KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, August 5, 2014

JAJI MFAWIDHI WA KANDA YA SONGEA APATA AJALI NAKUPATA MATIBABU HOSPITALI YA TUNDURU

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela amesema Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Kanda ya Songea alikuwa akisafiri kikazi kutoka Songea kuelekea Tunduru akiwa kwenye Gari lenye Namba za Usajili J23 aina ya Toyota lundcruser lilipinduka baada ya Tayari la Mbele kupasuka.

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Songea Mwanaisha Athumani anaendelea na matibabu katika  Hospitali ya Wilaya ya Tunduru baada ya Kupata Ajali Maeneo ya Matemanga Wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Msikhela Mihayo akiwataja wengine waliokuwa kwenye Gari hiyo amesema ni Frank Frank Mwambali Msajili wa Mahakama Kuu ya Kanda ya Kanda ya Songea ambaye amepata michubuko, Askari Polisi W.P. Coplo 3712 Leocadia Mpambe wa jaji ambaye hakupata Majeraha yoyote na Dereva Kaoneka Martine  ambaye naye ametoka salama.

No comments:

Post a Comment