KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, June 17, 2013

JESHI LA POLICE SONGEA LA KAMATA MENO 18 TEMBO NA NOTI BANDIA

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deudedit Nsimeki akiwa ameshikaNoti bandia ambazo zime kamatwa wakati wa kuuza mahindi katika soko la sodeko manspaa ya songea
 Hyo nimeno ya tembo ambayo yamekamatwa katika kijijicha hanga yakiwa meno 18 ambayo yalikuwa yakisafirishwa kwenda Dar es salaam
 ona watu walivyo kuwa hawana huruma hayo ni meno ya tembo wadogo ambao walikuwa wakitegemewa kuwa wata kuwa rasilimali ya taifa lakini masikini wawindaji haramu wame katisha maisha ya tembo hao
 Noti bandia zilizo kamatwa manspaa ya songea katika soko la Sodeko, kwa mjibu wa kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Amesema kuzijua noti hizo ni kulingana kwa namba pia noti zina kuwa nyepesi
 Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma limefanikiwa kukamata Vipande 18 vya Meno ya Tembo vikiwa kwenye Mfuko wa Salfeti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsmeki amefanikisha kukamatwa kwa meno ya Tembo vipande 18 vikiwa kwenye Mfuko wa Salfeti maeneo ya Hanga Misheni wilaya ya Namtumbo.

No comments:

Post a Comment