KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, September 21, 2014

MIKARATUSI ILIYOKO MLIMA MATOGORO MKOANI RUVUMA YA AMURIWA KUNG'OLEWA KUTOKANA NA UHALIBIFU WA MAZINGIRA

 Kikao cha kujadili kuhusu uteketezaji wa Miti ya Mikaratusi katika Mlima Matogoro Manspaa ya Songea
 Dakitari Rawrence Mbwambo  Kaimu mkurugenzi Mkuu Tasisi ya utafiti wa mistu Tanzania akiwakilisha mada kwa njia ya mtandao kuhusu faida ya Miti ya Mikaratusi na uharibifu wa Mazingira
 Wadau katika kutunza Mlima matogoro wakiwa katika semina ya uondoaji wa miti ya mikaratusi katika mlima matogoro manspaa ya songea
 Robati Mgohole  afisa misitu Manspaa ya Songea akitoa hoja kuhusu utoaji wa ,Miti ya Mikaratusi katika Mlima matogoro
 Meneja wa Mistu katika Mkoa wa Ruvuma akisikiliza hotuba ya Dakitari  Lawrence Mbwambo katika ukumbi wa Maliasili Mkoa wa Ruvuma
 Wadau mbambali wakiwa katika kikao rasimi cha kurutubisha Mlima Matogoro kwa Kutoa Miti ya Mikaratusi katika Mlima Matogoro.
 Hoja Mzito ya Kutoa Miti ya Mikaratusi Katika Mlima Matogoro Wadau wakisikiliza Kwa Makini na Kuwataka Wahusika Miti hiyo itakayo ondolewa itumike kwa Nguzo za Umeme au Ngozo za Simu
 Mkurugenzi Lawrence Mbwambo akipokea hoja mbalimbali kutoka kwa wadau wa Mistu jinsi ya Kuboresh Mistu na kuzuia Watu wanao choma Misitu ovyo
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tasisi ya Utafiti wa Mistu Tanzania akiwa ukumbi wa Maliasili Ruvuma akipokea tarifa ya matayarisho ya uvunaji wa Miti ya Mikaratusi
Katibu Tawala Wilaya ya Songea Juma Ally  akitoa  faida ya kutunza mistu

No comments:

Post a Comment