KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, October 12, 2015

HALI YA UKATILI NA MAUAJI KWA WAZEE WA TANZANIA INASADIKIKA KWA KIPINDI CHA MIAKA 5 WAZEE ZAIDI YA 2866 WAMEUWAWA KWA IMANI ZA USHIRIKINA

Waandishi mbalimbali kutoka mikoa yote Tanzania wakihudhulia Mkutano Malumu unao jadili jinsi ya kurekebisha na kuwapa ulinzi wazee ili wasuwe kinyama kama wanavyo tendewa
Wandishi wakisikiliza kwa makini hoja zinazo tolewa kuhusu unyanyaswaji waq wazee katika mikoa mbalimbali ya Tanzania
 Mkurugenzi Msaidizi wa shirika la Help Age InternationalSmart Daniel akifungua mkutano waandishi wa Habari kutoka mikoa mbali mbali nchini Tanzania ,kujadili jinsi ya kuweza kuokoa maisha ya Wazee katika hali tete inayo wa kabili kwa Mwaka 2012 na 2013 mauaji ya wazee kwa imani za kishirikina yalikuwa 630 na 765 wengi wao wakiwa wazee wanawake
Jopo la waandishi wa habari kutoka Tanzania Bara na kisiwani wakisikiliza maada mbambali zilizokuwazina tolewa ukumbi wa ubungo plaza jijini Dar -es -salaam

Mambo mhimu yanayojadiliwa katika mkutano wawaandishi wa habari ni pamoja na kuangalia hali tete inayo wakuta wazee walemavu. hapo mzee mlemavu akitumia baikeli kwa kuweza kurahisisha katika kutembea
Joseph Mbasha meneja mradi wa shirika la HelpAge akiwakilisha mada kuhusu wazee wanavyo kabiliwa na matatizo mbambali hiyo yote ina tokana na kuto pitisha sera ya wazee ambayo toka mwaka 2003 haijulikani hatima yake kutokana na hilo wazee bado wapo hatarini kwa kipindi cha miezi sita kwa mwaka 2014 jumula ya wazee 320 waliuwawqa kwa imani za kishirikina

Waandishi wa habari wakiwa kazini kuchukua hutuba ya kaimu msaidizi wa HelpAge Smart Daniel akieleza kuhusu vifo vilivyo tokea toka mwaka 2013 mpaka 2014 zaidi ya wazee 2896 wamepoteza maisha kwa kukosa huduma mhimu ikiwemo na vifo vinavyo tokana na kudhaniwa kuwa ni Wachawi
                     Waandishi wa habari wakiwa na wadau mbalimbali wanao hudumia wazee
                                                            wandishi wa Habari

                         Edita Karo mwandishi wa Mtanzania akiingia ukumbi wa Ubungo Plaza
                                    Mwandishi wa habari Wilison Elisha  akiwa anatuma habari StarTv
Kaimu Msaidizi wa HelpAge Smart Daniel akitoa msisitizo jinsi Waandishi wanavyo takiwa kukabiliana na mauaji ya wazee yanayo tokea kutokana na imani za ushirikina
Moja ya waandishi wa Habari walio hudhuria mkutano wa kujadili hatima ya wazee nchini tanzani

No comments:

Post a Comment