KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, October 7, 2015

KATIKA NCHI 96 ULIMWENGUNI TANZANIA NIYA 92 KWA KUKOSA ULINZI KWA WAZEE


Mauaji ya Wazee katika Maeneo mbalimbali yanatokana na Serikali kutotunga Sheria ambayo ita walinda Wazee, katika kuishi kwakuweka kinga ya usalama wao.


Mauaji ya Wazee katika Maeneo mbalimbali yanatokana na Serikali kutotunga Sheria ambayo ita walinda Wazee, katika kuishi kwakuweka kinga ya usalama wao.
Mkurugenzi wa Shirika linalohudumia wazee la PAD Issaka Msigwa, amesema katika Nchi 96, Tanzania imeonyesha kushika nafasi ya          Nne kutoka mwisho kwa hali hatarishi ya Maisha ya Wazee, hiyo inatokana na Jamii kutoshirikishwa katika kulinda Maisha ya Wazee.
Mkurugenzi wa Shirika linalohudumia wazee la PAD Issaka Msigwa  amesema Shirika la Kimataifa la Help Age  Duniani katika utafiti wake umeonyesha ukatili kwa Wazee kwa, mauaji na vitendo vingine vya unyanyasaji Tanzania inachukua nafasi ya 92 katika Nchi 96, mwaka 2013 ilikuwa ya mwisho katika Nchi 96.

                               Umati katika Sherehe za Wazee Duniani Mkoani Ruvuma
 Wazee wanawake walio hudhuria sherehe za Wazee Duniani zilizo fanyika katika viwanja vya H/ya Songea
 Wananchi walio hudhulia katika sherehe za wazee Duniani zilizo fadhiliwa na shirika lisilo la kiserekari la PAD la Mkoa wa Ruvuma
                            Orodha ya Nchi mbalimbali zinavyo weza kuhudumia Wazee

Viongozi wa Dini wa Madhehebu ya Kikristo na Kiislamu wamemuaomba Mwenyezi Mungu kulinda Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Okatoba mwaka huu.

                                     Wazee wakilisakata Rumba kukumbuka Enzi za ujana wao
                                         Wageni walikwa kwenye sherehe za Wazee DFuniani
             Dr Ngaiza akiwa kwenye viwanja vya Manspaa ya Songea kushiriki Siku ya Wazee Duniani

Nao Viongozi wa Vyama vya Siasa wamesema endapo wataingia Madarakani watahakikisha hali za wazee zinazingatiwa ikiwa ni pamoja na kutunga Sheria ya Wazee pamoja na kuimarisha Uchumi wa Wazee.

 Makamu Mwenyekiti  wa Baraza la Wazee Sofia Hasara akiwa kwenye Sherehe Za wazee

 Wazee walio shiriki siku ya wazee duniani AQnna Tembo Afisa Upelelezi wilaya ya Songea Akisalimia Wazee

Nao Viongozi wa Vyama vya Siasa wamesema endapo wataingia Madarakani watahakikisha hali za wazee zinazingatiwa ikiwa ni pamoja na kutunga Sheria ya Wazee pamoja na kuimarisha Uchumi wa Wazee.

 Katibu wa wazee aqliye vaa suti ya Blue Daudi Mpangala akijiandaa kusoma Risala
 Orodha hii ina onyesha jinsi Tanzani inavyo shika nafasi ya 91 katika nchi 96 katika kuwa hudumia wazee
 Akina mama wa Manspaa ya Songea Wakiwa wana sikiliza Jinsi viongozi mbalimbali wanavyo ahidi kuwa tumikia Wazee
Mwandishi wa Fikira Pevu Judith Lugoye akiwa na Mgombea Ubunge Jimbo la Songea  Gama kupitia Chama cha Mapinduzi

No comments:

Post a Comment