KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, October 23, 2010

uchaguzi nchini tanzania

Ndugu zangu popote pale mlipo Tanzania inaingia katika uchaguzi mkuu hapo tarehe 31/10/2010 nijambo la kujivunia kuona utawala bora una tekelezwa.

kwa mda wa miaka 49 toka tupate uhuru tume kuwa na amani na utulivu, hakuna anajua kabla la mwenzake au mtu kumtenga mtu kwa ajili ya dini huo ni ushi mkubwa kwa nchi yetu.

S.asa tunaingia katika kutayarisha maisha ya amani na utulivu jambo tunalo lifanya tarehe 31/10/2010 nijambo ambalo tuna weza kununua kifo au kuongeza amani. Ninge omba ndugu zangu kwa kuwa kuchagua mtu mwenye busara kuna tegemea akili zako ziko namuna gani ni mtu wa kufuata mkumbno au ni mtu ambaye una tegemea akili zako?

kama huna jibu ingia ndani ya chumba chako uombe Mungu ili akusaidie, kura yako ni risasi ya mwisho ya kulinda uhai wako kwa miaka mitano inayo kuja.

kura hihiyo ni sumu ya chokochoko ya kupoteza amani na utulivu tulio nao nimategemeo yangu kuwa kila mtu atazingati busara zake kutoa uamuzi Tumwombe Mungu atuongeze busara na utashi ili uchaguzi tutakao uamua uwe wa heri na amani.tuchague Diwani mwadilifu,Mbunge mwadilifu,na Rais mwadilifu vile vile

wenu Adamu Mzuza Nindi SongeaRuvuma Tanzania

No comments:

Post a Comment