KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, December 15, 2014

NDUGU ZANGU CRISMAS MAANA YAKE NINI KWA BINADAMU

Add captionNdugu Zangu Wa Africa Na Mabara Mengine. Jambo Mhimu Tunalo Takiwa Kulikumbuka Ni Kuwa Kila Mwaka Tuna Sherekea Kuzaliwa Kwa Mtumishi Wa Mungu Ambaye Si Mwingine Bali Ni Yesu Kristo Ambaye Alizaliwa Nazareti Miaka 2000 Iliyo Pita


Watoto Wana Bakwa , Watoto Wana Fanyishwa Kazi Ngumu, Watoto Hawaendi Shule Kutokana Na Ukosefu Wa Ada Katika Hayo Niambie Wewe Umesaidia Vipi Watoto ? Yesu Kazaliwa Ndani Ya Watoto Hao Nilio Wataja Kama Huja Fanya Lolote Basi Kabla Ya Crisimasi Fanya Kitu Wako Adam Mzuza Nindi Heri Kwa Sikukuu Ya Crismasi

 Sasa Katika Miaka Hiyo Inamana Wakina Kristo Walio Zaliwa Ni 2000 Jee Wewe Umeweza Kusaiodia Watoto Wangapi Ili Kusherekea Kwako Uone Kuna Maana, Hivi Sasa Kuna Watoto Yatima Wana Lala Na Njaa,

No comments:

Post a Comment