KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, September 29, 2017

UCHIMBAJI WA MADINI YA DHAHABU NA MADINI YA VITO MKOANI RUVUMA

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akiwa katika Ziara ya kuhakikisha Mkoa wa Ruvuma una kuwa Mkoa wa Viwanda hasa vya Madini, Hapo Mkuu wa Mkoa akielekea kukagua Machimbo ya kuchimba madini ya Dhahabu eneo la lulalasi Wilayani Mbinga Mkoa wa Ruruma kutoka kushoto ni  Mkuu wa Wiliya ya Mbinga na aliye Vaa shati la Durfuti ni Meneja wa Machimbo ya Dhahabu ndugu Johnson Nchimbi
Wananchi wa Lukalasi wakisikiliza mkutano wa Hadhara kuhusu uwekezaji wa viwanda cha kuchimba madini ya Dhahabu na wananchi kuahiwa kuwa wata letewa umeme ili kurahisiha uchimbaji wa Madini
Pamoja na kazi ngumu wanayo ifanya ya kuchimba madini kwa kutumia mikono hata hivyo hawakuona kazi kuona nini kina semwa kati serekari ya awamu ya tano kuhusu viwanda na madini
Afisa Madini Mkoa wa Ruvuma akiendelea kuwahimiza wachimbaji wadogo kukata leseni ili serekari nayo ipate mapato wale watakao chelewa leseni zao zita futwa
siyo kweli kuwa wanao ishi katika machimbo hawana nyumba mnzuri huo ni uthibitisho kuwa machimbo ambako ni porini nako kuna nyumba mzuri kama unavyo ona nyumba ambayo iko Lukalas Wilayani mbinga
Mhandisi kutoka Tanesco Ru8vuma Hamis Sothenes akieleza hatua zilizo fanyika mpaka sasa kuhusu umeme vijijini katika awamu hii jumula ya vijiji m138 vita pata umeme, lakini juhudi zina fanywa kuhakikisha vijiji vilivyo baki kukiwepo na bajeti ita angalia vijiji vilivyo baki aliwaomba wananchi kuwa na subira
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Binilith Satano Mahenge amesema juhudi zilizo onyeshwa na Meneja wa Machimbo ya Dhabu Lukalasi ni Makubwa serekari itahakikisha kuwa ina saidia kuteta umeme katika machimbo hayo, amesema madini ya Dhahabu ambayo yako ukotoka juu mpaka chini aridhini ni karibu mita mia mbili hicho nikiasi kikubwa cha madini ni lazima serekari i8fanye juhudi za kuleta umeme kwanza ita ongeza ajira, pili serekari ita pata mapato
wachimbaji wa madini ya vito wakiwa katika mkutano wa hadhara eneo la ndenda mbili kusikiliza swala la umeme wa leya utakavyo letwa vijijini
safu ya maafisa wa Madini waqkisikiliza kero za wananchi katika eneo la ngembambili wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma
wakaazi wa Ngemba mbili wakimwomba mkuu wa mkoa swala la umeme wa Leya
mama soko akimwomba mkuu wa mkoa kuhusu swala la maendeleo hasa kusu shule
Mwenyekiti wa kitongoji cha ngembambili  Sige Mahundi akielezea juhudi zilizo fanyika kuhusu shule na mchango unao endelea kuhakikisha shule ya wawali inajengwa
kaimu mkurugenzi wa Halimao jengwa zipo wananchi wasiwe na wasiwasihauri ya Mbinga amesema fedha kuhusu upauaji wa shule zitakaz
viongozi wa Ngembambili wakisikiliza kwa makini kuhusu uchimbaji wa madini pamoja na maswala ya maendeleo iki wemo shule,Zahzahanati
mwenyekiti wa kitongoji cha ngembambili Sige Mahundi akipokea maelekezo ya kuhimiza wananchi wajitokeze kufanya shuguli za maendeleo kwa kushiriki kwa nguvu zao kujenga Zahanati,shule na mindo mbinu ya barabara
maafisa wa Madini wakiongozwa na Mahobe
wananchi wa Lukalasi wakiwa na furaha baada ya kusikia kuwa umeme wa leya uta wafikia hapo pao
nivijana ambao wana jihusisha kuchimba miamba ya mawe ili waweze kupata Madini ya Dhahabu
kijiji kizima cha lukalasi kilijumuika kumpokea mkuu wa mkoa wa Ruvuma na kusikia juhudi zinazo fanywa na Rais wao kuhusu maendeleo kwa ujumula vijijini

mkuu wa mkoa aqkipitia orodha ya madini yanayo patikana mkoani ruvuma ili mwenye kuweza aende semu yaliko madini ajikomboe katika Umasikini
OCD kutoka wilaya ya mbinga akiendelea kupanga safu yake ili Ani na Utulivukuweka hali ya
kutembea ni zoezi eneo lote linalo kanyagwa lina madini ya dhahabu hilo ni eneno la Lukalasi Wilayani Mbinga

