KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, November 27, 2012

EVENT; CIVIL SOCIETY FORUM

 Washiriki katika mkutano wa mtengamano katika Africa mashariki na yakati wajumbe kutoka Mkoa wa Mbeya wakibadilishana mawazo
 Mjumbe kutoka Mkoa wa Ruvuma akiwa katika Mkutano wa ushirikiano wapamoja kwa Nchi za Afrika Mashariki na yakati anbapo ulishilikisha nchi za Rwanda,Uganda,Kenya, na Burundi
 Mwakilishi kutoka PADI kutoka Mkoani Ruvuma Isaka Msigwa wa pili kutoka Kwa Adamu Nindi akiwa katika ukumbi wa kimataifa AICC Arusha
 Isaka Msigwa akiwa amevaa kitafiri cha lugha mbalimbali akimsikiliza mjumbe kutoka Rwanda akiongea lugha ya kifaransa
 Mshiri kutoka mkoa wa Mbeya akiwa akiratibu maswala mbambali kuhusu Africa mashariki na yakati
Washiriki mbambali wakiwa katika ukumbi wa AICC jijini Arusha

No comments:

Post a Comment