marafiki zenu wachukuwe tahadhari, hii ni hatari.
Jamani soma kwa makini na chukua tahadhali, tuwe makini tunapochukua tax/kupanda daladala. nimeona ni vyema ni share na nyie hii msg iliyotumwa kwetu kutoka kwa mmoja wa mfanyakazi aliyepatwa na mkasa huu.
Leo nimeona ni vyema nika-share nanyi kisa hiki cha kutekwa mfanyakazi mwenzetu ambaye ni cashier siku ya jumatano jioni wiki iliyopita. Ni kama movie lakini ni ukweli, cashier wetu aliomba ruhusa siku hiyo ya tukio aende kwenye mkutano wa wasabato uliokuwa uliendelea viwanja vya biafra. Yeye pia ni msabato aliyeishika dini ya Sabato haswa, kwa hiyo aliondoka saa kumi kamili badala ya saa kumi na moja Baada ya dakika 40 tulianza kupokea sms zinazosema mwenye namba xxx amepata ajali na kufa papo hapo na kwa taarifa zaidi twende muhimbili hospital. Baada ya kutazama hiyo namba xxx ilikuwa ni ya cashier wetu.
Tulijaribu kuipiga iliita tu bila kupokelewa, na pia tulipiga namba iliyotutumia sms iliita bila majibu. Ilipofika saa kumi na moja tuliamua kuelekea muhimbili, ma baada ya kufika pale emergence tukaambiwa tuelekee chumba cha kuhifadhia maiti. Tulioneshwa mwili wa mtu aliyepata ajali lakini haukuwa wa cashier wetu, tukawatuma wenzetu waende hospitali zote lakini hapakuwa na taarifa zake Baada ya kuzunguka bila mafanikio tulitoa taarifa makao makuu ya usalama barabarani na baada ya dk kumi wakatwambia kuwa hakuna taarifa za ajali mbaya iliyotokea jioni hiyo.
Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa taarifa polisi juu ya tulio hilo na ndipo waliposema kwa kuwa ni mtu mzima tusubiri hadi siku inayofuata. Wakati huo huo ndugu zake pamoja na wafanyakazi wenzetu walikuwa pamoja wakiendelea na jitihada za kumtafuta hadi saa sita usiku. Kilichokuwa kinatia wasiwasi zaidi ile namba iliendelea kutumia sms namba takribani zote zilizokuwa kwenye phonebook yake na ndugu zake hawakuwahi kuona ndugu yao akichelewa kiasi hicho.
Ilipotimu mida kama ya saa sita na nusu walisikia mtu akigonga mlango, alikuwa kaumizwa na amejaa matope, hakuwa na uwezo wa kuzungumza sana, ilibidi wampeleke kituo cha polisi na baada ya muda hospitali ya mwananyamala. Alipopata nguvu alianza kuwasimulia nduguze kilichotokea. Alipotoka ofisini alikwenda moja kwa moja kwenye kituo cha daladala cha karakana, pale kituoni walikuwa abiria wawili yaani yeye na mama mmoja.
Baada ya dk chache ilikuja coaster iliyoandikwa mbele Kawe na ilikuwa na tinted nyeusi, yule mama hakupanda sababu alikuwa anaelekea posta ila yeye alipanda. Ndani ya gari kulikuwa na watu watatu pamoja na dereva, wawili wakiwa wamekaa nyuma na mmoja akiwa amekaa karibu na driver. Gari hiyo hiyo ilikuwa ni mpya, mmoja wa abiria alimumba simu cashier apige simu moja kwa jamaa yake maana alidai kuwa simu yake illiishiwa charge na walikuwa wametoka mtwara kupeleka maiti, alimuuliza cashier umri wake na kama ameoa na anafanya kazi wapi, cashier akamjibu hajaoa na hana kazi pia ana miaka 32.