Afisa Madini Mkoa wa Ruvuma akifafanua upatikanaji wa leseni za madini mkoani hapa
Meneja wa Machimbo ya Dhahabu Johnson Nchimbi akitoa tarifa ya uchimbaji wa Madini ya Dhahabu kuwa wame kwama kutokana na ukosefu wa mindo mbinu ya umeme mashine zime simama toka mwaka 1993 kutokana na kushindwa kumudu uchimbaji kwa kutumia mashine za umeme

Thursday, September 14, 2017

MKUU WA MKOA AHIMIZA KULINDA MAZINGIRA MKOA WA RUVUMA


MkurugenziwaMamlakayaMaji Safi naMaji Taka SOWASA John KapingaamesemaManispaayaSongeainatarajiakujengaBwawalenyaukubwawaujazowacubikimitamilioni5litakalogarimukiasi cha shilingibilioni 30. MkurugenziwaMamlakayaMajisafinaMaji Taka John KapingaamesemachangamotoiliyoponiulipajiwabilizamajikwaMwezi SOWASA katikabajetiyakeilipangakukusanyashilingimilioni 318 lakinikwasasahupatashilingimilioni 230 ikiwapungufuyamilioni 88 watuhushindwakulipa.
Mkuuwamkoawa Ruvuma MhandisiBinilithMahengeametoaagizo la watukutochoma moto ovyoatakayepatikanasheria kali zichukuliwedhidiyake. Amesema moto ukitokeanaaliyechomahajajulikanahatuazichukuliwekwawenyevitinawatendajiwavijiji.


Kutokananaudhibitiwauchomaji moto ovyomanspaayasongeakwasasaimekuwaikiendeleakupatanmajihadikipindi cha Masikatofautinaawalimajiyalikuwayakikatikamweziwasaba

Meneja wa TFS Manyise Mpokigwa akitoa tarifa kwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Binilith Satano Mahenge jinsi walivyo weza kufanikisha kuweza kupata maji kwa kipindi cha mwaka mzima. Mafanikio hayo yame patikana kutokana na Vijana walio weka kulinda moto usichomwe ovyo kutoka vijiji vinavyo zunguka Mlima matogoro
katika picha aliye tangulia ni Bathazali kutoka tumbuizi ya majimaji na aliye katkati ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Binilith Mahenge na wanyuma Mkurugenzi wa Maji safi na Mji taka kutoka SOWASA jonh Kapinga wakifanya utalii wa ndani kwa kutembelea Mlima Matogoro Manspaa ya Songea
Meneja wa TFS Mama Manyise Mpokigwa akihojiwa na wandishi wa habari kuhusu uendelezaji na utunzaji wa mlima Mtogoro, ASmbapo alisema vyombo vya habari visaidie kutoa elimu juu ya kutunza Mazingira hasa kuepuka na uchomaji moto
Vyombo vyote vya habari mkoa wa Ruvuma vilishiriki katika ziara ya utalii wa ndani wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Binilith Satano Mahenge
utalii wa ndani una pendeza hebu ona viongozi wakiwa juu ya mlima Matogoro juu kabisa kutoka usawa wa bahari ni mita 1600 ubaridi uliopo hata mbu hawezi kuzaliwa
Murugenzi wa SOWASA John Kpinga kushoto na Nyuma ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ni MENEJA WA tfs Mama Mnyise Mpokigwa wakiwa katikati ya Msitu wa mlima Mtogoro
Waandishi wa Hbari Viongozi wa Serekari wakiwa kwenye chanzo cha Mto Ruvuma ambacho nikama kisima lakini amini usiamini huo ndio mwanzo wa chanzo cha mto Ruvuma
Viongozi wa Serekari na Waandishi wa Habari wakiwa juu ya jiwe kubwa la mlima Matogoro kileleni kwa mbele mkuu wa Mkoa na Meneja wa TFS wakiangalia kijiji cha Mpingi
usisikie utalii wa ndani kwa kweli una weza kusahau matatizo yako yote ukifika mlima Matogoro kuna Raha ambazo uraiani huwezi kuziona hebu angalia hao watu wanavyo tembea wakiongozwa na Meneja wa TFS Mama Manyise Mpokigwa

