KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, December 28, 2014

WANANCHI WA SHUKURU SEREKARI KURUHUSU TIBA MBADALA


Mtaalamu wa Tiba Mbadala kutoka Duka la Dawa za Asili   la Simwala hebo kiliniki Disimas Severian amesema Serikali baada ya kuona watu walishindwa kupata unafuu ndipo iliporuhusu watu kutumia tiba mbalimbali Ukitaka mawasiliano zaidi piga namba zifuatazo 0756 210, 059. 0718 870 318 ,               0786 145 129


Wananchi hao ambao walikuwa wakieleza jinsi jinsi Dawa za Tiba mbadala zinazoweza kusaidiana na Dawa za Kisasa, ambazo zinaonyesha ktibu magonjwa sugu ambayo yanasumbua jamii, kama kisukari.

 Wananchi Mkoani Ruvuma wameishukuru Serikali kwa kuruhusu Tiba Mbadala na kuweza kudhibiti Matumizi ya Dawa Mbadala na kuhakikisha haiwadhuru Wananchi.
 wagonjwa mbalimbali kutoka mikoa tofauti wakienda kwenye tiba mbadala kwa Simwala Hebu Kilinic Bombambili
 Hao nibaadhi ya watu walio sumbuliwa muda mrefu na magonjwa yasiyo tibika hapo wapo nafuu
 kama weweni mgeni ukifika Songea nenda kata ya bombambili uliza makaburi ya Mkeso ukifika hapo uta ona kibao kama ilivyo andikwa hapo juu
 hiyo ni foleni ya muda wote watu wakitaka kupewa dawa ili wapone baada ya kusumbuka miaka kadha
 Akina mama wakipeana uzoefu jinsi walivyo weza kupata nafuu baada ya kutumia dawa za simwala kiliniki
 akina mama wakiwa foleni kutibiwa katika kiliniki ya simwala bombambili songea
Akina mama wakiwa kiliniki Simwala kujiangalia mmagonjwa aliyo shindikana hospitalini
Mtalamu wa Tiba Mbadala Dismas severen akieleza mafanikio kwa wagonjwa alio wa tibu, wewe bofya kwenye alama ya vidio usikie

No comments:

Post a Comment