Walipofika Tazara hawakutaka kupakia abiria yoyote na walikuwa wote wamevaa miwani myeusi, na ndipo akaanza kuingiwa na mashaka akaomba ashuke, wao wakamwambia watapita biafra na hawana mpango wa kusanya kwa kuwa hata yeye walimpa lifti tu. Gari ilipokaribia taa za buguruni akainuka ili ashuke, jamaa wale wa nyuma wakamkalisha chini kwa nguvu, na sio kwenye viti yaani chini kabisa. Mmoja wao akafunga kitambaa cheusi kwenye macho na mikono ikafungwa kwa nyuma na mipira, baada ya muda akasikia kama wamempulizia perfume. Akihisi fahamu kumtoka polepole na neno lamwisho analokumbuka alisikia kuwa waelekee misitu ya Kibaha wakamalize kazi.
Kilichomwamsha ni kofi zito alilopigwa na kusukumwa hadi nje ya gari. Alianza kulia na kuwasihi wasimdhuru, wakaanza kumrusha kichurachura huku wakimkanyaga. Walikuwa wameshamfungua kitambaa machoni na waliacha gari umbali kama wa dk kumi na lilikuwa ni pori zito na giza, wao walivaa vitu usoni na walikuwa wamevaa gloves.
Wakamwekea simu yake mfukoni wakiwa wametoa simcard, walichomwambia wanachohitaji ni sehemu zake za siri na sio kitu kingine. Mmoja wao akaambiwa alete kisu kikali wanachokitumia, na walipompigia boss wao akawasisitiza nyeti zinazotakiwa lazma ziwe za mtu wa miaka 40 na kuendelea.
Mwenzao mmoja akasema cashier alisema alikuwa na miaka 32, baada ya kumkagua wakakuta card yake inaonyesha kazaliwa mwaka 1979. Kulingana na yeye asemavyo ndicho kilichomwokoa ila waliendelea kumkung'uta kwa hasira.
Wakamrudisha kwenye gari na baada ya mwendo wakampakia kwenye gari nyingine ndogo iliyokuwa na watu wawili ambao walimchukua na kumtelekeza maeneo ya sayansi. Hawakuchukua kitu hata kimoja wala kumwambia lolote,siku iliyofuata alipelekwa agakhan kwa uchunguzi zaidi na kwa sasa anaendelea vzr. Kwa ufupi ni hayo, ukweli mwenyezi Mungu atulinde na tumwombe pia abadilishe mioyo ya watu ambayo imekuwa migumu mno kwa ajili ya kupata vyeo na utajiri wa haraka
Liliani Liundi - Dar - es - salaam
Wajulisheni watoto, wapenzi, waume, wake, wajomba na marafiki zenu wachukuwe tahadhari, hii ni hatari.
Jamani soma kwa makini na chukua tahadhali, tuwe makini tunapochukua tax/kupanda daladala. nimeona ni vyema ni share na nyie hii msg iliyotumwa kwetu kutoka kwa mmoja wa mfanyakazi aliyepatwa na mkasa huu.
Leo nimeona ni vyema nika-share nanyi kisa hiki cha kutekwa mfanyakazi mwenzetu ambaye ni cashier siku ya jumatano jioni wiki iliyopita. Ni kama movie lakini ni ukweli, cashier wetu aliomba ruhusa siku hiyo ya tukio aende kwenye mkutano wa wasabato uliokuwa uliendelea viwanja vya biafra. Yeye pia ni msabato aliyeishika dini ya Sabato haswa, kwa hiyo aliondoka saa kumi kamili badala ya saa kumi na moja Baada ya dakika 40 tulianza kupokea sms zinazosema mwenye namba xxx amepata ajali na kufa papo hapo na kwa taarifa zaidi twende muhimbili hospital. Baada ya kutazama hiyo namba xxx ilikuwa ni ya cashier wetu.
Tulijaribu kuipiga iliita tu bila kupokelewa, na pia tulipiga namba iliyotutumia sms iliita bila majibu. Ilipofika saa kumi na moja tuliamua kuelekea muhimbili, ma baada ya kufika pale emergence tukaambiwa tuelekee chumba cha kuhifadhia maiti. Tulioneshwa mwili wa mtu aliyepata ajali lakini haukuwa wa cashier wetu, tukawatuma wenzetu waende hospitali zote lakini hapakuwa na taarifa zake Baada ya kuzunguka bila mafanikio tulitoa taarifa makao makuu ya usalama barabarani na baada ya dk kumi wakatwambia kuwa hakuna taarifa za ajali mbaya iliyotokea jioni hiyo.
Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa taarifa polisi juu ya tulio hilo na ndipo waliposema kwa kuwa ni mtu mzima tusubiri hadi siku inayofuata. Wakati huo huo ndugu zake pamoja na wafanyakazi wenzetu walikuwa pamoja wakiendelea na jitihada za kumtafuta hadi saa sita usiku. Kilichokuwa kinatia wasiwasi zaidi ile namba iliendelea kutumia sms namba takribani zote zilizokuwa kwenye phonebook yake na ndugu zake hawakuwahi kuona ndugu yao akichelewa kiasi hicho.
Ilipotimu mida kama ya saa sita na nusu walisikia mtu akigonga mlango, alikuwa kaumizwa na amejaa matope, hakuwa na uwezo wa kuzungumza sana, ilibidi wampeleke kituo cha polisi na baada ya muda hospitali ya mwananyamala. Alipopata nguvu alianza kuwasimulia nduguze kilichotokea. Alipotoka ofisini alikwenda moja kwa moja kwenye kituo cha daladala cha karakana, pale kituoni walikuwa abiria wawili yaani yeye na mama mmoja.
Baada ya dk chache ilikuja coaster iliyoandikwa mbele Kawe na ilikuwa na tinted nyeusi, yule mama hakupanda sababu alikuwa anaelekea posta ila yeye alipanda. Ndani ya gari kulikuwa na watu watatu pamoja na dereva, wawili wakiwa wamekaa nyuma na mmoja akiwa amekaa karibu na driver. Gari hiyo hiyo ilikuwa ni mpya, mmoja wa abiria alimumba simu cashier apige simu moja kwa jamaa yake maana alidai kuwa simu yake illiishiwa charge na walikuwa wametoka mtwara kupeleka maiti, alimuuliza cashier umri wake na kama ameoa na anafanya kazi wapi, cashier akamjibu hajaoa na hana kazi pia ana miaka 32.
Walipofika Tazara hawakutaka kupakia abiria yoyote na walikuwa wote wamevaa miwani myeusi, na ndipo akaanza kuingiwa na mashaka akaomba ashuke, wao wakamwambia watapita biafra na hawana mpango wa kusanya kwa kuwa hata yeye walimpa lifti tu. Gari ilipokaribia taa za buguruni akainuka ili ashuke, jamaa wale wa nyuma wakamkalisha chini kwa nguvu, na sio kwenye viti yaani chini kabisa. Mmoja wao akafunga kitambaa cheusi kwenye macho na mikono ikafungwa kwa nyuma na mipira, baada ya muda akasikia kama wamempulizia perfume. Akihisi fahamu kumtoka polepole na neno lamwisho analokumbuka alisikia kuwa waelekee misitu ya Kibaha wakamalize kazi.
Kilichomwamsha ni kofi zito alilopigwa na kusukumwa hadi nje ya gari. Alianza kulia na kuwasihi wasimdhuru, wakaanza kumrusha kichurachura huku wakimkanyaga. Walikuwa wameshamfungua kitambaa machoni na waliacha gari umbali kama wa dk kumi na lilikuwa ni pori zito na giza, wao walivaa vitu usoni na walikuwa wamevaa gloves.
Wakamwekea simu yake mfukoni wakiwa wametoa simcard, walichomwambia wanachohitaji ni sehemu zake za siri na sio kitu kingine. Mmoja wao akaambiwa alete kisu kikali wanachokitumia, na walipompigia boss wao akawasisitiza nyeti zinazotakiwa lazma ziwe za mtu wa miaka 40 na kuendelea.
Mwenzao mmoja akasema cashier alisema alikuwa na miaka 32, baada ya kumkagua wakakuta card yake inaonyesha kazaliwa mwaka 1979. Kulingana na yeye asemavyo ndicho kilichomwokoa ila waliendelea kumkung'uta kwa hasira.
