KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Friday, March 30, 2012
INTERNATIONAL CENTER FOR EYE CARE EDUCATION EAST AFRICA WATOA VIFAA VYA TIBA YA MACHO
HOSPITALI YA MKOA WA RUVUMA WAPATA MSAADA WA VIFAA TIBA
Dr Chanangula akiwasilia na watalamu wenzake katika kufanikisha ufunguaji wa kituo cha tiba ya macho Ruvuma
Tuesday, March 27, 2012
THE FOUNDATION NA AZAKI KATIKA MAENDELEO
Thursday, March 22, 2012
MJUMBE KUTOKA TGNP AKITOA MAADA KUHUSU KAZI ZA
Wednesday, March 21, 2012
DR SILAHA NA KAMPENI
RAIS DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE AWAAPISHA WA KUU WA MIKOA YA NJOMBE,GEITA,KATAVI NA SIMIYU
KWA NINI KAMPENI ZA UCHAGUZI ZIFANYWE NA WATU WA INJE JEE WALIOPO HAWA WEZI ?

Nembo hii inaashiriria Serekari ya Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania na Serekari bila katiba haiwezi kwenda .Ndani ya Katiba kuna ibara ambayo inasema kila mtu ana huru wa kutoa mawazo yake na kwenda kokote anako taka bora kama havunji sheria.
Hebu sasa niende kwenye Mada yangu Mahususi, Utamaduni ulio ibuka sasa Tanzania unamnyima mtu kutoa mawazo yake, Kwa mfano mtu ambaye ni kiongozi aliye chaguliwa awe Diwani au Mbunge akifariki tu nafasi ikiwa wazi watu hujitokeza kugombea .
Sasa cha ajabu ni kuwa Mgombea akisha chaguliwa kugombea kupitia CCM au CHADEMA .Badala ya yeye mwenyewe kupiga kampeni badala yake wapiga kampeni hutoka Dar-es- salaam au sehemu nyingine jambo ambalo lina wachanganya mwananchi wa pale na kupata kiongozi ambaye siyo bora kama waliye kuwa wana mtaka wao.
Nikitoa Mfano katika Kata ya Hanga wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma wananchi walimchagua Diwani aitwaye Kasimu Ntara ,kwa kuwa alikuwa hana sehemu ya kukaa alienda kukaa kwenye nyumba ya Mwenyekiti wa Kijiji cha Mageuzi Mwenyekiti ajulikikanaye kwa Jina la Saidi Kupata,
Mwenyekiti alimkaribisha Nyumbani kwake cha ajabu badala ya kusimamia kazi za maendeleoDiwani huyo Kasimu Ntara akaingia katika swala la mpenzi akampa mimba mtoto wa Mwenyekiti Said Kupata ambaye alikuwa kidato cha pili .
Viongozi wa Ngazi za Juu baadala ya kumwajibisha Diwani Kasimu Ntara badala yake Baraza la Madiwani wa kamteua Diwani Kasimu Ntara kuwa Makamu Mwenyekiti mbali ya kufanya kitendo kiovu kwa mtoto wa Mwenyekiti Said Kupata
Sasa hii ina vunja mioyo kwa wananchi Diwani huyu Kasimu Ntara ni wanamna gani kwa nini asiajibike badala yake anaongezwa cheo kuwa Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani ,jee ana weza kusimamia maendeleo kwa upande wawatoto wa kike .
Kwa ushauri wangu wagombea wangeachwa wenyewe ili wananchi wapate nafasi ya kuwa tafakari kuliko kuleta majeshi kutoka nje siku ya siku viongozi hao wanaishia kuwapa mimba watoto wa viongozi na masikini
Tuesday, March 20, 2012
THE FOUNDATION CIVIL WANATARAJIA KUTUMIA BILIONI 4 KUTOA UELEWA KWA WANANCHI ILI KUPATA MAENDELEO PALE WALIPO
Washiriki kutoka Tanzania bara na Kisiwani wakishiriki mafunzo kuhusu uandishi wa kuandika tarifa wakiwa ukumbi wa Dodoma Hoteli
Friday, March 16, 2012
RAIS ATEUA WA KUU WA MIKOA MIPYA

Na Mwandishi Wetu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa mipya minne iliyotangazwa na Serikali hivi karibuni. Katika uteuzi huo uliyotangazwa jana Rais Kikwete amemteua Dk. Rajab Mtumwa Rutengwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa KATAVI.Wengine walioteuliwa ni Magalula Saidi Magalula anayekuwa Mkuu wa Mkoa wa GEITA, Paschal Kulwa Mabiti ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa SIMIYU na Kapt. Asery Msangi anayekwenda kuongoza Mkoa wa Njombe, kabla ya hapo Kapt. Msangi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa.Kwa upande wake kabla ya hapo Magalula kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Dk. Rutengwe kabla ya uteuzi huo mpya alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpanda huku Mabiti alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Singida.Kwa mujibu wa taarifa hiyo kutoka mawasiliano Ikulu viongozi wote hao wanatarajiwa kuapishwa Machi 21, 2012 Ikulu jijini Dar es Salaam, saa 04:00 asubuhi na uteuzi huo umeanza tangu jana Machi 15, 2012.
Thursday, March 15, 2012
MAJINA MATATU YA PELEKWA KWA RAIS DR JAKAYA MRISHO KIKWETE
Tuesday, March 13, 2012
MCHAKATO WA KUCHAGUA WA JUMBE WA MAJINA YATAKAYO PELEKWA KWA RAISI KWA AJILI YA KATIBA
Sunday, March 11, 2012
BABA WA TAIFA ALISEMA HAPENDI MICHEZO KUTOKANA NA MCHEZO WA AMANI KUGEUKA KUWA UWANJA WA MASUMBWI

Saturday, March 10, 2012
NYOKA ULIYE MUA NI RAFIKI WA BINADAMU
Nikawaida ya nyoka huyo kukaa katika paa la nyumba au kama umepanda miti ubani hao nyoka hupenda kuishi humo pia huyo ni pambo ni ajabu kusikia wanaume wana mkimbia sisi kwetu uta kuta mtoto kamuvaa shingoni ,kama kweli wanaume walimkimbia basi ujasili ume toweka hapo Iringa, Ila hongera kwa kuonyesha Mwanamke ana weza
WANANCHI WA RWANDA WILAYANI MBINGA MKOANI RUVUMA WADAI NYONGEZA YA FIDIA KWA SEREKARI
Subscribe to:
Posts (Atom)