KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, October 23, 2011

NIFURAHA IPI WEWE UME CHAGUA KATIKA MAISHA YAKO ?

Ndugu yangu katika Dunia hii kuna mambo ambayo mtu anatakiwa kuyajua ,Furaha zipo za aina nyingi lakini furaha ambazo hazikwepeki ni Mtu anapo zaliwa, Mtu anapo pata Ubatizo na pale Mtu anapo pata Kipaimara na mwisho anapo pata jiko au kuoa, uislamu ni kuzaliwa na kufunga ndoa, Jee katika mambo hayo wazee wana shiriki kutoa maadili ya mambo hayo yote ?kama hawa shiriki tufanye nini? Picha hapo juu Mwali anajianda kwenda kuolewa hebu saidia nini kifanyike ili ndoa yake iwe salama


Mpambaji wa Arusi manspaa ya Songea ajulikanaye kama mama ALUU Hapo tayari amempamba bi Harusi tayari kwa kwenda Ukumbini.

No comments:

Post a Comment