Wakamrudisha kwenye gari na baada ya mwendo wakampakia kwenye gari nyingine ndogo iliyokuwa na watu wawili ambao walimchukua na kumtelekeza maeneo ya sayansi. Hawakuchukua kitu hata kimoja wala kumwambia lolote,siku iliyofuata alipelekwa agakhan kwa uchunguzi zaidi na kwa sasa anaendelea vzr. Kwa ufupi ni hayo, ukweli mwenyezi Mungu atulinde na tumwombe pia abadilishe mioyo ya watu ambayo imekuwa migumu mno kwa ajili ya kupata vyeo na utajiri wa haraka
Monday, June 25, 2012
KAMANDA WA POLICE MKOA WA RUVUMA AAMURU MCHAWI ALIYE ANGUKA NA NDEGE YA KICHAWI ARUDISHWE KWAO MSUMBIJI
Sunday, June 24, 2012
BINTI HUYU HAPA CHINI ANA TAFUTWA NA WAZAZI WAKE SONGEA

Glolia Mligo unavyo onekana kwenye picha unaonekana ni mtu mwenye busara, hebu nikuambie dawa ya maudhi nikuya puuzi ,endapo wazazi wame kuuzi ujue ndio maana wakaitwa wazazi kwalile unaloliona wewe kuwa ni zuri wenzio wamepitia hilo ndiyo maana wanatoa somo.Glolia wewe ni mkristo na bibilia ina sema Hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu mhubiri sura ya 7 Hebu shindana na shetani rudi kwa wazazi wako.yeyote aliye karibu na Glolia afikishe ujumbe huu.
Wednesday, June 20, 2012
MUNGU AKIKUPA MSHUKURU NDIVYO ASEMAVYO ADAMU NINDI
MUNGU NI MKUBWA. MUNGU NDIYE MWENYE HERI MUNGU HUMPA AMUTAKAYE NA KUMNYIMA AMTAKAYE JINA LA BWANA LITUKUZWE.
Kipindi hicho nilichaguliwa kwenda kuhubili uislaamu katika Nchi ya Malawi na Msumbiji nime fanya kazi hiyo kuanzia mpakani Nkata bay Malawi hadi Mangochi mpaka wa Msumbiji na Malawi, nilibahatika kufungua Misikiti nne pamoja na kuweza kuwa silimisha machifu 3.
Baada ya Kumaliza kuhubili Nchi ya malawi nilingia Msumbiji ambako nilianza mahubili Kobwe Nchini Msumbiji hadi Mwambao wote wa Ziwa Nyasa muda huo wote nikiponea kipande kimoja cha mkate kwa siku . kwa mda wa Miaka 17 nimefanya kazi ya Mungu ni kiwa Katibu mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Mkoa wa Ruvuma lakini hata hivyo sikuacha kazi ya uandishi wa Habari.
Ninalo taka kusema ni kuwa ukimkumbuka mwenyezi Mungu hakutupi mkono katika maisha yako kumbuka sana walemavu,masikini wa Kawaida ,Acha kabisa Majivuno mheshimu kila mmoja unaye Mwona mbele yako.
Sasa kwa mapenzi ya Mungu nina Nyumba na Gari Dogo la Kutembelea hiyo ndiyo dawa ya Mungu kukukumbuka nawe usiwe kama hukuzaliwa.
kitu kingine cha Mhimu ni kuheshimu wanawake wote unao waona mbele yako hawo ndiwo wanao mwakilisha mama yako Mzazi, Ukimdharau Mwanamke ni sawa na kumdharau Mama yako Mzazi.
