

Juma nyumayo katika kongamano jijini Dodoma la mchakato wa katiba akiwa ameketi katikati

Moja ya Wajumbe walio hudhuria ni pamoja na walemavu kama unavyo waona hapo juu

washiriki wa kongamano la kuhusu kuchagua wajumbe ambao watapelekwa kwa Rais ili majina hayo ya ingie katika kupokea maoni ya kuhusu katiba mpya dada mjerumani anaye onekana ni Lena Turowski kutoka mtandao wa KAPUMU [Kazi pamojs Muleba kushoto kwake ni Denes Kibamba

Mwenyekiti wa Mchakato wa Katiba Tanzania Deusi Kibamba akitoa maelezo katika kongamano ya kuchagua majina yatakayo pelekwa kwa Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa ajili ya kushiriki mchakato wa katiba mpya

wajumbe kutoka maeneno tofaauti nchini Tanzania wakijalili majina yatakayo pelekwa kwa mh.Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania kushiriki mchakato wa Katiba Mpya

Wajumbe kutoka Mkoa wa Ruvuma walio shiriki katika mchakato wa kuchagua wajumbe watakao ingia katika mchakato wa kujadili majina yatakayo pelekwa kwa Rais wakiwa katika ukumbi wa Dodoma Hotel katika ni Mathew Ngalimanayo na wa kwanza ni Adamu Nindi
No comments:
Post a Comment