
Mwakilishi wa Mungano wa Mashirika yanayo Tetea Haki za Akina Mama Bad
i Darusi ambaye ni mjumbe wa
JPE pia ana tokea mtandao wa
TGNP Hapo anaonekana akipongeza Juhudi zilizo fanywa na Wajumbe wa Mkoa wa Ruvuma ambao ni wajumbe wa
TGNP kwa kuweza kujenga jengo la POLICE Wanawake mjini Songea Mada hiyo aliitoa akiwa katika ukumbi wa Dodoma Hoteli

Mwakilishi wa Azaki kutoka Bukoba ambaye anaasili ya Kijerumani akiwa katika Mfunzo ya Kuandika Tarifa za Miradi The Foundation Mafunzo yaliyo fanyika katika Hoteli ya Dodoma
No comments:
Post a Comment