KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, June 17, 2013

RUNECISO YA FANYA MDAHALO KUHUSU MABADILIKO YA HALI YA HEWA KATIKA KATA YA LIULI WILAYA YA NYASA

Mkurugenzi wa Pomonda Raha Beach Joseph Ndomondo akitoa akichangia mada ya Mabadiliko ya hali ya hewa katika mdahalo ulio andaliwa na RUNECISO na kufadhiliwa na The Foundation Civil Society  ulio fanyika katika kata ya Liuli Wilaya ya Nyasa
 Makamu Mwenyekiti wa Halimashauri ya Wilaya ya Mbinga akifungua Mdahalo na Kukemea vikali kuhusu uvuvi samaki katika ziwa Nyasa  kutumia sumu, Pia amekemea kujisaidia Vikani na Ziwanina kumtaka kilaMwana kaya  kuwa na Choo
 Washiriki wa Mdahalo wa kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa wakiji funza kwa vitendo jinsi ya kutunza mazingira kati mwambao wa ziwa nyasa eneo la liuli
 Mwenyeki wa Mtandao  Police wanawake akishiriki  mdahalo wa  Mabadiliko ya Hali ya Hewa Liuli
Kaimu  OCD wa wilaya ya Nyasa wa kwanza kulia akisikiliza kwa makini mdahalo wa Madiliko ya Hali ya Hewa ulio fanyika Liuli
 Mwenyekiti wa RUNECISO Michael Mahecha akitoa neno la mbele na kuwa taka wananchi wa Liuli kuacha kuuza eneo la Ufukwe huko ni kuji tia umasikini.
ASS/INSP Fadhila Chacha akito mada kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Hewa kwa kuwa taka Wananchi wa Liuli kuto fanya vitu kwa makusudi huku wakijua wa na Haribu Mazigira na kusababisha Mabadiliko ya hali ya Hewa
 Wadau wa Mdahalo wa Mabadiliko ya Hali ya Hewa wa kisikiliza kwa makini mada Hizo kulia ni Katibu wa Ruvuma Press Mosses Konara
 Wadau wa Mdahalo Liuli wa kiratibu maswala mhimu katika mdalo huo, Ikiwemo kuorodhesha wavuvi wote wanao tumia sumu katika uvuvi,Wachomaji Moto ovyo katika Mwambao wa Ziwa Nyasa na kuweka mikakati imara ya kukabiliana na vitendo hivyo
Washiriki wakiwa katika ziwa Nyasa kujifunza Mabadiliko ya Hali ya Hewa ya navyo weza kuchangia uchafuzi wa mazingira

No comments:

Post a Comment