KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, August 16, 2014

MTOTO FATINA MSUYA ANAOMBA MSAADA WENU NDUGU MLIO ZALIWA NA MAMA MWENYE UTASHI


Ndugu zangu nimezoea kuwa letea habari za Maendeleo na changamoto zinzo husu upande wa serekari, Leo sipo hivyo naomba kabla hujaendelea  kusoma Tarifa hii kwanza anza kuomba kwa Mwenyezi Mungu kumwombea Mtoto Fatina Msuya mwenye umuri wa mwaka mmoja toka azaliwe
Masikini mtoto Fatina Msuya alizaliwa tarehe 24/2/2013 .Mtoto huyu anatia huruma amezaliwa bila kuwa na sehemu ya kutolea haja kubwa kwa sasa anajisaidia kwa kutumia  tumbo. Hapo awali alikuwa akitolea sehemu ya haja ndogo baada ya kufanyiwa upasuaji ndipo alipo kuwa akitolea haja kumbwa Tumboniaidi ambayo imekuwa na aza kubwa z.

Mama Paulina Nyoni anaomba msaada wa kuweza kutibiwa mtoto wake gharama za matibabu ni shilingi milioni mbili, Yeyote Mwenye msaada basi anaweza kutuma kwa Mpesa no 0767 710 113 au 0755 061 588, kwa tarifa zaidi piga kwa mkurugenzi wa Songea Habari 0755 731 234
Ndugu zangu mtoto anatia huruma fikiri kama wewe ndiye mwenye tatizo hilo unge likabili vipi unaona jinsi mtoto avyo tazama kwa huruma  ,chonde tumwombee mtoto Fatina Msuya afanikiwe kwenda kutibiwa

Masikini mtoto Fatina  Msuya hivi sasa akipata haja kubwa inaongozana na damu, Mama yake mzazi Paula Nyoni anaishi Hanga vijijini katika Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma

No comments:

Post a Comment