KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, November 15, 2016

MAMBO MHIMU KATIKA MAISHA KUZALIWA,KUBATIZWA,KUPATA KIPAIMARA NA KUOA,MWISHO KIFO

Bwana Harusi na Bibi Harusi wakiwa katika mlango wa kanisa la mji mwema manspaa ya songea
Bi Harusi Cristina Ngonyani akiwa tayari kutia sahihi cheti cha ndoa kuonyesha kuridhia kuolewa na na Staniley Matembo
Bwana Harusi Staniley Matembo akitia sahihi katika cheti cha Ndoa kuridhia kumwoa Cristina Ngonyani
Hapo bwana  Harusi Staniley Matembo akitia sahihi mbele ya padri kukubali kumwoa Cristina Ngonyani
                          Padiri wa Mji Mwema akitoa vyeti kwa bwana harusi na bi Harusi
vyeti hivyo bwana hapo ndoa tayari hebu angalia bi harusi na bwana harusi wanavyo furahia ndoa
Bi harusi Cristina Ngonyani kulia akiwa amekaa na bwana wake Satiniley Matembo wakiwa kanisa la mji mwema
Siku aliyo funga ndoa Staniley Matembo kulikuwa na ndoa zisizo pungua tatu
vinubi vinanda na nyimbo ni moja ya kumushkuru Mungu kwa kufanikisha ndoa za watu wa
                                        Hao hi kufunga ndoa katika kanisa la mji mwemani maharusi walio wa

maharusi wakipiga picha ya pamoja na padri wa mji mwema mara baada ya kutoa baraka
MOJA YA FURAHA YA MAHARUSI NI KUONA TABASAMU YA WATU WALIO WASINDIKIZA
 Harusi ni njia moja ya kukubaliana kuwa uta ishi na mwenzio bila kinyongo na wote kuwa mwili mmoja huku watu wakishudia kama unavyo waona hawa hapa
 Hapo ni nyumbani mji mwema wakiingia kwenye nyumba yao chini kukiwa kumetandikwa kanga ishara ya upendo
 Hiyo ni harakati ya kuingia nyumbani Mjimwema Mapacha wakiongoza msafara wa Harusi
 Harusi ni mafunzo kwa watoto hapo Staniley Matembo akiwa na Bi Harusi Cristina Matembo akiwa na Mapacha wao wakisindikiza Harusi
Mara baada ya kutoka kanisani bwana harusi Staniley Matembo alipokelewa kwa furaha nyumbani kwake Mjimwema akiwa na bi harusi Ceistina Ngonyani

No comments:

Post a Comment