KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, October 18, 2017

BWENI LA WANAFUNZI TUNDURU LA TEKETEA KWA MOTO



            Bweni la wanafunzi wavulana katika shule ya sekondari Nandembo limeungua moto na kuteketea kwa Mali zote za wanafunzi zilizokuwamo, wakati wanafunzi wakiwa katika nyumba ya ibada.

Akiyoa taarifa ya moto kaimu afisa Elimu W Mwalimu Habiba mfaume alisema taarifa za kuzuka kwa moto walizipata majira ya saa moja na nusu jioni kutoka kwa uongozi Wa shule ya sekondari Nandembo za kutokea kwa moto na kuunguza bweni la wavulana.

Ukosefu Wa kikosi cha Zima moto katika wilaya ya Tunduru umesababisha mali za wanafunzi kuteketea kwa ni walitumia tu njia za asili kama mchanga na mitungu ya gesi ya Fire extinguisher iliyopo katika maeneo ya hostel kwa kushirikiana na majirani Wa shule.
 Alisema bweni hilo walikua wanakaa wanafunzi 72 ambao vitu vyao vimeteketea kwa moto na ikiwa ni pamoja na magodoro, vitanda, madaftari na vifaa vingine vyote vilivyokuwamo ndani ya bweni hilo.

No comments:

Post a Comment