KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, December 2, 2012

HOSPITALI YA SONGEA YA PATA MSAADA WA VIFAA TIBA NA WAZEE WA DENMARK

 DR Teresa Uvisa akisalimiana na Dr Benedicto Ngaiza baada ya kukabidhi vifaa tiba vilivyo tolewa na wazee kutoka Denmark
 Hapo Dr Teresa Uvisa akisalimiana na Mganga mkuu wa mkoa wa Ruvuma DR Daniel Malekela
 Maturoni wa Hospitali ya songea akipeana mkono na Waziri  Teresa Uvisa

 Vifaa tiba vilivyo tolewa na wazee wastahafu kutoka nchini Denmark katika hospitali ya songea
 Vifaa vilivyo tolewa na wazee wa Denmark kama vinavyo onekana
Mshine ambayo ili kuwa ni changamoto kwa hospitali ya Songea ijulikanayo kwa jina la out sound yenye uwezo wa kupima viungo vya ndani ya mwili ,eg.utumbo,maini,watoto walioko ndani ya tumbo la mama

No comments:

Post a Comment