KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, June 9, 2023

CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA SONGEA MJINI CHARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI MIRADI YA SEKTA YA ELIMU

 Chama cha Mapinduzi wilaya ya Songea Mjini kimeishukuru Serikali kwa kutoa kiasi cha Zaidi ya shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya sekta ya Elimu.


Katibu wa CCM Wilaya ya Songea Mjini James Mgego amesema Zaidi ya shilingi bilioni moja zimetolewa kutekeleza miradi ya miundombinu ya Elimu na vilevile katika Kata ya Mshangano zimetolewa Zaidi ya milioni 800 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya elimu jambo lililoungwa mkono na Diwani wa Kata ya Mshangano Samweli Mbano.

Chama cha Mapinduzi wilaya ya Songea Mjini kimeweka mikakati ya kutoa hamasa kwa wazazi kuchangia chakula cha watoto Mashuleni.


No comments:

Post a Comment