KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, September 20, 2014

BOMU LA TIKISA MJI WA SONGEA

 Hili nieneo lililolipuka bomu la kutengeneza katika kata ya mfaranyaki karibu na daraja la matarawe manispaa ya songea
 utepe ukiwa umezingirwa ili kuzuia mtu asipite asije akalipuliwa na bomu lingine au kuvuruga upelelezi
 Asikari Police wakilinda usiku na Mchana katika eneo lilipo lipuka bomu la mkono la kutengenezwa
 Baadhi ya Nyumba zilizo asilika na bomu baada ya kulipuka eneo la Mfaranyaki Manispaa ya Songea
 Eneo Halisi la tukio linasvyo onekana kwa mbali
Asikali Police wakiwaza baada ya wenzao wawili kulipukiwa na Bomu la Mkono na kulazwa Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma
 kijana Police aliye jeruhiwa na Bomu akiwa Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma ,Amefanyiwa upasuaji katika mguu na kutolewa vyuma vilivyo mjeruhi amewataka Asikari wenzake kuwa waangalifu wanapo kuwa Doria
 Kulia ni binti aliye lipukiwa na Bomu na kujeruhiwa eneo na Mguu ambapo amefungwa POP naye alitolewa vyuma vingi pamoja na Misumari ameiomba Jamii kucha kuwa na visasi na Asikari kwani wao ni watoto wao au ndugu kwa namuna yoyote
 Binti Asikari akiwa amepumuzika paada ya Upasuaji ya kufungwa POP
 Asikari Police Fadhila Chacgha akimfariji binti aliye lipukiwa na Bomu akiwa hospitali ya mkoa wa Ruvuma
 Vijana wa Yebo yebo au waendesha pikipiki Manispaa ta Songea Wakisikiliza Hotuba ya Mkuu wa Mkoa kulaani vitendo vilivyo fanywa na wenzao waendesha pikipiki kwa kuwaumiza vijana wasio na Makosa
 Umati wawaendesha pikipiki wa kiwa ukumbi wa Songea Club wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Saidi Thabiti Mwambungu kuhusu swala la mabomu
                                     wingi wa pikipiki zilizopo manispaa ya Songea

Asikari wawili wa jeshi la police mkoani Ruvuma wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma baada ya kutupiwa bomu la mkono katika eneo la mfaranyaki na watu wasio julikana ambao walikuwa katika pikipiki kwa mujibu wa tarifa iliyo tolewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kutoka kwenye Vyanzo vyake Vya habari


Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambungu  akitoa tarifa katika ofisi yake amesema vijana hao wawili wakiwa katika doria ya kawaida walipo fika eneo la darajani mfaranyaki walilipukiwa na kitu kilicho sadikika kuwa ni bomu la kutengenezwa kienyeji  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amesma habari kutoka kwa wasamalia wema wamesema waliona  pikipiki tatu zikipita kwa mwendo wa kasi ambazo zilitupa bomu ambalo lililipuka na kuwajeruhi asikari hao  wawili miguuni.

No comments:

Post a Comment