KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, December 12, 2014

TAMASHA LA TATU LA ASASI ZA KIRAIA ZA BURUNDI, RWANDA UGANDA, KENYA NA TANZANIA LILILO FANYIKA MKOA WA ARUSHA AICC

 Wajumbe mbalimbali wakiwasili katika ukumbi wa mbayuwayu Arusha tayari kwa kushiriki Tamasha la Mtangamano wa Africa Masriki
 Wajumbe mbalimbali wakiwa katika ukumbi wa  Mbayuwayu AICC  Arusha  kushiriki mkutano wa Mtengamano wa Nchi za Afirika Mashariki
 Washiriki wakiwa makini kusikiliza mawakilisho mbalimbali kuhusu namuna ya kuweza kuondokana na umasikini kwa wananchi wa Afrika Mashariki
 Tamasha la Mtangamano halikutenga makundi malumu hapo mwakilishi wa Alibino akisikiliza mchango kutoka Burundi kuhusu biashara kati ya wananchi wachini 

 Ndugu Zaa wa Tango akiwa mmoja wawashiriki kutoka shirika la TANGO Dar es salaam aliye vaa shati jeupe
 Mambo hubadilika kila kunapo kucha watalamu huvumbua mambo unaouona ni mtambo wa kuchukulia kamerapicha au stendi ya kamera mbele ya mtambo huo kumefungwa
 Mambo wa Kamera katika ukumbi wa Mbayuwayu AICC  Arusha
 Waendesha Tamasha wakiwa makini kuendesha mjadali

Mwakilishi wa Mkoa wa Ruvuma Adamu Mzuza Nindi akiwa ukumbi wa AICC Arusha kushiriki mkutano wa Afirika Mashariki na kueleza kuhusu swala la ukandamizaji wa wakulima kwa kukosa soko la mazao yao kama Mahindi na Mazao Mengine yaliyo kosa Soko
Mgeni rasimi Dr Josaphat Kweka akiwa na Mkurugenzi wa The Foundation ndugu John Ulanga

                 Washiriki kutoka Nchi tano za Uganda, Kenya, Burundi, Rwanda,na Tanzania

              Rose Mary ni mfanyabishara mkubwa na msomi akijitayarisha kutoa mada ya uchumi

                   Washiriki kutoka kenya na uganda wakiwa makini kufuatilia majadiliano

katika Mtangamano wa Afrika mashariki walemavu hawakuachwa nyuma nao waliweza kushiriki

Mwakiishi kutoka mkoa wa Ruvuma kutoka PAD Isaca Msigwa  akiwa mmoja wa msiriki katika Mtangamano wa Afrika Mashariki

                       Wajumbe kutoka nchi za Burundi ,Rwanda,Uganda

No comments:

Post a Comment