
Mwenyekiti wa Kamati ya Kumwaga Kamanda Maiko Kamhanda akitoa shilingi milioni mbili kama Zawadi Kwake

wadau mbalimbali wakitoa zawadi mbalimbali kwa kamanda kamhanda wakati wa sherehe ya kumwaga katika ukumbi wa songea kilabu

Wadau mbalimbali akiwemo Cerencesia kapinga Mwandishi wa Habari wakienda kutoa zawadi kwa kamanda Mailo kamhanda

Mwenyekiti wa Kamati ya Sherehe Mwikoki akito vyeti kwa wana kamati walio Fanikisha sherehe

Mwenyekiti wa Kamati ya Sherehe Mwikoki akikabidhi Majina ya wana kamati kwa kamanda Mpya Deusdediti Nsimeki
No comments:
Post a Comment