KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, April 2, 2018

IWaumini wa Dini ya Kristo Mkoani Ruvuma wametakiwa kudumisha amani pamoja na kuwajali watu wanao ishi katika mazingira Hatarishi wakati wakisherekea sikuu ya Pasakamin


 Mhashamu Asikofu Mkuu wa Kanisa la Redemed Assemblies of God Simoni   Silwimba amewataka waumini wa Dini ya kikristo kuwa jail watun wanao ishi katika mazingira hatarishi wakiwemo masikini ili wanapo sherekea sikukuu ya Pasaka nao masikini washereke
 Mhashamu Asikofu Mkuu wa kanisa ya Ruthiran  Dayosence ya Ruvuma Amoni Mwenda  amewaomba waumini wa Dini zote kudumisha Amani kwani ndiyo silaha pekee ya kuweza kjulinda Amani 

Mhashamu Asikofu Mkuu wa KKT Dayosence ya Ruvuma Amoni Mwenda akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeti Kamando Mgema katika viwanja vya kanisa la KKT

WAaumini wa Kanisa la KKT Mkoani Ruvuma wakiwa katika ibada ya Pasaka
 Waumini wa kanisa katorik Mkoa wa Ruvuma wamewaomba waumuni wote kuendelea kufanya vitendo walivyo kuwa wakifanya wakati nwa kwaresima kuachana na ulevi,uzinzi, pamoja na kuachana na vitendo vya  na ufisadi
katibu wa Kanisa la UMSA ,Angilikani Maiko Mguyu amewataka waumini wakati wakfukarazingira magumu wakimo watoto,Masikini,na Maherekea sikukuu ya Pasaka wawa kumbuke na watu wanao ishi katika maus

Mchungaji wa Asembulies of God Gilida Silwimba amewataka wanawake kuongeza ushujaa kwakuwa wao ndio watu walio onyesha ushujaa kwa kwenda kudhuru kaburi la yesu na kuwa watu wa kwanza kumwona Yesu

Mzee Mwosha amewaomba waumini kufuata kanuni za za dini wakati wowote wamaisha yao
Mhashu Asikofu Mkuu wa Dayonsensi ya Ruvuma KKT Amoni Mwenda amewaomba waumini kushirikiana na Serekari katika kujenga Nchi ya Uchumi wa Viwanda ameya sema hayo katika ibada ya Misa ya PASAKA
Mhashamu Asikofu Mkuu wa Kanisa la Redemeede of Asemblies of Gog Simoni Suri ameya sema hayo wakati akihubiri siku ya Pasaka Mkoani Ruvumailwimba amewataka waumini kujua kuchomwa miba kwa Mkombozi Yesu Kristo ni swala la kuamusha ubongo wao ili waweze kupambanua mabaya na maz
binti Mdogo aliye anza kuimba nyimbo za injili akiwa Darasa la Nne lakini sasa amekuwa Mashuri kwa kuimba katika kanisa la Redeemede Asembulies of God

No comments:

Post a Comment