MWANDISHI MKONGWE ATOA USIA SIKU YA KUFA KWAKE

· Abubakar Karsan
Furaha ya kufa bila makuu ni kuzikwa bila sifa na utukufu uliopindukia ubinadamu.Furaha ya kuzikwa kwenye kaburi lisilokuwa na ufahari kiasi ambacho miaka ikipita utakumbukwa kwenye nyoyo ya watu na sio kwenye miundo mbinu ya kifahari,
Furaha ya kufa bila makuu ni kuzikwa bila sifa na utukufu uliopindukia ubinadamu.Furaha ya kuzikwa kwenye kaburi lisilokuwa na ufahari kiasi ambacho miaka ikipita utakumbukwa kwenye nyoyo ya watu na sio kwenye miundo mbinu ya kifahari,
kaburi ambalo dahari na dahari litaonekana na jina lako,Mungu nijaalie nisizikwe hivo,nizikwe kwa kufukiwa udongo na wala kaburi langu lisiandikwe chochote.
Mungu nijalie niache sifa kwenye mioyo ya watu,sifa zitakazodumu milele,watu ntakaowaacha hawatanitafuta kwenye makaburi bali katika mapindo ya historia ya matendo makuu ya binadamu
·
Abubakar Karsan
Asante Mungu kwa uhai ulionipa kwa miaka hii 51,nimeitumikia hivi:miaka 8 Mwanza Press Club,
·
Abubakar Karsan
Asante Mungu kwa uhai ulionipa kwa miaka hii 51,nimeitumikia hivi:miaka 8 Mwanza Press Club,
miaka 7 Media Council of Tanzania,miaka
12 Mwanza Non Governmental Organization,miaka
3 Non State Actors Support Programme,UTPC naitumikia kwa mwaka wa 7 sasa.Miaka hiyo yote inaingiliana.Kwa miaka 30 iliyobaki nimeweka malengo yafuatayo:
1.Kuijenga UTPC na klabu yake kuwa asasi bora kabisa Duniani
2.Kuchangia kukuza uwezo wa kitaaluma na kipato kwa waandishi wa habari Tanzania
3.Kuwawezesha watoto wangu na mke wangu kuishi maisha bora yenye uhakika
4.Kufa na kuzikwa bila madoido,isirafu au kutukuzwa.MUNGU wangu nijaalie nitimize hayo
Monday, June 18, 2012
WATALAMU KUTOKA CHUO CHA MAENDELEO MLALE SONGEA VIJIJINI
Sunday, June 17, 2012
KAMANDA WA POLICE MKOA WA RUVUMA ATIMIZA AZIMA YAKE
Kamati ya Ujenzi ya Jengo la Police Wanawake wakikagua jengo la Police Wanawake aliye Vaa shati la Miraba ni Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Desdedit Nsemike
Friday, June 15, 2012
MAMA HUYU HAPA CHINI AMETELEKEZA WATOTO 6 NA KUIBA SHILINGI MILIONI 3 WATOTO WANA HANGAIKA

DAWA HIZI ZIME FIKAJE MIKONONI MWA MTUHUMIWA
AKAMATWA AKIWA NA DAWA ZA BINADAMU MALI YA SEREKARIMPWAPWA
Na Noel Stephen Mpwapwa
Jeshi la Polisi Wilayani Mpwapwa Linamshikilia mfanya biashara mmojawa kijiji cha Ng’hambi Bwana Jeremia mhogo kwa tuhuma za kukamatwana dawa za kutibu binadamu na baadhi ya dawa hizo zikiwa na nemboya MSD kinyume na sheria.
MKUU wa polisi wilayani mpwapwa Bwana JEREMIA SHILA ametibitishakutokea kwa tukio hilo na amesema mtuhumiwa bado anashikiliwa napolisi lakini kwa sasa yuko nje kwa dhamana .
Na Noel Stephen Mpwapwa
Jeshi la Polisi Wilayani Mpwapwa Linamshikilia mfanya biashara mmojawa kijiji cha Ng’hambi Bwana Jeremia mhogo kwa tuhuma za kukamatwana dawa za kutibu binadamu na baadhi ya dawa hizo zikiwa na nemboya MSD kinyume na sheria.
MKUU wa polisi wilayani mpwapwa Bwana JEREMIA SHILA ametibitishakutokea kwa tukio hilo na amesema mtuhumiwa bado anashikiliwa napolisi lakini kwa sasa yuko nje kwa dhamana .
