
Jopo la Viongozi waandamizi wa Mkoa wa Ruvuma wakingoja kuendesha mkutano wa suluhu kati ya wanakijiji cha ngaka na wachimbaji madini ya Makaa ya mawe ,Madai ya wananchi ni kuwa fidia waliyo pewa hailingani na bidhaa walizo kuwanazo, pili kwa kipindi cha miaka 61 wameendeleza eneo hilo mpaka serekari inapo baini kuwa kuna madini jee hawawezi kulipwa fidia kutokana na kulinda madini hayo kwaq kipindi kirefu,

Wananchi wa kijiji cha Rwanda wakiwa kwenye uwanja wa shule ya msingi wakingoja mkutano wa suluhisho kuhusu fidia kati yao na campuni ya STAM COM wachimbaji wa Makaa ya mawe Ngaka

Pichani hapo chini ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabit Mwambungu akirejea baada ya kushindikana kutoa usuluhisho ya maadai ya wanakijiji cha lwanda kudai kupewa fidia ndogo na wachimbaji wa Makaa ya Mawe STAM COM kutokana na mvua kubwa iliyo nyesha na hatimaye kuairisha kikao hadi mwishoni mwa mwezi huu


Moja ya Mafanikio ya madai ya wanawake kupata uongozi unaye mwona hapo mbele ni Afisa Tawala wilaya ya mbinga mkoani Ruvuma akitoa Maelezo kuhusu chanzo cha siku ya wanawake Duniani
Kikosi cha jeshi la police kikitasimini mafanikio na changamoto zinazo likabili police wanawake katika siku ya wanawake duniani ikiwemo na utoaji wa elimu kwa upande wananchihasa wanawake
No comments:
Post a Comment