KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, October 29, 2013

VIVUTIO VILIVYOKO KATIKA MWAMBAO MWA ZIWA NYASA VYA THIBITISHWA NA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO SOFIA SIMBA

 Waziri wa Maendeleo ya jamii jinsia na watoto Sofia Simba akifurahia ubaridi wa maji ya ziwa nyasa wilaya Nyasa Mkoani Ruvuma
 Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Sofia Simba akinawa maji ya Ziwa Nyasa kuongeza Baraka kama ilivyo Desituri ya Wanyasa
 Kama alivyo fanya Nabii Issa au Yesu Kristo Katika Mto Yorodani ndivyo ilivyo mtokea Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto kuzama katika ziwa nyasa kuongeza baraka za kuhiji katika Ziwa nyasa
 Picha ya Pamoja katika ufukwe wa Ziwa Nyasa kati ya Watoto na Mheshimiwa Waziri Sofia Simba
 Watoto wa Mwambao wa Ziwa Nyasa wakifurahia ujio  wa waziri wao Mh Sofia Simba
 Juma Nyumayo  Mwandishi Mwandamizi wa Radio Uhuru akitoa heshima kwa Mizimu iliyiko katika Ziwa Nyasa Unamwona alivyo kakamaa
 Nani kama mama Mheshimiwa Sofia Simba katika ziara yake Mkoani Ruvuma alikuwa kioo cha watoto walipenda kuwa naye Muda Wote alipo kuwa hapa Ruvuma
 Unapo ambiwa utalii ni pamoja na vifaa vya jadi vinavyo tumika kuwekea nafaka hicho ni kikapu naungo akipewa Mheshimiwa Waziri Sofia Simba
 Siyo lazima kukaa kwenye kochi ndivyo walivyo mwambia mheshimiwa Waziri Sofia Simba ana weza kujipumzisha kwa kukaa kwenye utefu
 Watu wa Mwambao wa Ziwa Nyasa niwakalimu hakutosha kumpa vitu vya kiutalii bali wali mpa pia kitoweo Mbuzi jike
 Furushi unaliona mbele yako ni Dagaa wa Ziwa Nyasa wananoga kupita kiasi, Kingine hicho ni jamanda ni marufu kwa wangoni kupelekea zawadi kwa ndugu pale wanapo kuwa na Saherehe
 Pamoja na utalii mbalimbali uliopo mkoa wa Ruvuma pia kuna ngoma ya mganda jezi lake ni nguo nyepe tu kama unavyo ona
 Watu wana penda cha unaona wanavyo apa katika kujiunga na CCM Tujiulize kosa liko wapi kwa CCM
 Utulivu wawatoto kusikiliza Waziriwao wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ni moja ya kuonyesha kukubaliana na Mheshimiwa Sofia Simba
 Hapo siyo wana salimia bali hicho ni kiapo cha kujiunga na chama cha CCM Wilayani Nyasa
 Mkuu wa wilaya ya Nyasa Erenest Kahindi akiwa ana tafakari jinsi ya kuweza kuleta maendeleo katika Wilaya yake
 Mwandisha Chipukizi Juduth Lugoye akiwa na viongozi waandamizi wa Cham,a cha Mapinduzi katika ziara Wilayani Nyasa
 Unasikia Dagaa Nyasa ni hao unao waona katika usanjo ,Dagaa wengi hutumbukizwa ziwani kutokana na vifaa walivyo navyo wavuvi kuwa havina uwezo wa kubeba tani nyingi za samaki au dagaa wanao vuliwa
 Waandishi wa Vyombo mbali mbali wakiwa kazini kuelimisha jamii kile kinacho tendeka
Afisa Utumishi akiwa katika Tafakari kijiuliza jee haya anayo ya fanya Mhesmiwa Waziri na Nitayafikia.

No comments:

Post a Comment