KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, October 17, 2015

WANDISH WAHABARI WAAZIMIA NJIA MBADALA YAKUWEZA KUPUNGUZA VIFO VYA WAZEE

                          Jopo la wandishi wa habari kutoka Tanzania bara na Tanzania Visiwani
Vikundi vya wandishi vikiweka mikakati ya kuweza kupunguza changamoto zinazo wa kabili wazee
Vichwa vya waandishi vilibidi vifanye kazi ya ziada tarifa ya miezi sita kufa kwa wazee 320 sikidogo jambo mhimu ni kila mmoja kuangalia nini kifanyike wakati huo huo ukijua kuwa wewe ni mzee wa kesho
Wandishi wa Habari wakiendelea kujadili umuhimu wa kuwaenzi wazee kwanza kuwa ongezea muda wakuishi, kwanza kuchichua kila jambo ambalo lina weza kuhatarisha maisha ya wazee
Mhariri wa Magazeti ya Kingereza ikiwemo gazeti la Citizen Deogratias Mushi wakanza kushoto akiratibu maswala ya wazee
mwendelezo wa kubadilishana mawazo jinsi kuwanusuru wazee katika  kupoteza maisha
 Mwandishi mwandamizi wa RFA Betrice Robati kutoka Mwanza akisikiliza kwa makini Tarifa zilizo kuwa Zikitolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Help Age Intenational  Start Daniel akitoa takwamu za mauaji ya wazee inakadiriwa kwa miaka mitano wazee 2866 wamepoteza maisha kutokana na Tuhuma za Ushirikina
Wandishi kutoka nyanda za juu kasikazini wakiwa wana tafisiri lug'ha wanazo ambiwa wazee kuwa ni vikongwe badala ya kuitwa
Mwandishi Adala Pandu kutoka Zanzibar aliye vaa shati jeusi lenye mistari
                                                     Mwandishi akinukuru tarifa mbalimbali
Wadau na wandishi wa Habari kwa pamoja wakiwa makini kuratibu mipango bora itakayo okoa maisha ya Wazee

Makamu wenyekiti wawazee Nchini Tanzania akiwakilisha Hoja kuhusu mazimio waliyo azimia hali ya wzee na hatima yake
                                              Betrice Robati mwandishi wa Radio Free Africa Mwanza
          Mhariri Deograsia Mushi aki toa maada juu ya waqjibu waandishi wa Habari
Mkurugenzi wa Blog ya Songea Habari na Mwandishi wa Habari wa Star Tv na Radio Free Africa Adamu Mzuza Nindi akiwa Makini katika kutafuta njia ya kunusuru maisha ya wazee yanayo tokana na elimu duni iliyo kuwepo kwa jamii kuamini kuwa Mzee ni mshirikina kutoka na kuwa na Macho mekundu,Mzee kutoka nje akiwa uchi kwa kupoteteza kumbukumbu,kuishi mda murefu na kuweweseka kwa mambo ambayo haya tende.Eneo kuwa na Maradhi ya kuambukiza na kusukumiwa wazee kuwa ni wachawi.Mambo hayo yote ni juu ya waandishi kuwa elimisha wananchi

1 comment:

  1. KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل

    KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل


    KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل

    ReplyDelete