KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, February 8, 2012

POLICE WANAWAKE WAANZA KUJENGA JENGO LAO KWA AJILI YA HUDUMA ZA WANAWAKE

Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu mkoa wa Ruvuma akitoa mchango wa Shilingi 50,000/= kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Police Wanawake Mkoa wa Ruvuma


Fundi Casto Mgao akiinua kona za Jengo la Police Wanawake akijenga kwa makini ili jengo hilo liwe la mfano Tanzania Mzima




Fundi wa Zege John Ngonyani akiinua nguzo huku akisuka Nondo kwa ajili yaq kumimina bimu ya Nguzo hizo


Wajenzi wa barabara za Mkoa wa Ruvuma Mantura akitoa mchango kwa ajili ya ujenzi akimkabidhi Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda

Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda akitoa Maelekezo ya kuongeza vyumba vilivyo sahaulika


Shuguli za upimaji wa jengo la Police Wanawake likiwekewa msingi hapo fundi ujenzi Casto Mgao akipima tayari kwa kujenga

No comments:

Post a Comment