KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, January 7, 2013

MATUKIOYA UNYANYASAJI WAWATOTO

Kamanda wa  Polisi wazamaniMaiko kamuhanda akimkaribisha Kamanda mpya Deusdedit KaizilegeNsimeki mkoaniRuvuma baada ya yeye kupata uhamisho kuelekea Mkoa wa Iringa. Kulia niKamanda aliyehama na  kushoto ni  Kamanda anayekaribishwa Mkoani  Ruvuma.                                   
Pichani ni mtoto mwenye  umri wa miaka  kumi aliyepigwa na Baba yake wa kambo  (mlezi) nakumsababishia majerahamakubwa  baada ya kupoteza shilingi  mia aliyopewa kwenda kusagia mahindi mama yake akiwa safarini.                                                                                                                           
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deusdediti  Kaizilege  Nsmeki akitoa neno la asante baada ya kupokelewa na  Kamanda MaikoKamuhanda anayehama Mkoa wa Ruvuma kuelekea Mkoani Iringa
Mama wa mtotoaliyejeruhiwa na  Baba wa kambo akichunguza mwanae kwauchungu sehemu alizojeruhiwa,wamama waige moyo  wa kuwa  na  huruma  na uchungu  kwa watoto wao kwa kuepuka adhabu kalidhidi ya  watoto wadogo.lakini  mama huyu ameshindwa  kutoa ushirikiano kwaenye vyombo vya haki (Mahakama)  ili aliyetendakosa hiloachukuliwe hatua.
Hali halisi yamajerahaaliyopata mtoto  huyo hapojuu  baada  ya kupoteza  shilingi  miamoja.
Baba  wa kambo aliyemjeruhi mtotobaada  ya  kupoteza  shilingi miamoja  katikati  ni  mtotoaliyejeruhiwa   akiwa  na  mama yake  mzazi.
Kushoto  ni Katibu wa Mbunge wa Jimbo la  Songea  Andrew  Chatwanga  akiwa Mganga  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma dkt Daniel  Malekela  wakijadili jinsi ya  kuendeleza  Hospitali  hiyo ya  Mkoa.
Mwenyekiti wa  Mtandao   wa Polisi wanawake  Mkoa  wa  Ruvuma  Ana  Tembo akiwa katika   mazoezi  tayari  kwa kukabiliana na  ukatili dhidi  ya mama na  mtoto
Jambo    kubwa  katika  maisha  ya binadam ni  kuhakikisha  anapata  afyabora lakini   binadamu   wenye uchu wa  mali  huweka pesa mbele kuliko  afya za binadamu. Viongozi  waManispaa  ya  Songea wamefanikiwa  kukamata  vyakula  na  vipodozivilivyokwisha   muda  wake  vyenye   thamani  ya  shilingi1,058,700
Vifaa  vilivyokamatwa  nakuteketezwa  kwa   moto   vikionekana  hapo juu
Muonekano wa vyakula  vilivyoteketezwa  kutokana   na  kuharibika  na  kwisha  muda  wake kwa matumizi ya bin





Picha hiyo  hapo  juu ni  moto ukitekeketeza  vipodozi  na  vyakula  vilivyokwisha  muda  wa  matumizi  kama  vilivyoonekana  hapo  juu  kabla  ya  kuteketezwa.




No comments:

Post a Comment