JESHI LA POLICE MKOANI RUVUMA LA KAMATA BUNDUKI 16 ZILIZO KUWA ZIKITUMIKA NA WAHALIFU
Wednesday, June 13, 2012
KATA SABA ZA WILAYA YA MPWAPWA ZA KABILIWA NA UHABA WA CHAKULA
NA NOEL STEPHEN MPWAPWA ,
JUMLA YA KATA SABA na VIJIJI VITATU vy a wilaya ya mpwapwa mkoaniDodoma vinakabiliwa na uhaba wa chakula kwa msimu huu wa chakula wamwaka 2011/2012.
Kauli hiyo imetolewa na MOHAMED LONGOI afisa mazo wa wilaya alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jana ofisi kwake kwa lengo lakutoa tadhimini ya chakula kwa mwaka 2011/2012 wilayani Hapo.
alisema kuwa kwa wilaya ya mpwapwa ilikuwa na mahitaji yaMazao ya chakula Tani 73,662 na wameweza kuvuna tani 74,254 ambazoni zaidi ya mahitaji ya chakula wilayani hapo .
Pia alisema kuwa mbali ya kuwa na zaidi tani 592 lakini alidai kuwakuna kata saba ambazo hukabiliwa na uhaba wa chakula na kata hizoalisema kuwa ni CHIPOGORO,MTERA,IWONDO,MIMA NA GHAMBI.Kata zingine ni RUDI NA GULWE na vijiji vya Idodoma,Kinusi, naKIJIJI Cha kiegea kata ya ghambi.
Alisema kuwa sababu za kata hizo kuwa na upungufu wa mazao ya chakulani kutokana na hali kijografia iliyopo ktika maeneo yao, ya katahizo na kingine alisema kuwa ni wanajamii wengi kung,ang,ania kulima mazo yasiyoweza kusatahimili ukame
JUMLA YA KATA SABA na VIJIJI VITATU vy a wilaya ya mpwapwa mkoaniDodoma vinakabiliwa na uhaba wa chakula kwa msimu huu wa chakula wamwaka 2011/2012.
Kauli hiyo imetolewa na MOHAMED LONGOI afisa mazo wa wilaya alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jana ofisi kwake kwa lengo lakutoa tadhimini ya chakula kwa mwaka 2011/2012 wilayani Hapo.
alisema kuwa kwa wilaya ya mpwapwa ilikuwa na mahitaji yaMazao ya chakula Tani 73,662 na wameweza kuvuna tani 74,254 ambazoni zaidi ya mahitaji ya chakula wilayani hapo .
Pia alisema kuwa mbali ya kuwa na zaidi tani 592 lakini alidai kuwakuna kata saba ambazo hukabiliwa na uhaba wa chakula na kata hizoalisema kuwa ni CHIPOGORO,MTERA,IWONDO,MIMA NA GHAMBI.Kata zingine ni RUDI NA GULWE na vijiji vya Idodoma,Kinusi, naKIJIJI Cha kiegea kata ya ghambi.
Alisema kuwa sababu za kata hizo kuwa na upungufu wa mazao ya chakulani kutokana na hali kijografia iliyopo ktika maeneo yao, ya katahizo na kingine alisema kuwa ni wanajamii wengi kung,ang,ania kulima mazo yasiyoweza kusatahimili ukame
Monday, June 11, 2012
WANAWAKE WA KATA YA TANGA SONGEA MANSPAA WADAI KUNYIMWA TENDO LA NDOA NI UNYANYASAJI KIJINSIA
Washiriki wa Mdahalo wawazi katika kata ya Tanga manspaa ya Songea wakiwa makini kumsikiliza Insp Anna Tembo alipo kuwa akitoa Mada kuhusu sheria zinavyo walinda wanawake na wanaume .
Saturday, June 9, 2012
UFUGAJI WAKUKU WAWAKOMBOA WANAWAKE SONGEA
Subscribe to:
Posts (Atom)