Pichani ni Mahakama ya zamani ya Nakapanya wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma ambayo wamehama na kuhamia Mahakama Mpya kutokana na uchakavu swali la kujiuliza jee hali inayoonekana hapo juu ina tofauti gani na ile mpya ambayo wamehamia. Jee Serikali haipati hasara kwa mazingira kama haya.?
KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo
UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Monday, March 5, 2012
JEE MAENDELEO YANA LINDWA TANZANIA
Pichani ni Mahakama ya zamani ya Nakapanya wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma ambayo wamehama na kuhamia Mahakama Mpya kutokana na uchakavu swali la kujiuliza jee hali inayoonekana hapo juu ina tofauti gani na ile mpya ambayo wamehamia. Jee Serikali haipati hasara kwa mazingira kama haya.?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment