KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, July 25, 2016

WAANDISHI 33 KATI YA WAANDISHI 600 WALIO OMBA RUZUKU VIJIJINI KATI YAO 33 WAPATA MAFUNZO DSM

 Mkugenzi wa TMF Erenest Sungura akiwaasa waandishi wa habari kuacha  tabia ya kulazimisha kupata Ruzuku kutoka TMF. Ruruku hutolewa kwa kufuata vigezo,Mkurugenzi amesema kwa hivi sasa ana fanya mipango ya kuwaita wale waandishi wanao lazimisha Ruzuku kwa njia ya kujuana  swala hilo halipo
 Waandishi wa habari wanawake walio chaguliwa kupata Ruzuku ya kuandika habari za vijijini wakiwa makini kusikiliza Hotuba ya mkurugenzi Erenest Sungura na kuandika kumbukumbu katika Laptop zao
 Mkurugenzi wa TMF akisalimiana na Adamu Nindi katika ukumbi wa TGNP wakati wa semina ya siku nne
 Waandishi Wahabari kutoka mikoa 16 ya Tanzania wao shiriki mafunzo ya TMF kati ya waandishi 600 walio omba mafunzo ya kupata Ruzuku ya Vijijini ambayo ni shilingi mioni 4 fedha ya kitanzania
 Waandishi wakisikiliza hotuba ya Mkurugenzi wa TMF Ndugu Erenest Sungura akiwaasa waandishi kutumia Ruzuku waliyo pata watumie kwa manufaa ya kutatua kero zinazo wakabili wananchi katika nyanda mbalimbali
 waandishi wakiwa katika jengo la TGNP Mabibo wakipata vidongo vya kuwezesha kuandika habari ambazo zita toa matokea mazuri kwa wananchi
 Mmoja wawaandishi kutoka Mkoa wa RuvumaAdam Mzuza Nindi ambaye ana shiriki mafunzo ya TMF kuhusiana na Ruzuku ya Vijijini akishiriki mafunzo hayo Katika Ukumbi wa TGNP Dae - es Salaam
 Kati ya wandishi Thelathini walio teuliwa wanawake ni kumi na tatu kama unavyo waona katika ukumbi wa TGNP. Mkurugenzi  wa TMF Erenest Sungura amesema Uteuzi waandishi 600 walio omba Ruzuku ya Kuandika Habari za Vijijini umefuata wazo zuri la Mtu na siyo Rushwa

Waongozaji katika Mchakato waaandishi wahabari watakao andika habari za vijijni wakiwa katika Semina ya

No comments:

Post a Comment