KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, October 15, 2017

MICHEZO TFS



Watumishi wa tasisi za uma wametakiwa kushiriki michezo ili kulinda afya zao pamoja na kujenga mahusiano mazuri kati ya tasisi na tasisi
Wachezaji wa Timu ya Veterani ya Harimashauri ya Madaba na Timu ya Wakala wa Misitu mkioa wa Ruvuma TFS  wameya sema hayo waka
Ti wa mchezo wa kirafiki kati ya timu ya  Vetenari ya Halimashauri ya madaba na Wakala wa Misitu  Ruvuma mchezo ulio fanyika katika u wanja wa Bombambili manspaa ya songea
             Katika mchezo huo timu ya Wakala wa Mistu Mkoa wa Ruvuma ili weza kuifunga timu ya Vetenari ya Halimashauri ya madaba bao moja  lililo fungwa  na dakika ya 22 na mchezaji Emanuel Mwaisaga  bao hilo lilidumu  hadi mwisho wa mchezo  

No comments:

Post a Comment