MkuuwaMkoawaRuvuma amehimiza kufanya utalii wa Ndani Kama anavyo onekana yeye akinawa maji kachanzo cha Mto Ruvuma Msomaji angalia kwa makini kama una jua Mto Ruvuma ulivyo Mkubwa na Upana wake unavyo ona huo ni mwanzo wa Mto Ruvum


Mtalamu wa Bonde la Ziwa Nyasa akithibitisha chanzo cha mto Ruvuma kama unavyo mwona pichani
Bwawa la Maji ambalo hulisha watu wa manispaa ya Songea lilioko Matolilivyo
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Binilithi Satano Mahenge akiendelea kushangaa maajabu ya Mungu kuweza kushuhudia mwanzo wa mto Ruvuma ukiwa kama chemuchemu ndogo kweli duniani kuna majabu usiishie kusoma na wewe nenda ukajionee maajabu ya Mungu
katibu wq Mkuu wqa Mkoa wa Ruvuma Nemia katikati  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Binilith Satano Mahenge na kulia meneja wa TFS  Mama Manyise Mpokigwa wakiwa katika mlima matogoro kileleni
mkuu wa mkoa akitembelea bwawa la matogoro Manspaa ya Songea

MuhifadhiwaMakumbushoyaMajimajiBatazarNyamsyaamesemachanzohicho cha Makumbushokiligunduliwamwaka 1952  naWakoloni, waondiowaliogunduwachanzohicho cha Mto Ruvuma amesemaKisayaynsichanzo cha MtohuanzakidogonambelendipoMtohupanukakamailivyorisasiinapoingiahuwezikujualakiniinapotokeandipolinapoonekenaTundukubwa.Afisawabonde la nyasaalithibitishakuwachanzohichonimwanzowamto Ruvuma


Mkuuwamkoawa Ruvuma MhandisiDrBinilithSatanoMahengeamesemailikuwezakuenzimasualayaUtaliikwakuwekakumbukumbusahihiyachanzo cha Mto Ruvuma ambachochanzochakekikokatikaMlimaMatogoroManispaayaSongea.


kufika kwenye chanzo cha Mto Ruvuma siyo kazi Rahisi hebu ona watu wanavyo serereka ni mteremko mkali kupita maelezo






 meja wa tfs akitoa maelezo kuhusu uharibifu wa mazingira kwa kulima kwenye vyanzo vya maji na kuchoma moto


MenejawaWakalawaHudumazaMazaoyaMisitu (TFS) wilayayaSongeaManyisyeMpokigwaamesemauchomajiwa moto katikaHifadhindiyochanzo cha uharibifuwamazingiranakusababishaukosefuwaMajiikiwahatuazakisheriahazitachukuliwamajiyatapunguamuhimunikudhibitiuchomajiwa moto.

majengo ambayo yalikuwa yana tumika kwaajili ya kulinda miti iliyo kuwepo hapo awali sasa majengo hayo yapo hayana wakaazi mama Manyise Mpokigwa akielezea jinsi majengo hayo yavyo tumika kwa sasa
miche zaidi ya laki moja imelatikwa ili kuendeleza vyanzo vya maji miti hiyo ikiwa ya asili mkuu wa mkoa akiwa kwenye kitalu cha miti



MkuuwaMkoawa Ruvuma DrBinilithSatanoMahengeameyasemahayobaadayakufanyaziarakatikaHifadhiyaMsituwaMlimaMatogoronakuonachanzo cha Mto Ruvuma ambachoMajiyakehumwagakatikaBahariya Hindi.Chanzohichoni cha ajabuhuwezikuaminikuwaMtomkubwakamahuounawezakuwanachanzokidogonamnahiyondiyomaanaMkuuwaMkoaakatoakaulikuwachanzohichonichanzo cha utalii.

MkuuwaMkoawa Ruvuma DrBinilithSatanoMahengeameyasemahayobaadayakufanyaziarakatikaHifadhiyaMsituwaMlimaMatogoronakuonachanzo cha Mto Ruvuma ambachoMajiyakehumwagakatikaBahariya Hindi.Chanzohichoni cha ajabuhuwezikuaminikuwaMtomkubwakamahuounawezakuwanachanzokidogonamnahiyondiyomaanaMkuuwaMkoaakatoakaulikuwachanzohichonichanzo cha utalii.