
Kamanda wa police Maiko Kamhanda ambaye ana hamia Iringa akiwa na Kamanda Mpya Deusdeti Nsimeki katika Afula fupi iliyo fanyika ukumbi wa Songea Club

Police Wanawake Mkoa wa Ruvuma wakiongozwa na Inspekita Anna Tembo wakienda kutoa Mkono wa Heri wa kumwaga kamanda wao wa Zamani Maiko Kamhanda anaye hamia Iringa na Kumkaribisha kamanda mpya Deudedit Nsimeki

Meneja wa TTCL Mkoa wa Ruvuma Michael Chanachayo akiwa mmoja wawa shiriki katika kumwaga Kamhanda

Rose mary Chale akiwa katika sherehe za kumwaga Kamanda Maiko Kamhanda katika Ukumbi wa Songea Club

RCO Mpya akiwa na RTO Wakipongezana katika sherehe fupi ya kumkaribisha kamanda mpya Deusdediti Nsimeki

Mkuu wa kituo cha Police Mbinga akiwa kwenye ukumbi wa sherehe songea Club

Kamati ya sherehe wakiwa wamejipanga kwa ajili ya kumwaga kamanda wa Police Maiko Kamhanda

Viongozi wa Mkoa wa Ruvuma wakiimba wimbo wa Uzalendo katika kumkaribisha kamanda mpya Deusdediti Nsimeki na Kumwaga Maiko Kamhanda

Mkurugenzi wa kirahama akiwa na furaha katika sherehe za kukaribisha na kuaga makamanda wa Police

Mganga Marufu wa Jadi Frola Ndembo akiwa katika ukumbi wa Songea Club ili awa jue Viongozi wake wanao hama na wanao karibishwa Mkoa wa Ruvuma

Umati wawatu walio furika kuja kumwaga kamanda Kamhanda katika ukumbi wa Songea Club

Mkurugenzi wa Kiwanda cha kukoboa kahawa mzee Komba akiwa na Mkurugenzi wa shamba la kahawa lilioko liganga barabara iendayo Mbinga

kikosi cha Police kikiwa katika sherehe za kumwaga na kumkaribisha kamanda mpya

Mke wa Kamanda Mpya Mkoa wa Ruvuma akimpongeza Mume wake Kuhamia Mkoa wa Ruvuma

Sherehe ni kula bila kula siyo sherehe Hapo kamanda Maiko Kamhanda aki chukua chakula kilicho andaliwa kwa ajili yake katika kumwaga

Meja Chacha kutoka jeshi la wananchi akitoa mawaidha machache kuhusu utendaji wa Jeshi la Police Mkoani Ruvuma kuwa toka amefika hakuna ukorofi wowote ulio tokea kati ya JWTZ na POLICE
No comments:
Post a Comment